INGENJA
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 4,990
- 4,259
hapo ndo ule msemo wa wanawake mwalimu wenu kipofu unapofanya kaziJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hapo ndo ule msemo wa wanawake mwalimu wenu kipofu unapofanya kaziJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
watu tunao-date nao wana nafasi kubwa sana ya kukubadilisha tabia na kuwa tofauti na wengine, amedate na Diamond matokeo yake akabwaga akajikuta ameingia urafiki na watu wenye tabia ya kiswahili swahili matokeo yake na yeye akawa anafanya mambo yetu ya kiswahili swahili ambayo kama hujazoea lazima utaingia chaka maana kuna skill flani unatakiwa uwe nazo (ya unaingiza mguu mmoja mwingine unabaki nje). Kwa Kiba aliingia ile tunaita "mkomoeni" matokeo yake ndio hayoNimegundua kumbe vile nnavyofikiri kuhusu Jokate ndivyo wanavyomfikiria wengi. Jokate toka zamani alikuwa anaonekana yuko smart sana kichwani tofauti na sampuli za hawa kina Wema Sepetu, cha ajabu mambo anayoyafanya hayana tofauti na hao malaya wengine
Wame achieve makubwa sana katika maisha yao ambao hao wenye elimu zao hawajui hata watafika lini.Ila hawako 'smart' upstairs, nadhani elimu ndogo inachangia
Kwaio kiba ni wa ajabu ajabu?Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Dada yangu haya ndio mambo ambayo Jokate hayataki 😀😀😀😀😀Ndio ana msuuza ujue mapenzi ni zaidi ya Ku do sana kupita kiasi kuna vtu vingine vinafanya mwanamke atulie kabisa. Hasa upendo na care
Kiba anamjulia michezo yakeJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Nipo tu aiseeDiva upo!
Yani wee acha ndo mana nimefunga PM ctaki majaribu kabisaWengejua ulivyomrembo pasingetosha pm
Si kweli mkuu JoJo ustar una mponza anabaki kuwa kipoozeo tu na kudapiwahapo ndo ule msemo wa wanawake mwalimu wenu kipofu unapofanya kazi
Unaweza kunilisha neno zaidi kuhusu vijinaume vya ajabu ajabu? ni ombi tu Diva BeyonceJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Hawa wasanii wote sijui mastar kiukweli nawaona hovyo hovyo tu.Kwaio kiba ni wa ajabu ajabu?
Uko right sana jokate deserve a good man anayejielewa aisee.Hivi mastar wa kike wa kibongo do they ever think abt settling down na kuanzisha familia??? Most of them wanafikir watabakia vijana wkt umri unakwenda..... jokate ni good girl na anadeserve someone better out of entertainment industry lkn still bado hajaitambua thamani yake.
umiss ulivyo na exposure zakutosha huwa nawashangaa hawa watoto kwanini wanakuwa wajinga kiasi hiki,warembo nao wakubali hawafiki kumi hapa bongo,mtazame Hoyce Temu,Nansi Sumar,Faraja,Richa AdhiaSi kweli mkuu JoJo ustar una mponza anabaki kuwa kipoozeo tu na kudapiwa
Kwasababu ya kazi yao wanayoifanya sio" nadhani watu wa maana kwako n wale wa maofisini tai kubwa moka shati limepigwa pasi likanyooka watanashati lkn mwisho wa siku ni they work for others"watumwa"Hawa wasanii wote sijui mastar kiukweli nawaona hovyo hovyo tu.
IMEMCHEZEA SANA HUYO KIDOTIJokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
vianaume vya ajabu ajabu ndo vipi hivyo Madame
Yani hoyce temu ndo best wa wote kwa kweli nimeanza kumsikia tangu Niko primary, umiss wake umekuwa platform nzuri kwake, had sasa yuko UN kipindi vyake ya TV kuhusu Jamii, pia Faraja Nyalandu ana MA pia ile project yake ya shule Direct imemfikisha mbali had anaenda kwenye meeting za kimataifa, sasa yeye JoJo na shule yake ni kukimbizana na kina Domo, Mara kiba, Hashimu Ngongoti, sijui kusahau kuwa zama zinapita na umri unasogea. Ukishatoka na hawa wasanii unadharaulika mno. Joketi wake up kabla mda hujaendaumiss ulivyo na exposure zakutosha huwa nawashangaa hawa watoto kwanini wanakuwa wajinga kiasi hiki,warembo nao wakubali hawafiki kumi hapa bongo,mtazame Hoyce Temu,Nansi Sumar,Faraja,Richa Adhia