Povu langu nisiye na nyumba

Povu langu nisiye na nyumba

Wanakuambia kujenga ni uwoga wa maisha!

Ila kwa maoni yangu kujenga ni muhimu kama una watoto. Inabidi uwaachie kakibanda ka wao kujificha ukidondoka pah.
Ni muhimu, ila sio poa kutiana stress kwa mishangaaaaooo aaag
 
Hata siwasalimii...... hivi nyie mliofanikiwa kujenga mkoje lakini? Mbona mnajifanya kama vile mlitoka tumboni kwa mama zenu na cement mkononi, mmefika tu duniani na kuanza ujenzi, sio kudolishia huko na hapo utakuta kinyumba chenyewe cha kawaidaaa tu mxyuuu (japo mie hata nyumba isio na mlango tu sina 😂 )

Hivi ushawahi kukutana na kejeli za wenye nyumba? Usiombe awe kakupa na lift jamani utatamani upenye dirishani sijui gari lina dirisha sijui mlango eeh hapo hapo. Swali linaanza kama pepa la hesabu, unapokaa umejenga, ukijibu tu nimepanga...cha kwanza atakutolea mijicho, ndio aanze kushangaa sasa heeeee yani umepanga mi siwezi nna nyumba mbili siwezi kabisa kupanga yani kodi hapana dah siwezi pyeeeee kajambe kule bana hata Kobe na konokono wana nyumba zao tena wao wanatembea nazo kabisa na hawana hata makuu, ndio sijajenga sasa ka vipi nijengee....mafao yenyewe tu nikistaafu nitayanywaaaa yani ntafunga bar!!!!!!
Povu povu tu.😏
Ummy..usihuzunike buree.. wengi tumerithi!! Hata Serikali hurithi !! Na nyumba nyingi siyo za wakazi Kama ufikiriavyo!! Real and true home NI Makaburini tutaishi humo milele ..!!
Jenga Akhera yako from Now!!
 
Wasumbufu sana hao wenye nyumba.mwingine anataka amonite hadi wageni awajue ha ha ha
 
Ummy..usihuzunike buree.. wengi tumerithi!! Hata Serikali hurithi !! Na nyumba nyingi siyo za wakazi Kama ufikiriavyo!! Real and true home NI Makaburini tutaishi humo milele ..!!
Jenga Akhera yako from Now!!
hahaha boss pote pana umuhimu wake makazi ya hapa dunia na makazi ya uko khera. Mshauri ajenge nyumba mbili zote kwa pamoja.

Hizi kauli huwa zinatolewa na watu wa mungu,mashekh ,ma pastor,askof nk huwa wana nia nzuri lakini zinadumaza sana mind za watu katika utafutaji.
 
Wapo wanaoamini kujenga nyumba ya kuishi ni kufanikiwa maisha,ndio ambao unakutana nao
 
Kukaa kwenye nyumba za watu stress, kwanza ile pressure tu kodi inapoisha, pili kupangiana masharti mara ooh kuingia kwangu mwisho saa mbili, ukitembelewa na wageni zaidi ya wawili mwenye nyumba anaanza kukukata jicho(sie wengine tunaishi kijamaa), ukiingiza wanaume tofauti tofauti kosa eti anataka awe anakuja mmoja( kupangiana hadi kwenye mambo binafsi kwani we mama yangu ebooo)
#nimwendowapovumwanzomwisho
 
Kukaa kwenye nyumba za watu stress, kwanza ile pressure tu kodi inapoisha, pili kupangiana masharti mara ooh kuingia kwangu mwisho saa mbili, ukitembelewa na wageni zaidi ya wawili mwenye nyumba anaanza kukukata jicho(sie wengine tunaishi kijamaa), ukiingiza wanaume tofauti tofauti kosa eti anataka awe anakuja mmoja( kupangiana hadi kwenye mambo binafsi kwani we mama yangu ebooo)
#nimwendowapovumwanzomwisho
Bado mimi kuja kwako
 
Poleni sana single mazas,very desperate...
 
Mkuu,maza haus wangu hana noma,namuona kama bi mkubwa wangu tu,samtaim akikorofisha misosi hevi nikiwepo anawapa mabinti zake waniletee,mmoja yuko form one mwingine form five na wala sina mpango wa kuwagonga,na hua wanakaa sana room kwangu kuangalia season.
Wananiita brother bonge.
Ohooo!!!endelea kulemba watakuja kukuona zoba watakulinganisha na Juma lokole.
 
Back
Top Bottom