macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Watanzania tumezoea kuhangaishwa ndiyo maana watu wengi wanaona kama mwanzisha thread amekosea. Hana kosa lolote na hao posta ndiyo walitakiwa wawe na maelezo sahihi kwani ndiyo kazi yao. Ona sasa wanamwacha mteja kuhangaika wakati siku zote mteja ni mfalme.Kuna urasimu kama hufahamiki ukienda wizara wanakuweka unaulizwa maswali kama uko polisi. Mimi mara ya kwanza nataka kusafirisha ngozi nilihangaika kwanza posta walinimislead walinielekeza wizara ambayo sio. Kufika wizara nikapigoshwa bench aliyenisaidia ni Woiso huyu wa Woiso Original product coz ngozi nilikuwa nimeinunua kwake one call na kibali nikapewa.
Option ya kwanza ni nzuri na ni cheapNjia rahisi hapo muulize kama kuna mtu anayetoka Bongo kwenda Ujerumani ili umpe ampelekee hand to hand.
Au kama hapo Moshi ofisi za TFDA zipo nenda kawacheki wakupe hicho kibali.
Nipo DarNjia rahisi hapo muulize kama kuna mtu anayetoka Bongo kwenda Ujerumani ili umpe ampelekee hand to hand.
Au kama hapo Moshi ofisi za TFDA zipo nenda kawacheki wakupe hicho kibali.
Acha tu mkuuMkuu yanj nchi hii kuna urasimu hapo mpaka uende wizara. Hata ukitaka kusafirisha ngozi ya ng'ombe lazima ukachukue kibali wizara ya maliasili.
Ukichukua gogo ukalichonga na kulipaka rangi ukataka ukaliuze nje hapo basi napo kibali
Sasa kama siyo urasimu inawezekanaje mamlaka ya serikali kama Posta eti hawajui taratibu za kufanya ili mtu asafirishe Parcel? Kama mtumishi wa umma hajui je raia wa kawaida itakuwaje?Mkuu si kila kitu tulaumu kwamba ni urasimu. Hivyo vibali vinahitajika hata nchi utakakotuma mzigo.
Mkuu njia rahisi ni DHL ijapokuwa ni gharama kubwa ila uhakika mkubwa wa mzigo wako kupokelewa.Habari wakuu?
Kuna rafiki yangu aliniomba nimkaangie buni ya kahawa ya Kilimanjaro nimtumie ujerumani,sasa nimeenda pale postal EMS wamesema hawatumi kahawa mpaka kibali na wenyewe hawajui kinapatikana wapi?
Msaada wakuu kama kuna mtu anakijua hicho kibali Cha Nini na kinapatikana wapi anisaidie maana hii kahawa nisipoituma rafiki yangu atajua nimekula pesa yake bila kuamini changamoto iliyonikumba.
Dhl bei juu nimeshindwa
View attachment 2206242View attachment 2206243
Unaona sasa! Ndiyo urasimu wenyewe huo!!Kuna siku nilitaka kutuma sample nusu kilo ya ufuta to Lebanon, DHL wakakataa mpaka niwe na kibali. Nililipa 50k kupata kibali chenywe na receipt sikupewa.
Nchi hii longolongo nyingiKuna siku nilitaka kutuma sample nusu kilo ya ufuta to Lebanon, DHL wakakataa mpaka niwe na kibali. Nililipa 50k kupata kibali chenywe na receipt sikupewa.
Nilipata mchongo wa kuchukuwa damu ya ng'ombe kwenye machinjio Nairobi niipike kulekule ndio niingize Tanzania kutengeneza chakula, nilipoenda wizara ya mifugo kuulizia utaratibu wa kibali na shughuri yenyewe ikaishia hapo ikabidi niache bonge la biashara.Nchi hii longolongo nyingi
Jelous tu
Wanataka mabilionea wawe wale wale tu
Ova
πππDah wewe ndio umenikatisha tamaa kabisa,yaani hata sitamani tenaMamlaka ya kutoa kibali cha kusafirisha Kahawa yako chini ya Bodi ya Kahawa. Wasiliana nao utapewa maelekezo. Ukipata hicho kibali lazima upate wakala wa forodha ili akutengenezee documents export. Kwa maana hiyo lazima uwe na TIN hata kama sio ya biashara. Itakugharimu lakini ndio utaratibu.
BRANCH MANAGER
TANZANIA COFFEE BOARD
Godown No.1
United Youth Godowns
Off Bandari Road,Kurasini
P.O Box 3437
Dar es salaam
TEL. +255 22 β 2129847
FAX. +255 22 β2111624
EMAIL.
Dah pole sana .....Nilipata mchongo wa kuchukuwa damu ya ng'ombe kwenye machinjio Nairobi niipike kulekule ndio niingize Tanzania kutengeneza chakula, nilipoenda wizara ya mifugo kuulizia utaratibu wa kibali na shughuri yenyewe ikaishia hapo ikabidi niache bonge la biashara.
Maana nilivyoambiwa sample inaenda hadi kwa mkemia mkuu wa serikali kabla ya kibali nikawa sishangai kwa nini Watanzania ni maskini tena mafukara kabisa.
Hahahahaaaa nauaOption ya kwanza ni cheap lakini risky.
Hebu fikiria umepewa mzigo wa kahawa iliyokaangwa umpelekee mtu ujerumani.
Unafika ujerumani watu wa narcotics wanaupima wanakuambia hiyo kahawa iko coated na cocaine.
Wema wako ndiyo kosa lako
Yaani nilichoka nilivojibiwa,yaani Tena hapo baada ya kuuliza zaidi ya watu watatu kwenye Ile sehemu maana anayeshughulika mizigo akaniambie emu nenda kaulize dirisha like pale,na huyo akanielekeza kwingine ndio nikapata jibu hiloSasa kama siyo urasimu inawezekanaje mamlaka ya serikali kama Posta eti hawajui taratibu za kufanya ili mtu asafirishe Parcel? Kama mtumishi wa umma hajui je raia wa kawaida itakuwaje?