upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
binafsi nimemsikia tuu..simjui hata anafananaje?
Utakuwa bado kijana mdogo sana,enzi hizo shule za msingi kiingilio 20 kumuona power Mabula.
Siku hizi kumuona Diamond 50,duh kweli pesa yetu imekuwa ya madafu(Nimemnukuu Prof jaman msije nivurumishia mitusi).