Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Angalau hata wewe umesema ukweli, we kweli una uzoefu wa kuwatumia posta, yani kuna baadhi yao wafanyakazi wa posta sio waadilifu mimi ni bora nitumie DHL kulikoHawa utawazoea ila ipo siku watakuliza, waliniibia mzigo wa simu yangu sina hata hamu nao tena [emoji3525][emoji706]
Sent using Jamii Forums mobile app