Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Kabisa wamempotezea diraJojo alikosea kudate na hivi vimtu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa wamempotezea diraJojo alikosea kudate na hivi vimtu
Hata Leo mbona imenyesha tu kubwaMvua itanyesha barafu siku hiyo
Lakini sio ya barafuHata Leo mbona imenyesha tu kubwa
Huyu binti tatizo lake ni dogo sana,anapenda kudate na watu alio wazidi akili mwisho wa siku ndo hivyo wanaishia kumuumiza moyo....Wasallam wanajukwaa,
Katika pita pita zangu za mitandaoni nimekutana na messages hizi za mlimbwende jokate za kunyapia nyapia zinasema eti ni dongo kwa manager wa mpenzi wake kuonekana ku manage mpaka dushe wajuzi tililikeni hapa.
![]()
![]()
Imenyesha ya kawaida tu.Lakini sio ya barafu
Sasa ukinitembelea kwa peter msechu (pm) itanyesha mvua ya ajabu sana, jaribu uone[emoji23] [emoji23]Imenyesha ya kawaida tu.
Haya ngoja nije kwa Prime Minister(PM) majaliwa hukoSasa ukinitembelea kwa peter msechu (pm) itanyesha mvua ya ajabu sana, jaribu uone[emoji23] [emoji23]
Longing to c u thereHaya ngoja nije kwa Prime Minister(PM) majaliwa huko
TayariLonging to c u there
[emoji120] [emoji120] [emoji120]Tayari
Hizo GPA kuna watu huwa wanaenda kuchukua NA si Ku tafutaKwa kweli jokate needs to change hata GPA yake nzuri tu sasa haeleweki Mara aguse hichi hakimalizi, umaarufu ungekuwa platform yake nzuri tu kufanya ya maana, IPO siku atakuja kujuta kwa kutumika hovyo na wanaume wasio na mbele wala nyuma.
Tatizo la kutka watu wenye majina hata kidogo ndio shida!!!Wote hao wanaume wa ajabu ajabu tu na wahuni walimtumia na Ku dump tu na hyo imemfanya JoJo aonekane hovyo hovyo tu kiukweli.
Umeongea mkuu,aitendei haki quality yake.Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
You mean kiba is one of them?Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Abeeee??Yaani ukatoe "stress" mtaani uipeleke nyumbani?
Kazi kweli kweliUnatunyanyapaa kishenzi tusioneda shule na ndo maana hadi wengine wanatuonya kishenzi kutojiweka kwa mwanamke aliyekuzidi hiki au kile!!!
Hivi hakuna mabashite wa kike humu manake hawa akina DB mnh!!!
Ila DB tuache masihara na tuweke ushabiki pembeni!! Hiki kilichotokea nilifahamu from day one kwamba it's a matter of time!! Kiba kakosea sana kutoka na Seven... anyway, I love Seven, she's sexy and beautiful!! Naipenda ile midomo yake iliyokaa kishari shari!!! Hata mimi ningekuwa ndo Kiba, huenda nisingemwacha! Unamwachaje Seven?! Ili upate thawabu kwa Mungu; au?!Wee Chige kwa nondo zako huku JF kichwani uko vizuri sana mi na refer wale wasio jua kitu kabisa yani empty set kabisa.
MA bashite wakike hawakosani kabisa humu
Jokate alishapoteza muelekeo siku alipoanza ku-opt kutoka na celebrities wenzake!! It's like alikuwa anawaona akina Wema wanafaidi!!Kwa kweli jokate needs to change hata GPA yake nzuri tu sasa haeleweki Mara aguse hichi hakimalizi, umaarufu ungekuwa platform yake nzuri tu kufanya ya maana, IPO siku atakuja kujuta kwa kutumika hovyo na wanaume wasio na mbele wala nyuma.
Halafu yupo wapi huyu?! That's my beautiful girl of all time...!!Mkuu muongeze na irene kiwia hawa wadada walisoma alama za nyakati
Kikwazo cha Kiba na Kate wala hakiwezi kuwa Diamond lakini kwa mbaaaaaaaali, naifahamu familia ya akina Kate!! Pana kazi uwashawishi wale wazee ili hatimae aolewe na Mwislamu!!! Na kwa bahati mbaya sana, Kate mwenyewe ana nyota ya Waislamu kwa sababu anapenda celebrities!Jokate hasomi Alama za nyakati!!,mwenzie alikiba ana watoto wanne sijui watatu,huenda hafikirii kusettle down soon
kwani tayari ana watoto
Sijui ni nini haswa kitamharakisha Alikiba kuoa(watoto anao tayari),alikiba bado anao muda wa kuchezea lakini jokate hana muda wa kuchezea,hana mtoto,
Kwa tabia za alikiba,kuoa MTU ambaye ameshatembea na mshindani wake(diamond)inaweza kuwa ni changamoto!!!ndio watu husema 'k'haina makombo lakini kwa MTU kama kiba,MTU wa pride lazima hilo ni kwazo kubwa sana.