upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
binafsi nimemsikia tuu..simjui hata anafananaje?
kutuhadithia...
sitaki...............
hela zetu zikufikie vp? mpesa au?
Utakuwa bado kijana mdogo sana,enzi hizo shule za msingi kiingilio 20 kumuona power Mabula.
Siku hizi kumuona Diamond 50,duh kweli pesa yetu imekuwa ya madafu(Nimemnukuu Prof jaman msije nivurumishia mitusi).
mp pesa
i bet kwa asha boko unaingia zaid ya mara mbili, na yule huwa namrusha rusha juu, kama ndimu ya mdako. njoo tu:cool2:
mdogo kvp? zamani hata hii mitandao ilikuwa nadra, kwetu kulikuwa mbwinde sana asingeweza kufika
nakuja mbioooo
Ukifika ruka nikudake
hivi ni nani haswa na anakaa wap
😉 but usije umelewa ati, sipend haruf ya monde
Amefariki kama sikosei, alikuwa afisa waJWTZ, wakati wa vita ya Uganda alikuwa kikosi kimoja na baba yangu anasema alikuwa na uwezo wa kupangua risasi za adui kwa mikono, baada ya vita alikuja nyumbani kwetu mara mbili lakini nilikuwa nakimbia kwa kumuogopa.
muraa
alikua anapangua risasi kwa mkono ina maana alikua mchawi?
Yes kwa maelezo ya baba naweza kusema alikuwa hivyo. Kwa kuwa anasema alikuwa anatumia dawa za kisukuma
muraa
alikua anapangua risasi kwa mkono ina maana alikua mchawi?