POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

Tubaki kwenye hoja ya kuazimana makocha maana naona unataka kuikimbia kwa kumung'unya maneno na kuongea lugha za kimazingaombwe. Tutajie hao makocha ambao Coastal na Simba wameazimana.
Nikimbi ili iweje, wewe ndio uliye kimbia na kugomea mechi zote za ligi.Nyie si mnakocha wenu wa akiba.
 
Please Moderator , Active Paw na wengine msifute wala kuunganisha huu uzi.

Kimsingi wana jangwani jana tulikwazika kwa kukimbiwa na baby wetu wakati tulishapaka mkongo. Wacha tuenjoy na kuendeleza utani wa jadi baada ya Vugagula FC a.k.a Wazee FC kutukimbia.

Mwanachiiiiiii tuendelee hapa.kwa kutupia picha au video ya kukera hawa waganga FC waliokuja na mabasi 6 yaliyojaa video vifupi vikiwa vimebeba ndevu za konokono, maziwa ya kuku, miiba ya nungunungu n.k

 
Back
Top Bottom