Poti wangu wa Kizanaki IGP Wambura haya anza sasa kuaga wafanyakazi wako kwani ni suala la muda tu unaondoshwa, Sawa?


View: https://youtu.be/HG7twbc82ig?si=66dcVrJ94s6nzKNI
 
Jumatano asubuhi Sir George Simbachawene anaapishwa kuwa waziri wa mambo ya ndani ya nchi kuchukua nafasi ya Hamad Masauni; tunzeni hii post
Mkuu sasa ni jumatano mishale ya saa moja mbona kimya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…