Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama huu ndyo ulikuwa wa mwisho😂Huu ndio ume wahi, zile nyingine wame zifuta🤣😂
Ngoja nami niandike uzi wangu bado sijachelewa 😂😂
Tulia kesho sisi yanga Sc tunapiga mtu 3Kesho sijui nijifiche wapi hizo dakika 90.
Presha nnayokua nayo haielezeki sijui wenzetu wanawezaje kwenda na uwanjani
Njoo nikupe sehemu ujificheKesho sijui nijifiche wapi hizo dakika 90.
Presha nnayokua nayo haielezeki sijui wenzetu wanawezaje kwenda na uwanjani
Waandishi sio timu ya Simba, subiria taarifa rasmi toka kwa klabu husika. Mnapenda kubeba kila mnalosikiaMbona ķuna baadhi ya waandishi wanasema simba wamegoma kucheza kesho kutokana na leo kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho, kuna ukweli?
Sio kweliMbona ķuna baadhi ya waandishi wanasema simba wamegoma kucheza kesho kutokana na leo kuzuiwa kufanya mazoezi ya mwisho, kuna ukweli?
Amka utajikojoleaMechi si ni kesho?
safi sanaa sister maneno ya Lily wayne kwenye ngoma yake inaitwa john kama sikoseiNatabiri kua kuna uwezekano mashabiki wa Simba wengi kupoteza Maisha au kuzimia. Cox wengi wanajihakikishia ushindi. Wanaenda na matokeo Yao. For me, I always prepare for the worst while I'm waiting for the best
Naunga mkono hoja tajiri huna baya tukutane kesho VIP A 😎😎Mpira ushachezwa huu ng'aeni macho tu hapa 😅😅😅😅
Kuna madunduka yamekufa magoli, zaidi ya mawili.
Mganga wao, anajaribu kuileta mvua imemgomea. Kuna watu watapoteana hapa. Nikitoka kwa Mkapa nitarudi. 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰