Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
- Thread starter
-
- #61
Ni kweli , lakini sio sababu kisa umejenga ukikutana na mie uanze mishongondoo oooh siwezi kabisa kodi hapana bla bla ukinambia tu jitahidi ujenge yatoshaIla kumkabidhi mtu 3-4m (kodi) si masihara! Hebu itaje vizuri MI-LI-O-NI 4!!
Kuna siku tutapishana na konokono na Kobe watusonye[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Madam tujenge hata ya maboksi.
Sijengi mi nakula tuUse your pain to push you into your greatness, hizo changamoto zikutie hasira na wewe ujenge
tabu wewe hukumwelewa baada ya hapo angeuliza una mtoto? baba yake mnaishi naye? halafu wewe unamjibu ni stori ndefu siku tukipata muda nitakuhadithia inauma sana(hata kama uwongo ataingia king matatizo yako kuku atanunua yeye lift atatoa yeye na posho atakuachia na mwisho utamalizia siwapendi wanaume na siwezi kumwamini yeyote na kwa kusema hivyo utatengeneza mwaliko mwingine na mingine) akistuka alishakulipia KIKOBA deni.
Bora kwenye vikoba hata wana sababu, ila sio tu wapenzi watazanaji from no where....Kwenye vikundi vya vikoba huwa kuna swala la kufanyia vikao au kukutana nyumbani kwa wajumbe.
Ndiko mambo yanakoanzia.
Ukizeeka ndio utajua umhimu wa kujengaHata siwasalimii...... hivi nyie mliofanikiwa kujenga mkoje lakini? Mbona mnajifanya kama vile mlitoka tumboni kwa mama zenu na cement mkononi, mmefika tu duniani na kuanza ujenzi, sio kudolishia huko na hapo utakuta kinyumba chenyewe cha kawaidaaa tu mxyuuu (japo mie hata nyumba isio na mlango tu sina [emoji23] )
Hivi ushawahi kukutana na kejeli za wenye nyumba? Usiombe awe kakupa na lift jamani utatamani upenye dirishani sijui gari lina dirisha sijui mlango eeh hapo hapo. Swali linaanza kama pepa la hesabu, unapokaa umejenga, ukijibu tu nimepanga...cha kwanza atakutolea mijicho, ndio aanze kushangaa sasa heeeee yani umepanga mi siwezi nna nyumba mbili siwezi kabisa kupanga yani kodi hapana dah siwezi pyeeeee kajambe kule bana hata Kobe na konokono wana nyumba zao tena wao wanatembea nazo kabisa na hawana hata makuu, ndio sijajenga sasa ka vipi nijengee....mafao yenyewe tu nikistaafu nitayanywaaaa yani ntafunga bar!!!!!!
Povu povu tu.[emoji57]
Hivi mtu anaanzaje kukuuliza hivyo?Ni kweli , lakini sio sababu kisa umejenga ukikutana na mie uanze mishongondoo oooh siwezi kabisa kodi hapana bla bla ukinambia tu jitahidi ujenge yatosha
Wapi huko?Hatari aisee sio poa. Hiyo milioni nne nanunua kiwanja na tofali namwaga
Tunataka kujua uzito wa jukumu tutakalobebaMnataka mishahara yetu ama?
Basi mim ni mwendo wa sina kazi
Usijenge,hakikisha unaolewa na jamaa mwenye nayo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Madam tujenge hata ya maboksi.
Inakera, halafu kuuliza sio shida shida ni hapo kwenye ufwara wa mi nna nyumba nne siwezi kupanga unawezaje kupangaHivi mtu anaanzaje kukuuliza hivyo?
Nshazeeka mbona au kuna uzee version nyingine?Ukizeeka ndio utajua umhimu wa kujenga
Ukipanga nyumba ya 300,000/- kwa mwaka ni 3.6m. Ukikaa miaka kumi kama mpangaji utakuwa umelipa 36m. Hio inatosha kujenga nyumba ya kawaida.Wanakuambia kujenga ni uwoga wa maisha!
Ila kwa maoni yangu kujenga ni muhimu kama una watoto. Inabidi uwaachie kakibanda ka wao kujificha ukidondoka pah.
Ungemuuliza kabla ya nyumba hizo nne alikuwa anakaa kwa mama yake?Inakera, halafu kuuliza sio shida shida ni hapo kwenye ufwara wa mi nna nyumba nne siwezi kupanga unawezaje kupanga
Mkuu single mamas na hii mada vinaingiliana vipi?Poleni sana single mazas,very desperate...
Ukipanga nyumba ya 300,000/- kwa mwaka ni 3.6m. Ukikaa miaka kumi kama mpangaji utakuwa umelipa 36m. Hio inatosha kujenga nyumba ya kawaida.
Kuna watu akili zao zawatosha mwenyewe tu.Mkuu single mamas na hii mada vinaingiliana vipi?
π π π π oyaaa kakae kwa mama ujengeNajenga nyumba ya kawaida nikiwa naishi wapi kwa hiyo miaka 10?
Unapokaa ni uamuzi wako. Wapo walioamua kukaa kwenye chumba cha 50,000/- badala ya nyumba ya 300,000/- pia wapo walioamua kukaa kwao huku wanamalizia nyumba zao. Au popote pale ambapo watu wanakaaNajenga nyumba ya kawaida nikiwa naishi wapi kwa hiyo miaka 10?