POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

POSTPONED (PP): Yanga SC VS Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2025

Tushamaliza sisi tulitaka tu kudocument hiki cha leo so pakuanzia na kumalizia tunapo.
Pa kuanzia na kumalizia wapi boss?

Tatizo la kuwa shabiki huwa haijulikani viongozi watafanya nini na kwanini, inakuwa kama kubeti.

Sasa mfano hii statement yako, ikienda tofauti na Yanga ikacheza mechi badala ya kudai point 3?
 
Pa kuanzia na kumalizia wapi boss?

Tatizo la kuwa shabiki huwa haijulikani viongozi watafanya nini na kwanini, inakuwa kama kubeti.

Sasa mfano hii statement yako, ikienda tofauti na Yanga ikacheza mechi badala ya kudai point 3?
Vipi ikiwa sawa hili nalo umejiuliza? Mbona hautoi mfano baada ya kauli ya Magoli kusema hawato cheza mechi yoyote ya ligi......?
 
Msije tu mkawazuia Coastal J4 kufanya mazoezi siku moja kabla ya mechi
Tuwazuie funguo za uwanja tunatembea jazo sisi.

Nyie naona Magoli kasema mshamaliza ligi maana mmesusia mechi zote.
 
Tuwazuie funguo za uwanja tunatembea jazo sisi.

Nyie naona Magoli kasema mshamaliza ligi maana mmesusia mechi zote.
Kwani mmeingiaje uwanjani leo saa 10 wakati mechi iliahirishwa toka mchana?
 
Tushamaliza sisi tulitaka tu kudocument hiki cha leo so pakuanzia na kumalizia tunapo.
Ila Uto mtafute mwanasheria msomi huyo mlienae mmmh.
Mwanasheria kila tukio anagaragazwa tu, au hamkufanya vetting vizuri mmeajiri KOLO?
 
Kwani mmeingiaje uwanjani leo saa 10 wakati mechi iliahirishwa toka mchana?
Yanga haifanyi kazi Instagram inaofisi mpaka sasa haijapata barua hiyo.

Unatuuliza tumeingiaje wakati gharama za uwanja tunaolipa ni sisi.
 
Ila Uto mtafute mwanasheria msomi huyo mlienae mmmh.
Mwanasheria kila tukio anagaragazwa tu, au hamkufanya vetting vizuri mmeajiri KOLO?
Htuhitaji mwanasheria Msomi ktk hili, tuna endelea na mechi ijayo.

Nyie KOLO FC mliogomea mechi zote zilizo bakia sijui mnatumia vifungu gani.

Tushafunga hii mechi tunaisubiri ijayo.
 
Yanga haifanyi kazi Instagram inaofisi mpaka sasa haijapata barua hiyo.

Unatuuliza tumeingiaje wakati gharama za uwanja tunaolipa ni sisi.
Aliyekwambia Yanga haikuwa na taarifa rasmi toka mchana kakudanganya na kukudharau sana.
 
Aliyekwambia Yanga haikuwa na taarifa rasmi toka mchana kakudanganya na kukudharau sana.
Hiyo barua ilifika ofisi za Yanga saa ngapi? Ndio maana uongozi wote ulikuwa uwanjani siku ya leo.....

Halafu unaumia nini Yanga kuendelea na plan zake,wakati wewe umegomea mechi ya leo na tena umesusa mechi zote zilizo baki au sijui na hilo utataka ubembelezwe na Drama zenu

Akili ya Yanga ipo kwenye mechi inayofuata,tushamalizana na wewe leo.
 
Hiyo barua ilifika ofisi za Yanga saa ngapi? Ndio maana uongozi wote ulikuwa uwanjani siku ya leo.....

Halafu unaumia nini Yanga kuendelea na plan zake,wakati wewe umegomea mechi ya leo na tena umesusa mechi zote zilizo baki.

Akili ya Yanga ipo kwenye mechi inayofuata,tushamalizana na wewe leo.
Unajisikiaje kupoteza pwenti 3 leo kwa kuvunja kanuni kizembezembe? Viongozi wenu wamewahujumu sana leo.
 
Unajisikiaje kupoteza pwenti 3 leo kwa kuvunja kanuni kizembezembe? Viongozi wenu wamewahujumu sana leo.
Nani kapoteza kwa mujibu wa kifungu gani?

Yaani unasema viongozi wetu wametuhujumu. Huku kiongozi wako kasusia mechi zote za Msimu zilizo bakia au huyu hajawahujumu.
 
Nani kapoteza kwa mujibu wa kifungu gani?

Yaani unasema viongozi wetu wametuhujumu. Huku kiongozi wako kasusia mechi zote za Msimu zilizo bakia au huyu hajawahujumu.
Mmeipa Simba pwenti 3 za bure kizembe sana asee.

Simba inataka majibu ya kuridhisha ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya wote waliohusika kuizuia kuingia uwanjani siku ya jana na inataka iahidiwe matendo hayo ya kihuni hayatarudiwa tena.
 
Mmeipa Simba pwenti 3 za bure kizembe sana asee.

Simba inataka majibu ya kuridhisha ya hatua zilizochukuliwa dhidi ya wote waliohusika kuizuia kuingia uwanjani siku ya jana na inataka iahidiwe matendo hayo ya kihuni hayatarudiwa tena.
Tushachikua tatu na uwanjani tulikuwepo, sasa sijui kifungu gani mmetumia?

Kwa hiyo nyie Magoli hajawahujumu.
 
Tushachikua tatu na uwanjani tulikuwepo, sasa sijui kifungu gani mmetumia?

Kwa hiyo nyie Magoli hajawahujumu.
Nasikia leo mmevunja kanuni nyingine kwa kutotumia mlango rasmi. Hivi mna nini nyie?
 
Tushachikua tatu na uwanjani tulikuwepo, sasa sijui kifungu gani mmetumia?

Kwa hiyo nyie Magoli hajawahujumu.
Mmechukua pwenti tatu wakati hakukuwa na refa aliyeanzisha wala kumaliza mchezo? Halafu unadai wewe ni mtu wa mpira
 
Nasikia leo mmevunja kanuni nyingine kwa kutotumia mlango rasmi. Hivi mna nini nyie?
Utasikia mengi tu,sie tushamaliza leo tumechukua tatu muhimu tunasonga mbele. Endeleni na mgomo, Yanga itaendelea kucheza na kushinda mechi zake.
 
Back
Top Bottom