NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Wanasemaga huwezi kujua thamani ya kitu mpaka kipotee, ukiwa nacho waweza kukichukulia poa lakini kipotee sasa, tena kiwe na attachment yako ya maisha yako, historia, mali zako, elimu, n.k.
Binafsi nkumbuka kuna siku nimeenda jengo flani nikapaki gari huku nimeacha laptop, ile narudi nakuta laptop haipo wahuni washafanya yao kwa mbinu wanazojua wao, acha kabisa wakuu!! nilihisi kuchanganyikiwa maana mafaili kibao kuanzia picha zangu za ukumbusho, videos, documents, vyeti, n.k. zikawa zimeenda MOJA KWA MOJA. very painful!!
Mafaili haya yakienda huwa yameenda kama huna copy zake tunazoita backup, mafaili kama muvi na miziki unaweza kudwnload upy ila mafaili binafsi hio ni ishu nyingine kabisa, hata ukibahatika kukuta simu au laptop yako iliyoibiwa kuna uwezekano mkubwa ishakuwa formatted ama kuflashiwa.
Binafsi nilienda kununua hard disk ya gb 500, ni maalum kwajili ya kutunza data private, huwa siweki muvi wala miziki labda iwe ngumu kuipata
Online naipenda pia lakini changamoto ni kwenye bei za vifurushi, natumia google drive wanaotoa gb 15, nazitumia zaidi kutunzia nyaraka za pdf,
Tujuzane zaidi tafadhali.
Binafsi nkumbuka kuna siku nimeenda jengo flani nikapaki gari huku nimeacha laptop, ile narudi nakuta laptop haipo wahuni washafanya yao kwa mbinu wanazojua wao, acha kabisa wakuu!! nilihisi kuchanganyikiwa maana mafaili kibao kuanzia picha zangu za ukumbusho, videos, documents, vyeti, n.k. zikawa zimeenda MOJA KWA MOJA. very painful!!
Mafaili haya yakienda huwa yameenda kama huna copy zake tunazoita backup, mafaili kama muvi na miziki unaweza kudwnload upy ila mafaili binafsi hio ni ishu nyingine kabisa, hata ukibahatika kukuta simu au laptop yako iliyoibiwa kuna uwezekano mkubwa ishakuwa formatted ama kuflashiwa.
Binafsi nilienda kununua hard disk ya gb 500, ni maalum kwajili ya kutunza data private, huwa siweki muvi wala miziki labda iwe ngumu kuipata
Online naipenda pia lakini changamoto ni kwenye bei za vifurushi, natumia google drive wanaotoa gb 15, nazitumia zaidi kutunzia nyaraka za pdf,
Tujuzane zaidi tafadhali.