Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umbwe na Lyamungo mlikuwa na shida nyingi sana nyie[emoji2]Aah ok Hahahaha ilikua rahaa sana enzi zile . Hao lyamungo walinisababishia kupewa suspension ilitokea fujo hatari mambo ya mpira
Daah shikamoo anko me mtoto wa juzi pale,,, Ila kitomari kanifu dsha alkua wa chemistry sio kiswahilNilikuwa pale 1988 mpaka 1991, group 4 (la umeme) enzi za Mbungi na Shabani (umeme), Mwakalindile (namba), Anand (mhindi wa namba), Trut, Mrs Mwakalindile (Chemistry), Mchili (Namba), Msigomba, Kitomari (Kiswahili), Saka, Mwampaja Headmaster niliyemkuta, akafuatiwa Nkondokaya. Na wengine wengi
We man to man man to man iyaaa iyaaa kipara chako kinamagamba🎶😄 umenkumbusha mbal we jmaa enzi za vitom,shumbi,nyuka,komboraWatoto wa 'Mantu man'[emoji23
Afande Kumaliga anakusalimiaJitegemee JKT High School
Sawa ARU AlumnHuko chini sizikumbuki ila nakumbuka tu ya chuo pale getini herufi kubwa
"ARDHI NI HAZINA"
Nadhani mshapajua
Vaginga mojaKipindi Cha Nani ulikuepo tech? Kisuu mpambwe? Au mjeda? Sheby?
Sahii nasema "baba nisamehe nilikuwa ni soro by the time"😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwehu wewe!!!!
Sahii unasemaje?
Ulikuwa ni ufalaa 😂Ahahahah Unanikumbusha enzi za debate shule,hii mada ilikuwa inapendwa Sana kujadiliwa kila Mara,nilikuwa nakwepa sn debate za aina hii..Elimu inakuwaje bora kushinda mtee?
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sahii nasema "baba nisamehe nilikuwa ni soro by the time"[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3]ata sikumbuki nimesoma shule kibaoNaanza na Mimi "Education, Discipline, Self-reliance"