PPRA Kukosa Umakini: Kunahitaji miujiza ili mfumo mpya wa ununuzi NEST, ufanikiwe

PPRA Kukosa Umakini: Kunahitaji miujiza ili mfumo mpya wa ununuzi NEST, ufanikiwe

Mpingamkoloni

Member
Joined
Feb 14, 2021
Posts
13
Reaction score
33
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.

Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni iliyotengeneza mfumo iliyokuwa nje ya Tanzania, jambo ambalo binafsi siamini kama ni shida kwa ulimwengu wa sasa, haya sasa lakini sasa NEST imetengenezwa Tanzania, lakini ukiwasiliana na NEST customer care 0736494948 sawasawa na maelekezo yao ya emails, utapiga simu siku nzima bila kupokelewa.

Usajili wa kampuni zilizokuwa zimesajiliwa TANePS na baadhi kulipia annual fees ulipaswa uwe kwa migration na si kujisajili upya. Wazabuni wengi hadi sasa hawajasajiliwa NEST, ingawa walikuwa wanatoa huduma TANePS na kwenye taasisi za serikali.

Usajili uliokuwa unafanyika TANePS kwa siku moja au mbili tu, kwenye NEST unatumia zaidi ya mwezi. Mfumo uko complicated bila sababu. Biashara yenye leseni tatu au nne, mfumo utahitaji uweke leseni zaidi ya mia ambazo uhalisia ni duplication, maana kibali ni kilekile.

Kwenye mfumo wa NEST hawajaweka kibali cha Pharmacy Council, ambacho hicho pia ni kibali cha mojawapo ya biashara.

Pia taasisi nyingi za serikali sasa zinashindwa kufanya manunuzi ndani ya NEST kwa sababu bado vitu havijakaa sawa, na yamkini havitakaa sawa.

Bahati mbaya siamini kama mfumo wa NEST utabadirika, maana waliotengeneza ni watu, ambao huwezi kuwabadirisha wanachoamini.

Fanyeni mfumo uwe simple kujisajili, iwe simple kuutumia, watumieni wataalam toka sekta mbalimbali, hadi taasisi nunuzi na wazabuni, ili wawape ushauri mboreshe mfumo.

Migration ya kutoka TANePs kwenda NEST mlifanya kwa kukurupuka sana. Mlitakiwa mhame hatua kwa hatua.
 
Serikali huwa iko hivyo, unaanza kufanya kisha changamoto zinatatuliwa taratibu. Ukisema ungonjee kila kitu kiwe perfect basi hakuna kitakachofanyika kamwe!

Endelea kutoa maoni na malalamiko, watayafanyia kazi. Hapa mwanzoni maumivu huwa ni lazima.
 
Mfumo huko vizuri sana changamoto kama zipo ni chache sana, watumishi wa serikali ni wavivu na wanaugwaya mfumo kuutumia, Taneps ulikuwa ni mfumo wa ubabaishaji sana, unashinda wewe kwa vigezo vyote lkn anapewa mwingine bila wewe kujua mpaka ufuatilie sana lkn NEST hilo jambo hakuna.
 
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.

Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni iliyotengeneza mfumo iliyokuwa nje ya Tanzania, jambo ambalo binafsi siamini kama ni shida kwa ulimwengu wa sasa, haya sasa lakini sasa NEST imetengenezwa Tanzania, lakini ukiwasiliana na NEST customer care 0736494948 sawasawa na maelekezo yao ya emails, utapiga simu siku nzima bila kupokelewa.

Usajili wa kampuni zilizokuwa zimesajiliwa TANePS na baadhi kulipia annual fees ulipaswa uwe kwa migration na si kujisajili upya. Wazabuni wengi hadi sasa hawajasajiliwa NEST, ingawa walikuwa wanatoa huduma TANePS na kwenye taasisi za serikali.

Usajili uliokuwa unafanyika TANePS kwa siku moja au mbili tu, kwenye NEST unatumia zaidi ya mwezi. Mfumo uko complicated bila sababu. Biashara yenye leseni tatu au nne, mfumo utahitaji uweke leseni zaidi ya mia ambazo uhalisia ni duplication, maana kibali ni kilekile.

Kwenye mfumo wa NEST hawajaweka kibali cha Pharmacy Council, ambacho hicho pia ni kibali cha mojawapo ya biashara.

Pia taasisi nyingi za serikali sasa zinashindwa kufanya manunuzi ndani ya NEST kwa sababu bado vitu havijakaa sawa, na yamkini havitakaa sawa.

Bahati mbaya siamini kama mfumo wa NEST utabadirika, maana waliotengeneza ni watu, ambao huwezi kuwabadirisha wanachoamini.

Fanyeni mfumo uwe simple kujisajili, iwe simple kuutumia, watumieni wataalam toka sekta mbalimbali, hadi taasisi nunuzi na wazabuni, ili wawape ushauri mboreshe mfumo.

Migration ya kutoka TANePs kwenda NEST mlifanya kwa kukurupuka sana. Mlitakiwa mhame hatua kwa hatua.
Kuna ule mfumo wa usaniri wa makambuni ORS ni WA hovyo sana
 
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.

Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni iliyotengeneza mfumo iliyokuwa nje ya Tanzania, jambo ambalo binafsi siamini kama ni shida kwa ulimwengu wa sasa, haya sasa lakini sasa NEST imetengenezwa Tanzania, lakini ukiwasiliana na NEST customer care 0736494948 sawasawa na maelekezo yao ya emails, utapiga simu siku nzima bila kupokelewa.

Usajili wa kampuni zilizokuwa zimesajiliwa TANePS na baadhi kulipia annual fees ulipaswa uwe kwa migration na si kujisajili upya. Wazabuni wengi hadi sasa hawajasajiliwa NEST, ingawa walikuwa wanatoa huduma TANePS na kwenye taasisi za serikali.

Usajili uliokuwa unafanyika TANePS kwa siku moja au mbili tu, kwenye NEST unatumia zaidi ya mwezi. Mfumo uko complicated bila sababu. Biashara yenye leseni tatu au nne, mfumo utahitaji uweke leseni zaidi ya mia ambazo uhalisia ni duplication, maana kibali ni kilekile.

Kwenye mfumo wa NEST hawajaweka kibali cha Pharmacy Council, ambacho hicho pia ni kibali cha mojawapo ya biashara.

Pia taasisi nyingi za serikali sasa zinashindwa kufanya manunuzi ndani ya NEST kwa sababu bado vitu havijakaa sawa, na yamkini havitakaa sawa.

Bahati mbaya siamini kama mfumo wa NEST utabadirika, maana waliotengeneza ni watu, ambao huwezi kuwabadirisha wanachoamini.

Fanyeni mfumo uwe simple kujisajili, iwe simple kuutumia, watumieni wataalam toka sekta mbalimbali, hadi taasisi nunuzi na wazabuni, ili wawape ushauri mboreshe mfumo.

Migration ya kutoka TANePs kwenda NEST mlifanya kwa kukurupuka sana. Mlitakiwa mhame hatua kwa hatua.
Huo hauta kaa ufanikiwe kamwe kwani humo ni pango la majambazi,na umeundwa kijambazi kwa lengo la kufanikisha ujambazi uliokwisha Ingia damuni🤔
 
Naomba kujua jinsi ya kutumia micro value procurement kwenye mfumo wa Nest
 
Mfumo huko vizuri sana changamoto kama zipo ni chache sana, watumishi wa serikali ni wavivu na wanaugwaya mfumo kuutumia, Taneps ulikuwa ni mfumo wa ubabaishaji sana, unashinda wewe kwa vigezo vyote lkn anapewa mwingine bila wewe kujua mpaka ufuatilie sana lkn NEST hilo jambo hakuna.
Pengine wewe ni kati ya ma mangimeza nliotengeneza huu mfumo wa hovyo. Hata idara za serikali nyingi zinashindwa kuutumia mfumo huo wa NEST. Una upload documents kesho yake zimefutika.
Mfumo huu wa NEST unahujumu uchumi!
 
Pengine wewe ni kati ya ma mangimeza nliotengeneza huu mfumo wa hovyo. Hata idara za serikali nyingi zinashindwa kuutumia mfumo huo wa NEST. Una upload documents kesho yake zimefutika.
Mfumo huu wa NEST unahujumu uchumi!
Watumishi ni wavivu na wanaona mfumo unaziba mianya ya rushwa, yaani ingewezekana hasa kwenye hizi Halmashari zingebinafsishwa akapewa DP world.
 
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.

Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni iliyotengeneza mfumo iliyokuwa nje ya Tanzania, jambo ambalo binafsi siamini kama ni shida kwa ulimwengu wa sasa, haya sasa lakini sasa NEST imetengenezwa Tanzania, lakini ukiwasiliana na NEST customer care 0736494948 sawasawa na maelekezo yao ya emails, utapiga simu siku nzima bila kupokelewa.

Usajili wa kampuni zilizokuwa zimesajiliwa TANePS na baadhi kulipia annual fees ulipaswa uwe kwa migration na si kujisajili upya. Wazabuni wengi hadi sasa hawajasajiliwa NEST, ingawa walikuwa wanatoa huduma TANePS na kwenye taasisi za serikali.

Usajili uliokuwa unafanyika TANePS kwa siku moja au mbili tu, kwenye NEST unatumia zaidi ya mwezi. Mfumo uko complicated bila sababu. Biashara yenye leseni tatu au nne, mfumo utahitaji uweke leseni zaidi ya mia ambazo uhalisia ni duplication, maana kibali ni kilekile.

Kwenye mfumo wa NEST hawajaweka kibali cha Pharmacy Council, ambacho hicho pia ni kibali cha mojawapo ya biashara.

Pia taasisi nyingi za serikali sasa zinashindwa kufanya manunuzi ndani ya NEST kwa sababu bado vitu havijakaa sawa, na yamkini havitakaa sawa.

Bahati mbaya siamini kama mfumo wa NEST utabadirika, maana waliotengeneza ni watu, ambao huwezi kuwabadirisha wanachoamini.

Fanyeni mfumo uwe simple kujisajili, iwe simple kuutumia, watumieni wataalam toka sekta mbalimbali, hadi taasisi nunuzi na wazabuni, ili wawape ushauri mboreshe mfumo.

Migration ya kutoka TANePs kwenda NEST mlifanya kwa kukurupuka sana. Mlitakiwa mhame hatua kwa hatua.

Kama Taifa Tanzania ina matatizo mengi sana . Ninawasiwasi sana na Mwenge, kuna lana imeachwa na Taifa Linaangamia. Ukiangalia kuanzia top management hadi officers , mtu anaamka asubuh kwenda job kwa kuwaza namna ya kupata hela na sio namna ya kufanya kazi.

PPRA ni regulatory Authority kwenye procurement, kabla ya mfumo kuanza lazima kuwe na pilot test na kuidentify irregularities, ina maana haya hayakufanyika , mkurugenzi awajinishwe sambamba na kutumbuliwa

Kama ni transitioning from Taneps to nest , ilitakiwa iwekwe mechanism ya ku transfer information za existing users . Hii ni ishara kuwa tunawatu wenye uwezo mdogo ambao ndio wamepewa dhamana na decision makers.

Tuna rudi pale pale nafas za watendaji wa taasisi washindwanishwe, hii mambo ya kuteuliwa tunakosa critical thinkers kwenye taasisi za umma

Mtu kichwa kimejaza pombe na mahindi unaenda kumpa u CEO
 
Serikali huwa iko hivyo, unaanza kufanya kisha changamoto zinatatuliwa taratibu. Ukisema ungonjee kila kitu kiwe perfect basi hakuna kitakachofanyika kamwe!

Endelea kutoa maoni na malalamiko, watayafanyia kazi. Hapa mwanzoni maumivu huwa ni lazima.

Lengo la mfumo ni kurahisha maisha

It has to be simple and user friendly, Kama kuna complication zozote maana yake haujafikia lengo

One plus one is two , ukianza kusema ni tatu au nne , unaingia kwenye complicated life na haitosaidia
 
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.

Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni iliyotengeneza mfumo iliyokuwa nje ya Tanzania, jambo ambalo binafsi siamini kama ni shida kwa ulimwengu wa sasa, haya sasa lakini sasa NEST imetengenezwa Tanzania, lakini ukiwasiliana na NEST customer care 0736494948 sawasawa na maelekezo yao ya emails, utapiga simu siku nzima bila kupokelewa.

Usajili wa kampuni zilizokuwa zimesajiliwa TANePS na baadhi kulipia annual fees ulipaswa uwe kwa migration na si kujisajili upya. Wazabuni wengi hadi sasa hawajasajiliwa NEST, ingawa walikuwa wanatoa huduma TANePS na kwenye taasisi za serikali.

Usajili uliokuwa unafanyika TANePS kwa siku moja au mbili tu, kwenye NEST unatumia zaidi ya mwezi. Mfumo uko complicated bila sababu. Biashara yenye leseni tatu au nne, mfumo utahitaji uweke leseni zaidi ya mia ambazo uhalisia ni duplication, maana kibali ni kilekile.

Kwenye mfumo wa NEST hawajaweka kibali cha Pharmacy Council, ambacho hicho pia ni kibali cha mojawapo ya biashara.

Pia taasisi nyingi za serikali sasa zinashindwa kufanya manunuzi ndani ya NEST kwa sababu bado vitu havijakaa sawa, na yamkini havitakaa sawa.

Bahati mbaya siamini kama mfumo wa NEST utabadirika, maana waliotengeneza ni watu, ambao huwezi kuwabadirisha wanachoamini.

Fanyeni mfumo uwe simple kujisajili, iwe simple kuutumia, watumieni wataalam toka sekta mbalimbali, hadi taasisi nunuzi na wazabuni, ili wawape ushauri mboreshe mfumo.

Migration ya kutoka TANePs kwenda NEST mlifanya kwa kukurupuka sana. Mlitakiwa mhame hatua kwa hatua.
Serikali imejaza watu wapumbavu tu huko maofisini resorning ndogo , uchambuaji wa mambo mdogo ,uwezo mdogo yaan tabu tupu,

Mifumo mingi ya serikali ni yakipuuzi kabisa yaan haizingatii kabisa uhalisia wa watumiaji TANeps yenyewe ilikuwa ya hovyo kabisa , kuna huo mfumo wa Ess ni tatizo kabisa hovyo yaan utadhan kuna mtu anajipigia promo ili auze mifumo bila kujali ubora
 
Lengo la mfumo ni kurahisha maisha

It has to be simple and user friendly, Kama kuna complication zozote maana yake haujafikia lengo

One plus one is two , ukianza kusema ni tatu au nne , unaingia kwenye complicated life na haitosaidia
Ni miezi kadhaa sasa kila mtu anaulalamikia huo mfumo, clearly developer haja deliver finished product.
 
Kwa wanaotumia huu mfumo, Kuna maboresho yamefanyika au Bado unasumbua ?
 
Mfumo wa ununuzi wa TANePS pamoja na changamoto zake, ulikuwa mfumo mwepesi kujisajili na kuutumia. Changamoto zilizoifanya TANePS iondolewe, ni hizo hizo zinaikumba NEST kwa sasa.

Mfano ilikuwa inalalamikiwa kwamba mfumo wa TANePs ulipokuwa na hitilafu za kiufundi, ilipaswa kuitafuta kampuni iliyotengeneza mfumo iliyokuwa nje ya Tanzania, jambo ambalo binafsi siamini kama ni shida kwa ulimwengu wa sasa, haya sasa lakini sasa NEST imetengenezwa Tanzania, lakini ukiwasiliana na NEST customer care 0736494948 sawasawa na maelekezo yao ya emails, utapiga simu siku nzima bila kupokelewa.

Usajili wa kampuni zilizokuwa zimesajiliwa TANePS na baadhi kulipia annual fees ulipaswa uwe kwa migration na si kujisajili upya. Wazabuni wengi hadi sasa hawajasajiliwa NEST, ingawa walikuwa wanatoa huduma TANePS na kwenye taasisi za serikali.

Usajili uliokuwa unafanyika TANePS kwa siku moja au mbili tu, kwenye NEST unatumia zaidi ya mwezi. Mfumo uko complicated bila sababu. Biashara yenye leseni tatu au nne, mfumo utahitaji uweke leseni zaidi ya mia ambazo uhalisia ni duplication, maana kibali ni kilekile.

Kwenye mfumo wa NEST hawajaweka kibali cha Pharmacy Council, ambacho hicho pia ni kibali cha mojawapo ya biashara.

Pia taasisi nyingi za serikali sasa zinashindwa kufanya manunuzi ndani ya NEST kwa sababu bado vitu havijakaa sawa, na yamkini havitakaa sawa.

Bahati mbaya siamini kama mfumo wa NEST utabadirika, maana waliotengeneza ni watu, ambao huwezi kuwabadirisha wanachoamini.

Fanyeni mfumo uwe simple kujisajili, iwe simple kuutumia, watumieni wataalam toka sekta mbalimbali, hadi taasisi nunuzi na wazabuni, ili wawape ushauri mboreshe mfumo.

Migration ya kutoka TANePs kwenda NEST mlifanya kwa kukurupuka sana. Mlitakiwa mhame hatua kwa hatua.
Nashangaa eti mkurugenzi wa PPRA kateuliwa kuwa katibu mkuu wakati inasemekana Nest ilikuwa kamba ili apate mafumba ya kuhonga na kweli kafanikiwa, kaenda huko katiba na sheria ili ale mafumba ya katiba/uchaguzi yaani mla rushwa. Mamlaka za uteuzi mtengueni na huko. Bora naibu katibu mkuu awe katibu mkuu kamili ni muadilifu ila huyo aliyekuja kuua mfumo wa taneps na kutengeneza mwingine ili kamba iwe ndefu hafai kabisa kabisa atamharibia Dkt Samia kwenye uchaguzi
 
Pengine wewe ni kati ya ma mangimeza nliotengeneza huu mfumo wa hovyo. Hata idara za serikali nyingi zinashindwa kuutumia mfumo huo wa NEST. Una upload documents kesho yake zimefutika.
Mfumo huu wa NEST unahujumu uchumi!
Duuu, let's hope watarekebisha mambo yawe sawa
Pengine wewe ni kati ya ma mangimeza nliotengeneza huu mfumo wa hovyo. Hata idara za serikali nyingi zinashindwa kuutumia mfumo huo wa NEST. Una upload documents kesho yake zimefutika.
Mfumo huu wa NEST unahujumu uchumi!
 
Back
Top Bottom