CASSIUS
Member
- Nov 1, 2012
- 36
- 5
Anahitajika mtaalamu wa kilimo na mifugo mwenye elimu ya kuanzia ngazi ya stashahada mwenye ujuzi na uzoefu kwenye tasnia ya ufugaji wa kuku wa nyama wa kisasa.
Eneo la Mradi: Kazimzumbwi - Kisarawe (Pwani)
Anatafutwa mtu mwenye sifa:-
Eneo la Mradi: Kazimzumbwi - Kisarawe (Pwani)
Anatafutwa mtu mwenye sifa:-
- Mwenye ujuzi na uzoefu wa kusimamia na mradi wa ugugaji wa Kuku wa nyama
- Awe na elimu kuanzia stashahada (diploma) kwenye kilimo na mifugo
- Kuelewa chanjo, vyakula, magonjwa na tiba kwa kuku
- Mwenye leseni ya kukagua nyama
- Ujuzi wa kuendesha na kusimamia mashine za kuchinja na kuchakata kuku
- Uelewa wa matumizi ya kompyuta
- Uwezo wa kuongoza na kusimamia watu
- Kuandaa na kuwasilisha taarifa za mradi