Povu langu nisiye na nyumba


Naomba nikutembelee tumkomeshe father house
 
wote nyie mliokata tamaa ya kujenga njooni PM niwauzie kibanda bei pooooooa kabisa mradi iuwe na 9m tu huku huku mjini. Of course ukija pm nitajua uko serious kama umekwama ongea utagongwa na ma boxer
Mil 9 si nafunga bar na mtaa, mie siji sina
 
Ukipanga nyumba ya 300,000/- kwa mwaka ni 3.6m. Ukikaa miaka kumi kama mpangaji utakuwa umelipa 36m. Hio inatosha kujenga nyumba ya kawaida.
πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”
 
Mimi nakusalimia dada Evelyn Salt

Zichukue hizo gambo kama motisha wa wewe kujenga.Zisikuumize bure.Wakikupa lemons tengeneza lemonades...
 
Kujenga mchezo.

Kama unaona tabu kupanga jenga yako ili na wewe uwashangae wanaopanga.

Povu liendelee maana sijafua
 
Tena majumba wanatembea nayo, tujitahidi kwakweli hebu tuuze simu tujenge
🀣🀣🀣🀣🀣
Kweli tunatembea na mifuko ya simenti hivi hivi ujue!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…