Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Tumebaini mbinu zenu chafu, hatutocheza mpaka tubembelezwe na mama🤣🤣Mtani imekuwaje tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumebaini mbinu zenu chafu, hatutocheza mpaka tubembelezwe na mama🤣🤣Mtani imekuwaje tena?
🤣 Mama yuko busy na siku ya Wanawake ujue. 🤪Tumebaini mbinu zenu chafu, hatutocheza mpaka tubembelezwe na mama🤣🤣
Acha porojo we 🐸WAGANGA FUSO 2 , MAITI ZA POPO KENTA 2 , WACHEZAJI WAMEFUNGWA MANYOYA YA MBUZI KICHWANI . ......Hata Ungekuwa Wewe Ungeweza Kuwaruhusu?
😀😀😀Ile siku Mimi nilikata tamaa kabisaDaah! Mungu saidia jioni ya kesho iwe njema mana usiku wa Tabora united ulikuaga mrefu sana sitousahau
😀😀😀Ile siku Mimi nilikata tamaa kabisa
Mara ya mwisho timu hizi zilipokutana tarehe kama hii ilikuwa 8 Machi 2015 ambapo Simba aliibuka na ushindi wa 1-0.
Gusa achia twende kwao au Ubaya ubwela?View attachment 3263067
Hadi Mimi 😀😭Nililia mnooo
Rudia kusoma maandiko yako ujione ulivyo mjingaKama simba hawatapeleka timu uwanjani si washushe dalaja, ili iwe fundisho kwa wengine na heshima kwa ligi yetu.?
Timu yenyewe haina hata uwanja, inataka kitu cha watu kiwe kama chake, si ajenge kama ni rahisi awe anapigia mazoezi, yake adhubutu, kufanya ujinga wake ataona??Rudia kusoma maandiko yako ujione ulivyo mjinga
Huwa huniangushi, sasa nakupa siri za simu za bwana shemeji maana inaelekea kupona leo 😅 😅Mpira ushachezwa huu ng'aeni macho tu hapa 😅😅😅😅
Kuna madunduka yamekufa magoli, zaidi ya mawili.
Mganga wao, anajaribu kuileta mvua imemgomea. Kuna watu watapoteana hapa. Nikitoka kwa Mkapa nitarudi. 🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰