Posta Tanzania hongereni kwa huduma nzuri na nafuu

Posta Tanzania hongereni kwa huduma nzuri na nafuu

True, kwanini wasishawishi au kulazimisha kila mtanzania wa umri fulani awe na sanduku la posta (postal address) pesa zitakazopatikana waweze kuboresha miundombinu ya posta, ili kila mtanzania walau apokelee mzigo wake mlangoni kwake.

Hebu nieleweshe rafiki, Je haiwezekani?
Nchi hii kuna watu fikra sijui hata za karne ya mwaka gani.

Sijui Sanduku linalipiwaje, ila wapo wapo tu yaani utafikiri Posta imekufa.

Imagine hata Hati tu ya kusafiria ambayo ni Tsh 150,000 Uhamiaji wakitoa hata kwa watu 1M tayari ni 15B lakini ndio hivyo hawatoi tu ili kuonesha kama Passport ni kitu cha hadhi kuuuubwa ambacho siyo kila mtu anapaswa kuwa nacho.
 
Nchi hii kuna watu fikra sijui hata za karne ya mwaka gani.

Sijui Sanduku linalipiwaje, ila wapo wapo tu yaani utafikiri Posta imekufa.

Imagine hata Hati tu ya kusafiria ambayo ni Tsh 150,000 Uhamiaji wakitoa hata kwa watu 1M tayari ni 15B lakini ndio hivyo hawatoi tu ili kuonesha kama Passport ni jitu cha hadhi kuuuubwa ambacho kila mtu anapaswa kuwa nacho.
Dada wa posta Alinambia kufungua box Ni elfu 40, Ila uwe na namba ya Nida.
 
Hapo kwenye kujitangaza na uaminifu Ni kweli. Watu Wengi hawajui huduma zao zaidi ya kutuma barua na tangu barua zife watu wanadhani hakuna Cha kufanya posta, Mimi nlikuwa mmoja wao.
Ila siku hizi wanapage yao Istagram naonaga adm wa Ile page Yuko active to respond na kufollow up malalamiko ya wateja wao.
Nipe jina la hio page au link tuifate ila mie malalamiko yangu huyatuma kwa njia ya email nikianzia ngazi yangu ya chini adi makao makuu
 
Nipe jina la hio page au link tuifate ila mie malalamiko yangu huyatuma kwa njia ya email nikianzia ngazi yangu ya chini adi makao makuu
Hiyo mkuu. Ukicomment make sure unatag hiyo user name yao, ndio atarespond kwa haraka.
Screenshot_20210519-160421~2.jpg
 
Mkuu Kama ulitumiwa na mtu ilifaa aliyekutumia apeleke malalamiko posta ya huko. Wangemrefund
Nilipata refund
Piga picha hapo ilipo kisha nenda General posta na evidence yako kadai fidia je seller aliku refund au ndio ulipotea tu kiswahili
Nilipata refund ndio maana sikuitilia maanani sana japo ilinipotezea muda na pesa yangu ingetumika kufanya mambo mengine ya maana kwa muda huo walionipotezea
 
Nilipata refund

Nilipata refund ndio maana sikuitilia maanani sana japo ilinipotezea muda na pesa yangu ingetumika kufanya mambo mengine ya maana kwa muda huo walionipotezea
Nlitaka nishangae. Mzigo ukitumwa wenzetu wanaukatia na insurance. Incase upotee lazima wakurefund
 
DHL kufilisika utangoja sana, wana ndege zao za cargo ni noma unajua wana ndege ngapi all over the world [emoji901], na ndiyo maana ni agent wanaotoa huduma kwa bei ya juu kidogo, niliwatumia kuniletea simu yangu toka UK duh shiping ime cost almost laki2 kasoro, nachowapendea ni express shipping

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndani ya siku ngapi ukawa na simu yako mkononi?
 
Siku Ikitokea posta wakaja n idea ya kuuza vifungashio ambavyo wamevitengeneza wenyewe kupitia viwanda vyetu hapa bongo wangepiga pesa sana .Mkuu hua unaona vile percel za ulaya tukizipokea zinavyokua well packed, hadi na kaunyunyu kidogo sijui zinapuliziwa?

Uboxing proccess hua tamu kama unakata utepe kwa manzi wa kimakonde.Ukiwa na simu uko tanga unataka kumtumia babu yako kwetu kule usukumani Shinyanga, ukiipeleka simu posta unambiwa wewe ndio uipack kwa vifungashio uvijuavyo wewe na vinakopatikana ,ilhali ilikua ni suala la kulipia percel ile packing fee inakua included kabisa mzigo ufungwe safi kabisa.

Madhara ya kupack mwenyewe ndio kama ile skendo ya mwamba alikua deily anapitisha mirungi ya biashara kwenda mkoa mwingine tena posta kabisa bila wao kujua, Mara waambiwe maboksi ya blueband. Mara hao ni dagaa wa kigoma wanaenda Arusha kumbe.
Haha kweli mkuu ndugu ya kanda ya ziwa. Umenena ukweli mtupu. Matumizi mazuri ya akili haya.
 
Hivi mzigo ukipotea unaanzia wapi procedures za malalamiko, je unapeleka mahakamani shitaka la madai au ndani ya offisi husika iliokua na mzigo wako kwanza kabla ya kwenda mbali zaidi,

Sent using Jamii Forums mobile app
Procedure Anafanya aliyekutumia. Aende post office aliyotuma akacomplain wenzetu wanarefund faster tu, coz mizigo inakuwa imekatiwa insurance.
 
Posta wakikaza buti hata ndani ya nchi tu, wanaweza kupunguza idadi ya machinga kwa zaidi ya 60%.
Wanapoteza mapato mengi sana sasa hivi, makampuni binafsi ya usafirishaji wanafanya kazi ambazo wao wangefanya kwa bei nafuu zaidi, kwa mfano, ukituma barua kwa EMS wao wanakutoza Tshs 13,000.00 lakini mtu akipeleka kwenye kampuni ya uchukuzi analipa 5,000.00, kwahiyo na wao wangeshusha gharama huenda wangekusanya zaidi
 
DHL kufilisika utangoja sana, wana ndege zao za cargo ni noma unajua wana ndege ngapi all over the world [emoji901], na ndiyo maana ni agent wanaotoa huduma kwa bei ya juu kidogo, niliwatumia kuniletea simu yangu toka UK duh shiping ime cost almost laki2 kasoro, nachowapendea ni express shipping

Sent using Jamii Forums mobile app
DHL zaidi ni vifurushi/ documents muhimu, vya thamani na haraka. Mtu ananunua protector ya simu anataka kusafirisha na DHL wapi na wapi.
 
Wanapoteza mapato mengi sana sasa hivi, makampuni binafsi ya usafirishaji wanafanya kazi ambazo wao wangefanya kwa bei nafuu zaidi, kwa mfano, ukituma barua kwa EMS wao wanakutoza Tshs 13,000.00 lakini mtu akipeleka kwenye kampuni ya uchukuzi analipa 5,000.00, kwahiyo na wao wangeshusha gharama huenda wangekusanya zaidi
Katika shirika ambalo lingeweza kujiendesha vizuri na kutanuka kila mahali ni posta. Hili shirika lingeingizia serikali mapato mengi sana kama wangekuwa wabunifu. Serikali ingefanya kama lilivyokuwa zamani i.e. posta na simu lijihusishe na kusafirisha vifurushi, kutuma na kupokea fedha nk likuwa bonge la shirika.
 
Dah niliumia sana, mbaya zaidi parcel ikawa inaonyesha tayari imefika bongo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sijajua hiyo parcel yako kama ulinunua au ulitumiwa zawadi?

Na sijajua ulivyoenda kupokea walikuambia nini na tracking ilikuwa inasoma vipi?

Labda ungeyajibu hayo ungeweza kusaidika.

Mimi mizigo yangu yote status ya location ikishaanza kusoma Tanzania, Iwe ni GPO au TZKAR au popote pale huwa nawafata.
 
Back
Top Bottom