Poverty Elimination in Tanzania is a 'Result Oriented Business'

Poverty Elimination in Tanzania is a 'Result Oriented Business'

Eric I suppose occasionally it is healthier to stop being salient hypocrites and call a spade a spade. It is not easy… We are a big country but still a awfully small nation in conditions of development of all spheres. My perspective is what matters is that each member of the nation be reached by the government and given all the essentialities needed by that person depending on the level of education and Work specialty of the person in question. It is an unavoidable fact that most Tanzanians are not that educated. In other words huyo wa kijijini hata kama hajasoma si it means kua there is something productive s/he is/has to do? That is where relinquishing the problems related to setbacks in her/his field should be directed… If it is fishing, agriculture or Whatever…. What is essential? Once an answer is obtain (from them through their representatives) that is when you know what it is you have to provide, focus and deliver to them. As a leader it means s/he has played part katika kuweka mazingira endelevu…. As a citizen you play your part in taking advantage of that or it is useless…

Hivi unadhani kua all these tribulations ambazo tunazo (hasa related to the Economic Development sector) major causative ni Katiba? IMO, Katiba is just part of the causative. The constitution may have its pores, but if indeed that katiba was adhered to the dot by the leaders and members of parliament we would have been far way better regardless it’s imperfect state! Eric I remember my last thread in the Political Forum hapa JF you did comment touching on the same thing (which insinuated that katiba was the reason behind the prob)… I get an impression you have concluded all the social economic problems in our nation are more so because of the pores in the katiba. This to me would be a wrong postulation.


AshaDii,

I suggest you should read: The Elusive Quest for Growth. Mwandishi William Easterly kafanya kazi katika nchi nyingi Afrika. Na vitu vingine anavyoeleza ni hivi tunavyovizungumza hapa.

Unauliza kama kuinua kiwango cha elimu kunaleta maendeleo, basi nchi nyingi za kiafrika zingekuwa zimeendelea. Kwa mfano 1972 Tanzania ilikuwa inapeleka shule 25% ya watoto. Na sasa hivi inapeleka zaidi 75% lakini umasikini bado hupo palepale.

Kama demokrasi ya nchi za magharibi (katiba) ni msingi wa maendeleo, kwanini South Korea, China au Asian Tigers zimeendelea zikiwa katika udikteta? Sera nzuri za maendeleo sio lazima zipangwe na katiba.

Inawezekana kikwazo chetu cha maendeleo kinatokana na kwamba we haven't found the missing link. Je hiyo missing link ni nini? Katiba? Good governance? Foreign Investments? Education?
 
Kuondoa umasikini Mfano, njia, na dira inatakiwa kutolewa na vingozi nahaohao vingozi waishi yale wanayohubiri.

Tukisema kuondoa Umasikini ni result orinted je ni result gani hizo zinazotolewa na kuthibitshwa na nani .ni IMF, WB au Wizar ya fedha?

Inawezekana wapo viongozi wengi wanaumizwa na umasikini wa watanzania akini hawaui katika postion zao nini wafanye kikubwa au kidogo kinachweza kueta mabadiio tofauti na mazoea waliyoyakuta. ifupi hatuna Vingozi wenye maawazo mapya na UBUNIFU au VISION

Mfano tujiulize. Hivi hakuna waziri au RC PS au CE wa shirika kubwa amabye anaweza kuonyesha mfano wa kusema no to VX akatumia japo Vitara. Je
  • hautakuwa mfano kwa hata wengine?
  • ataokoa shilingi ngapi za mafuta wa wiki mwezi na mwaka.

Wananchi wengi sisi tuna umasikini wa mali lakini viongozi wetu wana umasikini wa fikra ambao nao umehamia kwetu wananchi. Ndio maana nimeta mfano wa VX nadhani viongzoi wengi na MA CEO wengi wa mashirika ya Umma tanzania wanaweza kuona ni kuhalilishwa wao kutumia gari ndogo.


Haya tunaambiwa kiwanja cha ndege cha kimataifa Songwe mbeya kitasiaida soko a maua.Atthe same time raeal backbone infastructure ya kuondoa umasikini TAZARA iko hoi.!!!!!!!! Huo umasikini wa maua ni wa faida ya nani. Hivi
  • Wananchi wangapi wana uwezo wa kupaa kwa kutumia hivi vianjwa vya ndege ?.
  • Ton ngapi za mahindi mazao na bidhaa zisafirishwa kwenye hivi cha songwe ili bidhaa ziwafikie wananchi na movemt ya bishara iwe rahisi

Hiyoo ni mfano mdogo kuwa poverty elimantion ni zaidi ya resut oriented.

Kuna kitu kitu inaiwa SWOT analysis. Viongozi wakuu wanatakiwa kukaa chini na kutafuta nini ni SWOT za Tanzania na nini ifanyike kuhusu hizo SWOT kwenye sekta mbalii mbali kwa kufuataPriority fulani. Sasa ni ajabu nchi inayotegea utalii wa wanyama pori( Serengeti) kuwauza hao hao wanyama pori kwe bei che waende ne wenye mazoo. Kifupi hatutambua hata SWOT yetu kama nchi so tunajihujuu sisis wenyewe. Kama ningeuwa wazili wa utai nineelaka hadi bunge la afriamashariki kupiga maruufkfuku kuuza wanyaa pri hai nje ya chi. Kama kuna ulazima basi iwepo cap au tuwakodishe hao wanyama badala ya kuwauza. Wachina amabo nina nadhani homework yao ya SWOT wameshamaliza wanawakodisha panda wao Sio kuwauza ama sisi tunavyouza.

We need to set Our priorites right . sio kilimo kwanza cha kisiasa tu kivitendo mhh

Cha mwish nadhani wengi wetu tunapooonglea poverty tunatazma zaidi material weath. So am asking Wht is poverty? na ni poverty gani tunayotakiwa kuondoa.

Mtazamaji,

Kuna viongozi wa Tanzania wanaumizwa na maisha ya watanzania. Na kuna viongozi wengi tu ambao wana sifa zote za kuwa viongozi kutokana na vigezo vya watanzania. Lakini kinachowakwamisha ni kuwa hawajui wafanyalo.

Watanzania hatuna knowledge base na hatujajenga capabilities zetu. Kwa mfano uzalishaji wa chakula ni capital intensive hata Marekani. Lakini hili nchi kama Marekani wazalishe chakula cha kutosha, wanatoa ruzuku kwa wakulima.

Mkulima Tanzania anahimizwa kulima na hapati chochote asipofanikiwa katika msimu. Mkulima huyohuyo akihamua alime kwa sababu ya kujitosheleza mwenyewe kwa chakula, anaitwa mvivu.
 
AshaDii,

I suggest you should read: The Elusive Quest for Growth. Mwandishi William Easterly kafanya kazi katika nchi nyingi Afrika. Na vitu vingine anavyoeleza ni hivi tunavyovizungumza hapa.

Unauliza kama kuinua kiwango cha elimu kunaleta maendeleo, basi nchi nyingi za kiafrika zingekuwa zimeendelea. Kwa mfano 1972 Tanzania ilikuwa inapeleka shule 25% ya watoto. Na sasa hivi inapeleka zaidi 75% lakini umasikini bado hupo palepale.

Kama demokrasi ya nchi za magharibi (katiba) ni msingi wa maendeleo, kwanini South Korea, China au Asian Tigers zimeendelea zikiwa katika udikteta? Sera nzuri za maendeleo sio lazima zipangwe na katiba.

Inawezekana kikwazo chetu cha maendeleo kinatokana na kwamba we haven't found the missing link. Je hiyo missing link ni nini? Katiba? Good governance? Foreign Investments? Education?
Mkuu wangu unajua mimi sipendi sana kuwasikiliza watu wanaoandika vitabu ili VIUZWE wanakuwa na malengo yao kwanza..Wanaatumia mitaji yao kufanya research ya muda kutokana na matatizo yetu wakilenga kuuza vitabu kwa faida ya kazi waloifanya, yale yale yale ya Koni...
Matatizo ya Afrika na hasa sub sahara ni makubwa kuliko wao wanavyofikiria kiuchumi maana watakwambia hatufuati kadhaa wa kadhaa pasipo kuzingatia kwamba sisi Waatanzania (WATU) na MAZINGIRA yetu ni tofauti kabisa na nchi zao au experience zao.. Naweza sema wao walikuwa na wakati mgumu zaidi kuyapata maendeleo yao kuliko sisi ambao tunaiga tu maendeleo na hata mahitaji yetu ni ya kuwafukuzia wao lakini utaona ya kwamba kwa kila walichovumbua waliweza kukiuza nje na waligawana masoko ndio maana kukawepo na left wing na right wing sio tu hawa walishindana ktk siasa bali pia walishindana ktk kiuchumi ktk masoko..Sisi akina Yakhe hatukuwa na wala hatuna ushindani muda wote ni users end..

Wakati Ulaya inatafuta maendeleo hawakuwa wanafukuzia kitu au mtu isipokuwa walijijenga kulingana na mahitaji yao, nia na dhamira ya kuweza kubaliana ana mahitaji, walivumbua gari kwa sababu walihitaji usafiri wa haraka zaidi ya punda, ng'ombe au farasi. Kwa kila walichohitaji walijiwezesha wenyewe kukabiliana na mahitajio hayo tofauti na sisi ambao kila kitu kipo dukani na maadam ni wahitaji tunaingiwa na UVIVU wa kufikiri kuzalisha ikiwa mali ipo dukani.

Sasa ukitazama mifano midogo ya Economic principles, utaona kwamba wafanyabiashara wetu wanakusanya dollar zao wanakwenda China kununua nguo au viatu na kuja viuza TZ kwa faida, mjasiriamali huyu hakufikiria kwamba kiuchumi alitakiwa kwenda na mali ya Tanzania worth so much dollar kwenda ziuza China ambazo zingemwezesha kununua hizo nguo ama viatu. Halafu unajiuliza hivi ni lazima tukanunue viatu nguo na China wakati tunazalisha Pamba nchini?. Kwa nini sisi tusiwe wauzaji wa nguo na viatu ikiwa zao la Pamba na ngozi kwa mkulima mfugaji wa Tanzania ni cheap kuliko China au India ambao tunawauzia malighafi hizo hizo tulokwenda nunua finished product. Majuzi tu nimesikia tumeagiza mafuta toka shirika la Uswiss kwa mabillioni ya dollar sisi tumeuza nini? hakuna kitu, ati cash transaction kwa sababu tunahitaji mafuta ya 2.6 billioni dollar a year. Hii ni Users end economic principles and practical work policy..

Hivyo utakuta kwamba sio tu mkulima hawezeshwi na serikali bali hata mfanyabiashara kufungua kiwanda cha nguo ama viatu ni kazi mpya hatuna mawasiliano bora na financial institution sambazo zinafuata utaratibu wa Ulaya wakihisaniwa na mashirika ya bima ya Ulaya ambako tayari kila mtu ana social ID, tax na kajenga credit yake kwa miaka zaidi ya 30. Wao tayari system imeshajengeka kiuchumi wakati sisi hata tax return system yenyewe hatuna.

Jingine ambalo naweza lisema kuhusu viongozi, mimi nadhani unapokuwa na Taifa maskini likaongozwa na viongozi maskini kuna hatari ya kupoteza Uzalendo hasa tunapojiingiza ktk demokrasia inayofanana na nchi za Ulaya. Hawa wenzetu walianza na itikadi ya Udikteta, Ufalme ama Usultan na ktk kupingana na nadharia hizi walikuja na siasa zinazopingana na mwelekeo huo ndio wakaunda makundi ya Upinzani lakini sisi tumeunda vyama vingi sio kupingana na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea bali tumeunza vyama vya upinzani against chama CCM. Kwa hiyo CCM badala ya kutazama utekelezaji wa itikadi, sera na ilani zake wanajilinda kama chama maana focus kubwa ni kukionda chama madarakani bila kujali wana itikadi au sera zipi zisizokubaliwa. Mfumo huu wa kiutawala unatukwaza sana nchi maskini na pengine tunatakiwa kujitazama upya na kuweka ushindani wa vyama kwa malengo yake na sio Upinzani na ushindani kama wa mchezo wa Mpira kuangalia nani ana team bora ya wachezaji..
 
Ni kweli moja ya njia za kundoa umaskini ni kuwa results oriented. Mtu ambaye ni results oriented ana-focus zaidi on making things happen. Pamoja na challenges zote, mtu huyo ana-stay resolutely focused on the core principles of gaining alignment and achieving clarity. Pia mtu huyo anahakikisha kuwa projects and efforts are consistently focused on delivering value for the organisation.

Lakini results-oriented approach ina elements mbili ambazo ni focus on measurable outcomes and allowing people to create their own schedules and choose where they would work. Mleta mada kaelezea element ya kwanza tuu. Ningependa aongelee pia element ya pili ya flexibility.

Kwa mfano, hii approach ikitumika kwenye sehemu ya kazi, element ya pili inawafanya waajiriwa kuwa na control zaidi juu ya muda na timing ya kazi zao kwa faida zao, familia na jamii kwa ujumla. Kwa upande wa Tanzania si tunaweza kusema wazi kabisa kuwa waajiriwa hasa in public sector wako so flexible in doing their jobs? Mbona sasa hatuoni results kwenye kazi zao?

Utajua kama shughuli unazofanya ni results-oriented kama ukijiuliza "why" kwa kila shughuli unayofanya kila siku. Lakini tukumbuke kwamba pamoja na kujiuliza "why" pia huna budi kujiuliza "what", "how" "who" and "when". Ukijiuliza hayo maswali utakuta kwamba results oriented (why) is not the only way to alleviate poverty. You also need to understand the poverty itself, how are you going to alleviate it, who will be doing this alleviation and when.

Kwa mfano, studies nyingi zimekuta kuwa the most important took ya kuondoa umaskini Afrika Mashariki ni indigenous knowledge (how). Lakini champions of poverty alleviation wana-disregard kabisa hii tool. Sidhani hata serikali kama inatumia indigenous knowledge kupunguza umaskini. Ndio maana unakuta ardhi na madini wanapewa the so called "investors" bila hata kuwashikirisha the locals. Baada ya "investors" kuchimba madini yao na kumaliza wanaanza mbele huku wenyeji wakibakia na mapango.

Ni kweli Tanzania inaweza kupata kiongozi mwenye sifa zote Watanzania wanazoziotea ndoto na bado nchi ikaboronga. Lakini hii haina maana kuwa good governance, transparency and accountability are not key components towards efforts to alleviate poverty. Umasikini unasababishwa na sera mbovu za serikali. Rushwa, ufisadi and management mbaya ya uchumi ni factors amabazo pia zinana promote umaskini. Haya yote yanahusiana na kuwa na ungozi mbaya.

To eradicate poverty from its roots there is need for not only to have results oriented approach but more important a fight against corruption, to improve governance and to ensure transparent use of public funds. Haya yote yatahitaji uongozi mzuri na makini unaojua not only why but also what, how, who and when to eliminate poverty.
 
Zakumi, ninaomba kuisahihisha sentensi yako ya mwisho badala ya kusomeka hivi "Kwa kutumia mifano hii, inaonyesha safari ya China na Tanzania ni tofauti japokuwa nchi hizi mbili ziliwahi kufuata siasa zinazofanana."
isomeke hivi
"Kwa kutumia mifano hii, ni dhahiri Tanzania inaweza kujifunza kwa China na hili linawezekana kama tukipata kiongozi mwenye maono na mwenye uwezo wa kuwaambukiza wananchi wengi hayo maono yake"
Napenda kusisitiza kuwa kiongozi ana mchango mkubwa mno katika mafanikio au kushindwa kwa shughuli yoyote, Steve Jobs alipofukuzwa Apple baada ya kutofautiana na wenzake kampuni iliyomba na kupoteza mwelekeo ambao wenzake walidhani wangeweza kufanikisha ndoto zake bila yeye kuwepo, wakamrudisha na leo Apple Computers ni miongoni mwa makampuni ambayo Wachina wameshindwa kuiga bidhaa zake, hata ukiangalia mataifa kama Marekani utaona kabisa kuwa bila kuwa na watu kama John F Kennedy, huenda Marekani ya leo isingelikuwa taifa lenye kuheshimika kama Taifa kubwa la kidemokrasia.
Mifano ni mingi lakini ninachotaka kusema ni kuwa Mungu akimuinua Musa wetu, tunaweza kutoka utumwani kama ambavyo Mungu aliwainua Musa na Joshua kuwaongoza wana wa Israel kutoka utumwani Misri, naamini kuna siku Musa wetu atainuliwa!

Zakumi,
Ni kweli kabisa. Bila kiongozi imara, hata kama tutakuwa na watu wenye uwezo kwenye mambo mengi hatutaweza kufikia azma yetu ya kufanana na China. Maana nguvu zetu kama wananchi ili ziwe na msaada kwa Taifa lazima tuweze kuwa na coordination ya pamoja na mwelekeo wa pamoja pia kufika tunakotaka kwenda. Leo hii tunachemsha sana! Viongozi wetu ni waheshimiwa. Hawataki kuwatumikia wananchi. Wanataka wananchi wawe wanawaogopa na kuwatetemekea. Tena tuwatetemekee baada ya kufanya uovu na ufisadi ili watufanye miongoni mwa waneemeka wao.
Ukiangalia China na India, China would be by far ahead of the game...sababu ni moja tu....no nonsense kwenye rushwa na mambo ya jamii ikiwemo kujenga uchumi. China imejitahidi kutengeneza uchumi through manufacturing of goods na hivyo kuajiri watu wengi kwenye viwanda vyao. India imejikita kwenye hi tech na kusahau mass production. Middle size ya china inakuwa haraka kuliko ya India. Kwangu mimi kama tunataka kujifunza, BASI China ndo nchi ya kujifunza.
 
Hii hotuba ya Mwalimu jamani tuisikilize tena japokuwa ilitolewa mwaka 1995..ni wakati wa Watanzania kutafakari haya. Bofya.
 
Eric I suppose occasionally it is healthier to stop being salient hypocrites and call a spade a spade. It is not easy… We are a big country but still a awfully small nation in conditions of development of all spheres. My perspective is what matters is that each member of the nation be reached by the government and given all the essentialities needed by that person depending on the level of education and Work specialty of the person in question. It is an unavoidable fact that most Tanzanians are not that educated. In other words huyo wa kijijini hata kama hajasoma si it means kua there is something productive s/he is/has to do? That is where relinquishing the problems related to setbacks in her/his field should be directed… If it is fishing, agriculture or Whatever…. What is essential? Once an answer is obtain (from them through their representatives) that is when you know what it is you have to provide, focus and deliver to them. As a leader it means s/he has played part katika kuweka mazingira endelevu…. As a citizen you play your part in taking advantage of that or it is useless…

If we are to judge people based on our naked observation then your perspective is valid. But if we are to look at things based on the science of humans I am afraid your perspective falls short of explanations and only criticizes without offering an alternative, that is like calling a ‘spoon a spade' and reinforcing the naked lie.

The unavoidable truth about our world are constraints, they form the basis of many political science arguments as we humans are faced with them, resources are all about them, furthermore any system is bound to encounter them (be it a political approach, economical approach, etc).

The universal constraints human-beings have to deal with are of physical nature (supplies of resources). Therefore utilizing these resources efficiently and to the maximum requires not only intelligence but also technological advances and understanding the potential of the resource. Hence your argument on people in the village not doing much given the vast resources surrounding them is feeble.

No one in the village ever goes angry unless fate throws them with a bad harvest or in case of a natural disaster. And in most cases what they produce is based on their best abilities given the man power and understanding of their environment. If it appears not much to you, then the issue is not them but rather those quarries of yours, therefore you need to check with your intelligence and compare it to theirs.

May be those economical possibilities which are seen by you and missed by the villagers are constrained by their poor knowledge and understanding of the potentials they sit on. If that is the case more needs to be done in terms of educating them. But you can't just blame them for not fishing without teaching them methods of preserving their catches.

Those are just psychological and sociological constraints in simplicity and if we are to move this argument into economical and political constraints, which I believe they play a larger role in hindering their participation in the wider economy and their development due to people like ‘Mustafa Mkullo' it would require not less than 2000 words just to get the perspective right.

Remember most of what we call villages are actually remote ‘Hamlets' lacking most basic services and you dare say these people are not exploiting their resources, even if they wanted to how?



Hivi unadhani kua all these tribulations ambazo tunazo (hasa related to the Economic Development sector) major causative ni Katiba? IMO, Katiba is just part of the causative. The constitution may have its pores, but if indeed that katiba was adhered to the dot by the leaders and members of parliament we would have been far way better regardless it's imperfect state! Eric I remember my last thread in the Political Forum hapa JF you did comment touching on the same thing (which insinuated that katiba was the reason behind the prob)… I get an impression you have concluded all the social economic problems in our nation are more so because of the pores in the katiba. This to me would be a wrong postulation.

I don't assume so I know so, nowhere in this world people are guided without a clear contract if they aim to improve democracy. I don't know about you but personally I think we need more transparency from our decision makers a clear guidance on the ministerial code of conduct and MPs.

We need clarification on the role of the Judiciary and its powers, a new method of appointing judges. We also want to see Judges who are there to protect our constitution, we are tired of hearing shooting and unlawful killings of people demanding their rights (stated under constitution), without the perpetrators of the acts being punished. And finally we are tired of judges delivering verdicts accepted by the regime instead of the constitution.
 
Mkuu wangu unajua mimi sipendi sana kuwasikiliza watu wanaoandika vitabu ili VIUZWE wanakuwa na malengo yao kwanza..Wanaatumia mitaji yao kufanya research ya muda kutokana na matatizo yetu wakilenga kuuza vitabu kwa faida ya kazi waloifanya, yale yale yale ya Koni...
Matatizo ya Afrika na hasa sub sahara ni makubwa kuliko wao wanavyofikiria kiuchumi maana watakwambia hatufuati kadhaa wa kadhaa pasipo kuzingatia kwamba sisi Waatanzania (WATU) na MAZINGIRA yetu ni tofauti kabisa na nchi zao au experience zao.. Naweza sema wao walikuwa na wakati mgumu zaidi kuyapata maendeleo yao kuliko sisi ambao tunaiga tu maendeleo na hata mahitaji yetu ni ya kuwafukuzia wao lakini utaona ya kwamba kwa kila walichovumbua waliweza kukiuza nje na waligawana masoko ndio maana kukawepo na left wing na right wing sio tu hawa walishindana ktk siasa bali pia walishindana ktk kiuchumi ktk masoko..Sisi akina Yakhe hatukuwa na wala hatuna ushindani muda wote ni users end..

Wakati Ulaya inatafuta maendeleo hawakuwa wanafukuzia kitu au mtu isipokuwa walijijenga kulingana na mahitaji yao, nia na dhamira ya kuweza kubaliana ana mahitaji, walivumbua gari kwa sababu walihitaji usafiri wa haraka zaidi ya punda, ng'ombe au farasi. Kwa kila walichohitaji walijiwezesha wenyewe kukabiliana na mahitajio hayo tofauti na sisi ambao kila kitu kipo dukani na maadam ni wahitaji tunaingiwa na UVIVU wa kufikiri kuzalisha ikiwa mali ipo dukani.

Sasa ukitazama mifano midogo ya Economic principles, utaona kwamba wafanyabiashara wetu wanakusanya dollar zao wanakwenda China kununua nguo au viatu na kuja viuza TZ kwa faida, mjasiriamali huyu hakufikiria kwamba kiuchumi alitakiwa kwenda na mali ya Tanzania worth so much dollar kwenda ziuza China ambazo zingemwezesha kununua hizo nguo ama viatu. Halafu unajiuliza hivi ni lazima tukanunue viatu nguo na China wakati tunazalisha Pamba nchini?. Kwa nini sisi tusiwe wauzaji wa nguo na viatu ikiwa zao la Pamba na ngozi kwa mkulima mfugaji wa Tanzania ni cheap kuliko China au India ambao tunawauzia malighafi hizo hizo tulokwenda nunua finished product. Majuzi tu nimesikia tumeagiza mafuta toka shirika la Uswiss kwa mabillioni ya dollar sisi tumeuza nini? hakuna kitu, ati cash transaction kwa sababu tunahitaji mafuta ya 2.6 billioni dollar a year. Hii ni Users end economic principles and practical work policy..

Hivyo utakuta kwamba sio tu mkulima hawezeshwi na serikali bali hata mfanyabiashara kufungua kiwanda cha nguo ama viatu ni kazi mpya hatuna mawasiliano bora na financial institution sambazo zinafuata utaratibu wa Ulaya wakihisaniwa na mashirika ya bima ya Ulaya ambako tayari kila mtu ana social ID, tax na kajenga credit yake kwa miaka zaidi ya 30. Wao tayari system imeshajengeka kiuchumi wakati sisi hata tax return system yenyewe hatuna.

Jingine ambalo naweza lisema kuhusu viongozi, mimi nadhani unapokuwa na Taifa maskini likaongozwa na viongozi maskini kuna hatari ya kupoteza Uzalendo hasa tunapojiingiza ktk demokrasia inayofanana na nchi za Ulaya. Hawa wenzetu walianza na itikadi ya Udikteta, Ufalme ama Usultan na ktk kupingana na nadharia hizi walikuja na siasa zinazopingana na mwelekeo huo ndio wakaunda makundi ya Upinzani lakini sisi tumeunda vyama vingi sio kupingana na siasa ya Ujamaa na Kujitegemea bali tumeunza vyama vya upinzani against chama CCM. Kwa hiyo CCM badala ya kutazama utekelezaji wa itikadi, sera na ilani zake wanajilinda kama chama maana focus kubwa ni kukionda chama madarakani bila kujali wana itikadi au sera zipi zisizokubaliwa. Mfumo huu wa kiutawala unatukwaza sana nchi maskini na pengine tunatakiwa kujitazama upya na kuweka ushindani wa vyama kwa malengo yake na sio Upinzani na ushindani kama wa mchezo wa Mpira kuangalia nani ana team bora ya wachezaji..

Mkandara,

Aliyoandika mwandishi ni yaleyale unayozungumza. Kila siku unasema uchumi wa kwetu hakuandaliwa kwa kwa ajili yetu.

Na huyu mwandishi anasema maneno hayo hayo. Anasema kuwa misaada inayotolewa inawafanya viongozi wasiwajibike. Ni kiongozi gani atakayetaka matokeo wakati akishindwa kuhimiza watu wake kwenye kazi za maendeleo au akishindwa kutoa maamuzi magumu anakimbilia kwa wahisani kuomba misaada?

Anatoa mfano: Kila mwaka Israel inapokea msaada wa pesa kutoka Marekani. Kutokana na msaada huu wanasiasa walishindwa kupambana na inflation. Wafanyakazi wa serikali walipokuwa wanagoma, serikali iliongeza mishahara lakini hapohapo ilifanya devaluation. Devaluation ya pesa za misaada zilifanya mfuko wa serikali wa pesa za nyumbani (local currency) kuwa mkubwa na serikali kuweza kulipa ongezeko la mishahara.

Kwa mfano huo juu, je hakuna ukweli kuwa misaada tunayopewa inafanya viongozi wasifanye maamuzi makubwa. Je unafikiri kuna siku kiongozi atasimama na kusema kuanzia kesho wafanyakazi wa serikali watalipwa kutokana na mapato ya serikali?
 
Ni kweli moja ya njia za kundoa umaskini ni kuwa results oriented. Mtu ambaye ni results oriented ana-focus zaidi on making things happen. Pamoja na challenges zote, mtu huyo ana-stay resolutely focused on the core principles of gaining alignment and achieving clarity. Pia mtu huyo anahakikisha kuwa projects and efforts are consistently focused on delivering value for the organisation.

Lakini results-oriented approach ina elements mbili ambazo ni focus on measurable outcomes and allowing people to create their own schedules and choose where they would work. Mleta mada kaelezea element ya kwanza tuu. Ningependa aongelee pia element ya pili ya flexibility.

Kwa mfano, hii approach ikitumika kwenye sehemu ya kazi, element ya pili inawafanya waajiriwa kuwa na control zaidi juu ya muda na timing ya kazi zao kwa faida zao, familia na jamii kwa ujumla. Kwa upande wa Tanzania si tunaweza kusema wazi kabisa kuwa waajiriwa hasa in public sector wako so flexible in doing their jobs? Mbona sasa hatuoni results kwenye kazi zao?

Utajua kama shughuli unazofanya ni results-oriented kama ukijiuliza "why" kwa kila shughuli unayofanya kila siku. Lakini tukumbuke kwamba pamoja na kujiuliza "why" pia huna budi kujiuliza "what", "how" "who" and "when". Ukijiuliza hayo maswali utakuta kwamba results oriented (why) is not the only way to alleviate poverty. You also need to understand the poverty itself, how are you going to alleviate it, who will be doing this alleviation and when.

Kwa mfano, studies nyingi zimekuta kuwa the most important took ya kuondoa umaskini Afrika Mashariki ni indigenous knowledge (how). Lakini champions of poverty alleviation wana-disregard kabisa hii tool. Sidhani hata serikali kama inatumia indigenous knowledge kupunguza umaskini. Ndio maana unakuta ardhi na madini wanapewa the so called "investors" bila hata kuwashikirisha the locals. Baada ya "investors" kuchimba madini yao na kumaliza wanaanza mbele huku wenyeji wakibakia na mapango.

Ni kweli Tanzania inaweza kupata kiongozi mwenye sifa zote Watanzania wanazoziotea ndoto na bado nchi ikaboronga. Lakini hii haina maana kuwa good governance, transparency and accountability are not key components towards efforts to alleviate poverty. Umasikini unasababishwa na sera mbovu za serikali. Rushwa, ufisadi and management mbaya ya uchumi ni factors amabazo pia zinana promote umaskini. Haya yote yanahusiana na kuwa na ungozi mbaya.

To eradicate poverty from its roots there is need for not only to have results oriented approach but more important a fight against corruption, to improve governance and to ensure transparent use of public funds. Haya yote yatahitaji uongozi mzuri na makini unaojua not only why but also what, how, who and when to eliminate poverty.

EMT,

Mkuu nashukuru kwa extension yako. Na kuhusiana na measurable outcomes, ni kitu kinachotupa matatizo sana. Tunafanya kazi zetu bila kujali kuwa kuna matokeo ni lazima yapatikane katika kipindi fulani na kwa kutumia resources gani.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
ZaKumi,

Nimefurahiwa na mada. Nimekuwa naifuatia tangu mwanzo post to post.

Ni seme kweli sikuweza kuchangia kwa sababu ya Tatizo moja. Nashindwa kujua How to define Development and hence how to eliminate poverty! Na lamost karibu kila post kila mchangiaji ana mtizamo wake kuhusu maendeleo ni nini hivyo kuwa na namna yake ya kujaribu kuondoa umasikini.

What principle do define What is development? Is there any universal agreed concept, standard or principle of what is development and hence a way to Poverty eradication?

If we don't have a standard perspective of observing the problem in question how are we going to have a unified and organized output? Doesn't this give a room to any leader any citizen any body to take it in HIS WAY?
 
EMT,
Tunakubaliana sana na Results oriented lakini hata fisadi, jambazi wote wanafit ktk hili isipokuwa wanachokosa ni uzalendo-UTU..

Mkandara,

Nafikiri si kukuelwa vizuri au sikukulewa kabisa!

Unamaana Kwa Matamshi hayo "Results oriented" haijalishi MORAL VALUES katika process ya kufikia malengo yake? AU nikuulize moja kwa moja kama hutajali ... Hivi Unaunga mkono hayo matamshi yako? AU ulitaka ileweke kwa upande wa pili kuwa huungi mkono?

Ndio maana nauliza kwenye Kanuni inayo Define Development swala la Moral value, Nobility, Credibility and all human virtues ... LIPO? Au ni kulingana na Macho na mtizamo wa muhusika!

Kwa mfano Mtu anaposema Wachina wamepiga hatua! Wanamaendeleo mazuri na ya haraka ... Anatumia vigezo vipi? Bila kuvijali mimi nahoji kigezo cha Ustawi wa MAADILI na HAKI za BINADAMU ... Kinakuwepo kwenye mchakato wa Kusema maendeleo ni nini?

AU nichukue mfano mwingine Tuna taarifa kuwa Rwanda inafanya vizuri kimaendeelao nasikia inakwenda kasi kuliko hata Tanzania ... Nataka kujua kanuni gani zinatumika kufikia mtizamo huo na majibu hayo!

Na pia naongezea Kama hayo matokeo yaliyoitwa Maendeleo Mazuri na ya haraka yamefikiwa kwa kuangamiza Maadili, haki za binadamu na Ukandamizaji wa Kidikteta au vitu kama hivyo... bado yanakuwa kwenye range ya definition ya What is development and poverty eradication?
 
ZaKumi,

Nimefurahiwa na mada. Nimekuwa naifuatia tangu mwanzo post to post.

Ni seme kweli sikuweza kuchangia kwa sababu ya Tatizo moja. Nashindwa kujua How to define Development and hence how to eliminate poverty! Na lamost karibu kila post kila mchangiaji ana mtizamo wake kuhusu maendeleo ni nini hivyo kuwa na namna yake ya kujaribu kuondoa umasikini.

What principle do define What is development? Is there any universal agreed concept, standard or principle of what is development and hence a way to Poverty eradication?

If we don't have a standard perspective of observing the problem in question how are we going to have a unified and organized output? Doesn't this give a room to any leader any citizen any body to take it in HIS WAY?

Azimio Jipya,

Kati ya mwaka 1999-2000. Nchi mbalimbali ambazo ni wanachama wa umoja wa mataifa, walihamua kutangaza maazimio waliyoyaita Millennium Development Goals. Na utimizaji wa maazimio hayo yalitakiwa yafikiwe kabla ya 2015.

Maazimio hayo ni yafuatayo:-


  1. eradicating extreme poverty and hunger,
  2. achieving universal primary education,
  3. promoting gender equality and empowering women
  4. reducing child mortality rates,
  5. improving maternal health,
  6. combating HIV/AIDS, malaria, and other diseases,
  7. ensuring environmental sustainability, and
  8. developing a global partnership for development


Maazimio haya yanajibu kwa juu juu swali lako kuhusu umasikini na maendeleo. Viongozi wa Tanzania walipokea kwa kishindo maazimio haya. Na kwa kipindi kile, miaka 15 ilionekana mingi sana. Lakini imebakia miaka mitatu na maisha ya watanzania wengi bado yaleyale. Na katika nchi nyingine vijana wamehamua kuchukua sheria mikononi mwao na kuziondoa serikali zao. Na sitashangazwa kama watanzania nao wakijiunga katika mkumbo huu.

Kutokana na rasimali zilizopo Tanzania, kuna maazimio yanaweza kufikiwa. Swali linalokuja ni vipi?
 
Azimio Jipya,

Kati ya mwaka 1999-2000. Nchi mbalimbali ambazo ni wanachama wa umoja wa mataifa, walihamua kutangaza maazimio waliyoyaita Millennium Development Goals. Na utimizaji wa maazimio hayo yalitakiwa yafikiwe kabla ya 2015.

Maazimio hayo ni yafuatayo:-


  1. eradicating extreme poverty and hunger,
  2. achieving universal primary education,
  3. promoting gender equality and empowering women
  4. reducing child mortality rates,
  5. improving maternal health,
  6. combating HIV/AIDS, malaria, and other diseases,
  7. ensuring environmental sustainability, and
  8. developing a global partnership for development


Maazimio haya yanajibu kwa juu juu swali lako kuhusu umasikini na maendeleo. Viongozi wa Tanzania walipokea kwa kishindo maazimio haya. Na kwa kipindi kile, miaka 15 ilionekana mingi sana. Lakini imebakia miaka mitatu na maisha ya watanzania wengi bado yaleyale. Na katika nchi nyingine vijana wamehamua kuchukua sheria mikononi mwao na kuziondoa serikali zao. Na sitashangazwa kama watanzania nao wakijiunga katika mkumbo huu.

Kutokana na rasimali zilizopo Tanzania, kuna maazimio yanaweza kufikiwa. Swali linalokuja ni vipi?

Zakumi

Kwenye sanyansi hakuna mitizamo mbalimbali na tofauti kuhusiana na definitions za dhana mbalimbali. Kwa mfano kanuni ni moja inayo define Anatomy, Electron, Quantum physics, Biology na Tunaposema Kilometer, Voltmeter, wavelength hakuna maoni tofauti au ... ile hali ya kusema kama mimi ninaovyoona... !!

Umesema Viongozi wa Tanzania walipokea Kwa kishindo maazimio hayo. Niseme hivi kama hao viongozi walikuwa 100 kuna uwezekano kulikuwa na namna 100 tofauti walivyoyaona na kuyatafsiri. Hakuna Kanuni yoyote inayoweza kudhihirisha UNIFICATION ya Maazimio hayo kwa kuwa swala la maendeleo ni kila mtu kulichukulia kama anavyotaka na anavyoona (Niko tayrai kurekebishwa) kwani haliongozwi na kanuni yeyote ambayo inaweza kuwa universal.

Nani aniambie Kama Taifa Ni Nini Definition yetu ya Maendeleo ni nini? Na namna ya kuyafikia!!! Wachiliambali Taifa, Kama kila familia kuna definition Moja ya Mendeleo ni nini na namna ya kuyafikia? Tufike chini kabisa Kwa mtu mmoja mmoja hapa ndio kabisa .. mwengine anaamini maendeleo ni kukimbizana na albino na kumkata mkono, mwingine kumuibia muajiri wake, mwingine misison town, mwingine anaamini azmio la arusha , mwingine azimio la zainzbar nk

Nikiangalia EMT, AshaDII, Mkandara , Azimio Jipya, ZaKumi nk kila mtu anasema kivyake vyake kuhusu maendeleo ni nini na namana ya kuyafikia ... Na jambo hili ni hivyo hivyo kwa kila waziri, mbunge na kila Rais wa kila awamu!! Sifikiri kuwa hivi ni sahihi. Kuna kazi ya msingi kabisa ya kufanya kabla ya kwenda mbali kuanza kutekeleza swala zima la umasikini na maendeleo ya mwandamu.

Kwa mfano chukulia viongozi wote wanafuata Mtizamo wako Zakumi wa "Result oriented Business"


  1. eradicating extreme poverty and hunger,

Kiongozi mmoja kwa kuwa anataka kupata ubunge anaweza kuhujumu miradi mbalimbali ilikupta hela za ziada na kuwanunulia wananchi wa kijiji chake chakula na kuwagawia kwa malengo ya kupata kura. lakini atasimamia kuwa anatekeleza azimio la UN. That is immoral sio mkweli kwani moyoni anajua kabisa anacholenga. lakini ataonekana kuwa ni champion wa maendeleao nk. Kiongozi mwingine atatumia njia zake za kibinafsi kwa malengo yake na kuoyesha kafikia Matokeo na kusema ametekeleza azimo la UN lakini Moyoni ananjua kuwa ni Muongo tu! Lakini ataonekana kuwa kaleta maendeao na kafikia malengo... hivi maendeleo hata yakiletwa chini ya Uwongo uwongo, udanganyifu na ukosefu wa nidhamu bado yanaitwa maendeleo? Sikubaliani na jambo hili!! Nakubaliana kwanza hali ya ukamilifu na ukomavu wa ubinadamu kuwa NGUVU pekee inayosukuma matokeo yatakayoitwa maendeleo.


  1. achieving universal primary education,

Kuna haja ya kwenda kwa undani juu ya shule za kata ..kuonyesha mitizamo tofauti juu ya kila kiongozi na kinachotokea pale? Na sisitiza Kwa kuwa We can not universally define What is development kwa hiyo hatuwezi kupima maendeleo. Kila mtu atakuja na vigezo vyake na maono yake. Mpaka hapo tutakapo weza kukubaliana na what define what is development na kwa hoja yangu kama HUMAN FACTORS kukua na kukomaa kwa haki za binadamu, thamani za ubinadamu hakujumuishwi nk sidhani kama tutaweza kuwa tunajadili kitu kimoja kwenye hoja ya umasikini na maendeleo ya mwanadamu. Bila kwanza Haki na ubinaadamu wenyewe kuchukuliwa kuwa ndio NGUVU ya kusukuma na kujenga Maendeleo na Kufuta umasikini Mimi sikubaliani na hicho kinachotwa maendeleo.


  1. promoting gender equality and empowering women

Pia siamini kabisa kuwa wote tuna maanisha kitu kimoja hapa. Kwanza kwa waafrika hata hao wanaosemekana kuwa wameedelea sidhani kama wana kanuni inayosimamia jambo hili na kama kanuni hiyo inakubalika kwa wote. Hapa kwetu Tanzania Watu wa musoma na watu wa pwani wote hawawezi kuwa pamoja kwa issue kama hii wachilia makabila mengine. Kwa kukosa defining unifying principle ya jambo kama hili tutakesha hapa kulitafutia majibu kwani kila mtu ana mtizamo wake.

Sidhani kama hata nina haja ya kuendelea kuchambua hayo maazimio mengine au hata definitions nyingine.

Maazimio yote hayo nigefurahi kama nigeweza kufahamishwa vigezo vya kuyafikia na kama vigezo hivyo vimejumuisha maendeleo na ustawi wa MAADILI, UBUNADAMU, KUHESHIMIANA na hali zote za Ustawi wa binadamu.

Unafahamu nini?

Maazimio yote hayo yanawez akufikiwa huku Maadili, haki za binadamu, heshima nk vikiwa vinakandamizwa na kudidimia lakini bado yataitwa maaendeleo na kufuta Umasikini. Sikubaliani kabisa na Mtizamo huu!!!
 
Zakumi

Kwenye sanyansi hakuna mitizamo mbalimbali na tofauti kuhusiana na definitions za dhana mbalimbali. Kwa mfano kanuni ni moja inayo define Anatomy, Electron, Quantum physics, Biology na Tunaposema Kilometer, Voltmeter, wavelength hakuna maoni tofauti au ... ile hali ya kusema kama mimi ninaovyoona... !!

Umesema Viongozi wa Tanzania walipokea Kwa kishindo maazimio hayo. Niseme hivi kama hao viongozi walikuwa 100 kuna uwezekano kulikuwa na namna 100 tofauti walivyoyaona na kuyatafsiri. Hakuna Kanuni yoyote inayoweza kudhihirisha UNIFICATION ya Maazimio hayo kwa kuwa swala la maendeleo ni kila mtu kulichukulia kama anavyotaka na anavyoona (Niko tayrai kurekebishwa) kwani haliongozwi na kanuni yeyote ambayo inaweza kuwa universal.

Nani aniambie Kama Taifa Ni Nini Definition yetu ya Maendeleo ni nini? Na namna ya kuyafikia!!! Wachiliambali Taifa, Kama kila familia kuna definition Moja ya Mendeleo ni nini na namna ya kuyafikia? Tufike chini kabisa Kwa mtu mmoja mmoja hapa ndio kabisa .. mwengine anaamini maendeleo ni kukimbizana na albino na kumkata mkono, mwingine kumuibia muajiri wake, mwingine misison town, mwingine anaamini azmio la arusha , mwingine azimio la zainzbar nk

Nikiangalia EMT, AshaDII, Mkandara , Azimio Jipya, ZaKumi nk kila mtu anasema kivyake vyake kuhusu maendeleo ni nini na namana ya kuyafikia ... Na jambo hili ni hivyo hivyo kwa kila waziri, mbunge na kila Rais wa kila awamu!! Sifikiri kuwa hivi ni sahihi. Kuna kazi ya msingi kabisa ya kufanya kabla ya kwenda mbali kuanza kutekeleza swala zima la umasikini na maendeleo ya mwandamu.

Kwa mfano chukulia viongozi wote wanafuata Mtizamo wako Zakumi wa "Result oriented Business"


  1. eradicating extreme poverty and hunger,

Kiongozi mmoja kwa kuwa anataka kupata ubunge anaweza kuhujumu miradi mbalimbali ilikupta hela za ziada na kuwanunulia wananchi wa kijiji chake chakula na kuwagawia kwa malengo ya kupata kura. lakini atasimamia kuwa anatekeleza azimio la UN. That is immoral sio mkweli kwani moyoni anajua kabisa anacholenga. lakini ataonekana kuwa ni champion wa maendeleao nk. Kiongozi mwingine atatumia njia zake za kibinafsi kwa malengo yake na kuoyesha kafikia Matokeo na kusema ametekeleza azimo la UN lakini Moyoni ananjua kuwa ni Muongo tu! Lakini ataonekana kuwa kaleta maendeao na kafikia malengo... hivi maendeleo hata yakiletwa chini ya Uwongo uwongo, udanganyifu na ukosefu wa nidhamu bado yanaitwa maendeleo? Sikubaliani na jambo hili!! Nakubaliana kwanza hali ya ukamilifu na ukomavu wa ubinadamu kuwa NGUVU pekee inayosukuma matokeo yatakayoitwa maendeleo.


  1. achieving universal primary education,

Kuna haja ya kwenda kwa undani juu ya shule za kata ..kuonyesha mitizamo tofauti juu ya kila kiongozi na kinachotokea pale? Na sisitiza Kwa kuwa We can not universally define What is development kwa hiyo hatuwezi kupima maendeleo. Kila mtu atakuja na vigezo vyake na maono yake. Mpaka hapo tutakapo weza kukubaliana na what define what is development na kwa hoja yangu kama HUMAN FACTORS kukua na kukomaa kwa haki za binadamu, thamani za ubinadamu hakujumuishwi nk sidhani kama tutaweza kuwa tunajadili kitu kimoja kwenye hoja ya umasikini na maendeleo ya mwanadamu. Bila kwanza Haki na ubinaadamu wenyewe kuchukuliwa kuwa ndio NGUVU ya kusukuma na kujenga Maendeleo na Kufuta umasikini Mimi sikubaliani na hicho kinachotwa maendeleo.


  1. promoting gender equality and empowering women

Pia siamini kabisa kuwa wote tuna maanisha kitu kimoja hapa. Kwanza kwa waafrika hata hao wanaosemekana kuwa wameedelea sidhani kama wana kanuni inayosimamia jambo hili na kama kanuni hiyo inakubalika kwa wote. Hapa kwetu Tanzania Watu wa musoma na watu wa pwani wote hawawezi kuwa pamoja kwa issue kama hii wachilia makabila mengine. Kwa kukosa defining unifying principle ya jambo kama hili tutakesha hapa kulitafutia majibu kwani kila mtu ana mtizamo wake.

Sidhani kama hata nina haja ya kuendelea kuchambua hayo maazimio mengine au hata definitions nyingine.

Maazimio yote hayo nigefurahi kama nigeweza kufahamishwa vigezo vya kuyafikia na kama vigezo hivyo vimejumuisha maendeleo na ustawi wa MAADILI, UBUNADAMU, KUHESHIMIANA na hali zote za Ustawi wa binadamu.

Unafahamu nini?

Maazimio yote hayo yanawez akufikiwa huku Maadili, haki za binadamu, heshima nk vikiwa vinakandamizwa na kudidimia lakini bado yataitwa maaendeleo na kufuta Umasikini. Sikubaliani kabisa na Mtizamo huu!!!

Azimio Jipya,

Sio kwamba mtu anapokuwa Result Oriented basi ethic and moral anakuwa hana. Ethics na moral code ni lazima viwepo. Kiongozi wanapowachangisha watu kwa sababu ya miradi ya maendeleo, ni lazima awe na uhakika kuwa michango ya watu haitatumiwa kwa matumizi binafsi na vilevile watu watapata kile walichoambiwa au kuchangishwa.

Nia ya mada hii ni kutoka kwenye maamuzi ya kisiasa ambayo ni utamaduni wa nchi yetu na kuangalia mbinu mbalimbali za uongozi na utekelezaji ambazo zinatumika na wenzetu. Au zimetumika katika fani nyingine kama vile za biashara, elimu, uhandisi na kijeshi kuleta maendeleo.

Kwa mfano ukichukua ujenzi wa daraja, kwa sisi watumiaji tunaona kama vile limeshuka kutoka mbinguni. Lakini kwa wajenzi kuna mambo mengi. Kuna architect anayechora daraja. Kuna soil mechanics wanaongalia aina ya udongo. Kuna concrete engineers, kuna muhasibu anayefanya malipo, kuna mtu wa utumishi ambaye anafanya ajira, kuna mtu wa procurement, na wengine wengi.

Ukichukua mfano wa ujenzi wa daraja na kuutumia katika kuinua kiwango cha elimu ya sekondari kwa watoto wa mkoa wa Lindi katika kipindi cha miaka mitano utaona kuna mambo yanayofanana ki-uongozi na kwenye usimamizi wa utekelezaji.

Tukirudi kwenye hoja yako ya ufafanuzi au definition. Utaona kuwa wajenzi wa daraja wana clear definition kabla ya kuanza kazi. Na hawaanzi kazi kabla detail ya kile kinachotakiwa (matokeo au results) kuwepo.

Kuhusiana na miradi ya kisiasa nchini Tanzania, definition, details na uchambuzi wake ni vitu vinavyokuwa havieleweki. Serikali inajenga mashuleni na baadaye inaonekana kuna upungufu wa waalimu na vifaa vya kufundishia. Hili ni tatizo kubwa ambalo limeshajenga utamaduni.

Hivyo definition za kiutendaji ambazo zinakubalika na watendaji na wafaidika wa matokeo ni lazima ziwe za kueleweka na sio kila mtu atumie vile anavyoelewa yeye.

Kwa mfano, utekelezaji wa elimu ya UPE ulikuwa na matatizo yake. Matatizo haya yameandikwa na kufanyiwa kazi na watanzania waliopo kwenye sekta ya elimu. Hivyo utekelezaji wa mipango ya elimu ya kata ulitakiwa usirudie makosa ya UPE. Cha kushangaza umerudi.
 
Mkuu, sijui kama tuaongea kitu kimoja ila hii uliyoita kasumba naamini ni sawa kwa kiasi kikubwa sana. sitaki kuamini kuwa matairi mazuri yanayofanya kazi vizuri yataongoza gari - bado gari kwenda linakotarajiwa itategemea aliyepo katika usukani. kama raisi ana uwezo kuongoza na ana sifa za uzalendo na determination atamobilize, coordinate, organize and motivate efforts zako na zangu ili maendeleo yatokee. kudelegate ni sawa lakini usisahau kuwa ukidelegate bado una wajibu na jukumu la kuhakikisha ubora/usahihi wa kilichofanywa na uliyemdelegate.

kuwa maboss wanafuata maadili au ni jukumu lako kwanza kuonesha mfano na kuhakikisha wengine wanaufuata
Mfano mzuri unaonekana katika utendaji kazi wa serikali ya nchi changa na maskini ya Rwanda

nawasilisha



Sungura tupo kuongea kitu kimoja mkuu…. Sema tu kua tatizo ni mitazamo ambayo inagongana huku ikiwiaana sehemu na sehemu. Tokana na maelezo yako naona upo pamoja na Zakumi, kua lawama zote abebe Kiongozi for s/he is the one wholly responsible….

Tukitolwa mfano wa gari uliotoa.. Kumbuka kua hata magari nayo sio madereva wote waweza endesha, kwa kuzingatia hilo hilo gari dogo unakuta kua kuna dereva; tena ni derevaq mzuri…. ambae anaendesha automatic tu! Ukimletea manual, unakua umem Knock out! Hivo basi mtu anapokua kiongozi peke yake haitoshi…. Dereva kama dereva anakua tu analiongoza lile gari…. What matters katika uendeshaji salama na ulio reliable katika gari ni injin, matairi na mafuta….. Kwa muktadha huo Viongozi na watu wake wote wanatakiwa kuwajibika ipasavo. Kikubwa huyo kiongozi ahakikishe ni dereva mtunzaji (sio rough!); na pia kuahakikisha entities zote za muhimu katika hilo gari zaenda sawa kabisa… ahakikishe mafuta ya kutosha, ahakikishe oil kwenye injini ni safi na ahakikishe kua tairi zipo katika hali nzuri na tire bolts zimekazwa vilivo…

Nikija nchi ya Ruanda, hio ni moja ya nchi I am so proud of katika a group ya hizi za developing nations…. Sa ingine genuinely hata hua najiuliza kua viongozi wetu (hasa JK) kama kamtembelea Kagame na kumuuliza how has he done it? After a short while of such development katika sector nyeti za maendeleo ya nchi….. Hata hivo tujiangalie wa Tanzania…. Nidhamu zetu zipo vipi makazini? Wenzetu Warundi, Wakenya wakija makazini wapo vipi attitude yao towards work? Tukipata jibu hapo tunapata jibu tatizo sio viongozi peke yao… Tatizo ni pana zaidi ya Viongozi kua Responsible and good Leaders….
 
AshaDii,

Ukisoma utangulizi wa thread hii, katika paragraph ya pili nimeuliza kuwa je nchi ikipata viongozi inaowata tunaweza kuendelea? Jibu ni 50/50. Hili viongozi waweze kuleta maendeleo wanahitaji effective tools: abstract, concrete, or both.

Abstract tools ni kama vile policies, theories, etc. Concrete or real tools ni kama vile human capital, financial capital and other resources.

Vitu hivi tunavizungumza sana hapa JF. Lakini kitu ambacho ningependa katika thread hii sio kutoa lawama kwa viongozi na kwa watu. Ninachotaka ni kusikiliza watu na uzoefu wao.

Kama wewe ulisoma katika nchi fulani na kupenda mfumo wao wa elimu, toa mchango wako. Kama wewe huko kwenye masuala ya uchumi toa mchango wako.


Zakumi mara nyingi mjadala huenda tokana na the way mwajibizana na mtu alo post.... Kwamba kama sijasoma nchi fulani na kupenda mfumo wao wa elimu ama kama siko uchumi am disqualified? C'mon man that is so Unfair! lol.... Usijali, I respect your wishes Zakumi.

Easter njema.
 
ZaKumi,

Nimefurahiwa na mada. Nimekuwa naifuatia tangu mwanzo post to post.

Ni seme kweli sikuweza kuchangia kwa sababu ya Tatizo moja. Nashindwa kujua How to define Development and hence how to eliminate poverty! Na lamost karibu kila post kila mchangiaji ana mtizamo wake kuhusu maendeleo ni nini hivyo kuwa na namna yake ya kujaribu kuondoa umasikini.

What principle do define What is development? Is there any universal agreed concept, standard or principle of what is development and hence a way to Poverty eradication?

If we don't have a standard perspective of observing the problem in question how are we going to have a unified and organized output? Doesn't this give a room to any leader any citizen any body to take it in HIS WAY?

Sidhani kama kuna universal definition ya development na kujaribu ku-define is like fighting a loosing battle. Wengine wamejaribu kuja na indicators of development lakini ukweli ni kwamba maendeleo yanatofautiana kati ya jamii na jamii na hata mtu na mtu. Kuna mtu kuwa na hosipitali anaona ni maendeleo zaidi kuliko kuwa na barabara ya lami, n.k.

Lakini nadhani kuwa katika suala zima la kuondoa umaskini kuna umuhimu mkubwa sana wa kuwahusisha walengwa moja kwa moja. Kwa sana una kukuta policies nyingi za maendeleo zinawekwa na kufanyiwa kazi bila kuwahusisha hao masikini. Matokeo yake tunaishia kujenga daraja sehemu fulani tukidhani ndio tunawaletea maendeleo jamii husika kumbe wao wanahitaji kitu kingine tofauti kabisa.

Kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo kuwa katika kuondoa umaskini kuna umuhimu mkubwa wa kutumia indigenous knowledge kutoka kwa hao maskini wenyewe. Kukaa tuu kwenye ghorofa Dar Es Salaam au New York na ku-design alleviation policies kwa watu wanaoishi Tandahimu bila hata kuwahusisha, sidhani kama kutasaidia kuindoa tatizo la umaskini hata kama ni result oriented.
 
Zakumi mara nyingi mjadala huenda tokana na the way mwajibizana na mtu alo post.... Kwamba kama sijasoma nchi fulani na kupenda mfumo wao wa elimu ama kama siko uchumi am disqualified? C'mon man that is so Unfair! lol.... Usijali, I respect your wishes Zakumi.

Easter njema.

Easter Njema kwako pia. Nilishosema ni kuwa kama kuna mazuri yanaonekana kwa wenzetu, kwanini tusiyatolee mfano? Tukiendelea kulaumu watu au viongozi bila kuonyesha ni wapi wanakosea au kwanini wenzetu wanafanikiwa tutakuwa watazamaji tu.

Maendeleo sio sayansi ni matumizi ya best practices. Na hatutakiwi ku-reinvent the wheel.
 
Sidhani kama kuna universal definition ya development na kujaribu ku-define is like fighting a loosing battle. Wengine wamejaribu kuja na indicators of development lakini ukweli ni kwamba maendeleo yanatofautiana kati ya jamii na jamii na hata mtu na mtu. Kuna mtu kuwa na hosipitali anaona ni maendeleo zaidi kuliko kuwa na barabara ya lami, n.k.

Lakini nadhani kuwa katika suala zima la kuondoa umaskini kuna umuhimu mkubwa sana wa kuwahusisha walengwa moja kwa moja. Kwa sana una kukuta policies nyingi za maendeleo zinawekwa na kufanyiwa kazi bila kuwahusisha hao masikini. Matokeo yake tunaishia kujenga daraja sehemu fulani tukidhani ndio tunawaletea maendeleo jamii husika kumbe wao wanahitaji kitu kingine tofauti kabisa.

Kama nilivyosema kwenye post yangu ya mwanzo kuwa katika kuondoa umaskini kuna umuhimu mkubwa wa kutumia indigenous knowledge kutoka kwa hao maskini wenyewe. Kukaa tuu kwenye ghorofa Dar Es Salaam au New York na ku-design alleviation policies kwa watu wanaoishi Tandahimu bila hata kuwahusisha, sidhani kama kutasaidia kuindoa tatizo la umaskini hata kama ni result oriented.

EMT,

Miaka ya zamani kulikuwa na sera ya adult education. Ilikuwa ni noble idea. Wazee wakalazimishwa kwenda kujifunza kusoma na kuandika. Lakini moja ya matatizo ya sera hii haikutilia mkazo indigenous knowledge au uboreshaji wa skills ambazo indigenous wanazitumia katika maisha yao ya kila siku. Sera hii ilipokufa nguvu, matokeo yake yalikuwa yaleyale kabla ya sera haijaanzishwa.

Hivyo nakubaliana na hoja kuwa matokeo tunayotarajiwa ni lazima yahusishe the concerns of stakeholders: their culture, expectations, and environmental factors.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Back
Top Bottom