Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwezekano wa kuwa wameanza zamani ni mkubwa sana kwa sababu, kwa kumbukumbu zangu Kiba alianza kuwa karibu na Seven way back 2013 or b4 that!!Kiba mwenyewe namuona hakutumia busara walah nilikuwa namwona wa maana kumbe hamnazo, yani manager na mapenzi wapi na wapi hawa ukute walikuwa wananjunjana long time sema ndo wameonyesha live, mapenzi na kazi hayaendi ngoja kiba achepuke.
According to ur words i quoted their Mubashara[emoji4][emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] according to.......
Vtuko tupu hivi ndo hawa wasanii wanaigana kuchukua maveterani tu, nadhani joketi ajifunze sasa hawa bongo fleva ni umiza kichwa daily ngono, kuchukuliana chahUwezekano wa kuwa wameanza zamani ni mkubwa sana kwa sababu, kwa kumbukumbu zangu Kiba alianza kuwa karibu na Seven way back 2013 or b4 that!!
Wajanja WA mjini wanaojua kung'ata na kupuliza muda wanahitaji[emoji29] [emoji25] so SADNakapenda haka dada ..***** nane kamliza
Ni mzuri ana pesa lakini hako ka mole usoni kanamwaribia. Akaondoe.Jokate ni mrembo ila anapo bugi step ni Ku date vianaume vya ajabu ajabu
Simulizi za aliodate nao atiAccording to ur words i quoted their Mubashara[emoji4]
Kale ka kidoti au kipi?Ni mzuri ana pesa lakini hako ka mole usoni kanamwaribia. Akaondoe.
Ila wasichana sijui vipi...unakuta wanakazania kubembeleza kwa man anae mtenda wkt tunao mprnda tupoWajanja WA mjini wanaojua kung'ata na kupuliza muda wanahitaji[emoji29] [emoji25] so SAD
Suala la jua kutua magharibi ni ukweli mtupu manake kwa ninavyofahamu, hivi sasa atakuwa anakimbilia 40 sema mwili wake ndo unambeba!!!Jua lishazama kwa seven ht ndoa ya talaka km jd hajapata....mchaga yule naona kachagua sana mpk kakosa wa kumuoa ss hivi anabaka kiba[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hako ako chini ya pua.Kale ka kidoti au kipi?
I see! Hongera zake lakini nadhani kaanza ku-settle kitambo.Huyo ana kampuni yake, ya Portal Noveli, sashiv katulia na kazi na familia yake. Huwa anapost vitu vya maana sana (very educational) kwenye instgram yake.
But pia Kiba alikwenda kwa gia hio hio ujue[emoji4]Ila wasichana sijui vipi...unakuta wanakazania kubembeleza kwa man anae mtenda wkt tunao mprnda tupo
Inatia jazba kinoma
Anafaa kuweka ndani mkuu??Hvi wanaume hammuoni jokate jamani mkamuweka ndaniii
Hafu kinazidi kukuwa daily hicho kidude mie naona ka ulemavu flani hiviHako ako chini ya pua.
Kiba hakumpenda JoJo Bali alikuwa ana mtumia kipindi timu kiba na mond zimepamba moto walah kiba Mungu anamuonaBut pia Kiba alikwenda kwa gia hio hio ujue[emoji4]
Baada ya kutosheka akasepa kwa dharau....ila co vizuri wanaume Mnachofanya Mungu Anawaona[emoji36] [emoji23]
Upo kama mmi mkuu kuna kitu hakipo ryt inside.Huyu mwanamke sijui kakosa nini huwa au bwawa ?
Na Seven ni zaidi ya manager wa Kiba kwa sababu pia ni boss wa talents pale Rockstar4000. Rockstar4000 ni mkono wa Sony!! Sasa unapotoka na mtu wa aina hii, unatakiwa kuwa very cautious kwa sababu, mkivurundana, unaweza kukuta mtu anawapa attention zaidi wenzako kuliko wewe ili mradi tu!!!Huyu kiba naye loh had manager wala kanishinda tabia. Seven ni mdada mrembo inaonyesha wa long ila naye inaonyesha aliendekeza kula ujana na kusahau kuhusu family issues.