Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasahivi iko hoi bin taabani hadi siamini kama ni ile shule iliyokuwa tishio
Sikuwa jirani....nilikuwa pembeni kidogo[emoji2]Ndio. We ulikua wapi jirani
Kipindi Cha Nani ulikuepo tech? Kisuu mpambwe? Au mjeda? Sheby?Skill and efficiency
Watoto wa man to man😄Skills and efficiency
Nilivosoma haraka haraka sasaElimu ni ulinzi
Watoto wa 'Mantu man'[emoji23]Skills and efficiency
UmesomajeNilivosoma haraka haraka sasa
Nilikuwa pale 1988 mpaka 1991, group 4 (la umeme) enzi za Mbungi na Shabani (umeme), Mwakalindile (namba), Anand (mhindi wa namba), Trut, Mrs Mwakalindile (Chemistry), Mchili (Namba), Msigomba (Biology mwisho form two), Kitomari (Kiswahili), Saka, Mwampaja Headmaster niliyemkuta, akafuatiwa Nkondokaya. Na wengine wengiKipindi Cha Nani ulikuepo tech? Kisuu mpambwe? Au mjeda? Sheby?
Uache ukorofi kijana 🤣Jukwaa la elimu ili tuache..
🤣🤣
Kipindi hicho inaitwa "Jela ndogo" na ilikuwa jela ndogo kweli kweli. Assemble ya shule inaitwa "Konde la damu". Kweli kila zama na nabii wake .Sasahivi iko hoi bin taabani hadi siamini kama ni ile shule iliyokuwa tishio
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Mtoto wa juziPrimary: Education goes with prayers.
O Level: Elimu ni Hazina
Advance: Nidhamu, Maarifa Juhudi
Degree: Embracing the Knowledge
Msc: Hekima ni Uhuru.
Kitaa: Elimu Dunia
Imeporomoka,hadi inashindwa kuwalipa waalimu mishahara kwa wakati.Kipindi hicho inaitwa "Jela ndogo" na ilikuwa jela ndogo kweli kweli. Assemble ya shule inaitwa "Konde la damu". Kweli kila zama na nabii wake .
Sent using Jamii Forums mobile app
Aah ok Hahahaha ilikua rahaa sana enzi zile . Hao lyamungo walinisababishia kupewa suspension ilitokea fujo hatari mambo ya mpiraSikuwa jirani....nilikuwa pembeni kidogo[emoji2]
Nilikuwa na "Rafiki" yangu alikuwa anasoma Lyamungo...
Ikuwa akija kunitembelea shuleni na Rafiki zake wananiambia Ile habari yanu ya kugombea mademu wa Weruweru na Machame[emoji2]