Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
alishafarikiHivi yupo hai huyu jamaa
Hivi yupo hai huyu jamaa?
sio kweli, wema ni under 20!Sio kweli Wema ni under 24
Yuko wapi siku hizi huyu dogo mkuuDogo Haidary alipata PESA na umri mdogo sana..Aliwatafuna sana wadada wa DSM..
Ma miss ndio usiseme..
Unikumbushe ikifikaJaman mm nimesha sema kuwa bd ni mwez march.....
Ikikosekana vitz basi hata funcargo itanifaa!!
Sana amejua kuwatumia na kundi lake kina marehemu Jimmy na KaloshDogo Haidary alipata PESA na umri mdogo sana..Aliwatafuna sana wadada wa DSM..
Ma miss ndio usiseme..
Poapoa japo pm umefunga.Oooh thanks mkuu ngoja niweke notification kabisa. What a blessing!
Ni mtazamo mzuri pia.Watu bwana badala ya kusheherekea nimefanya nini miaka yote hiyo mtu anafurahia number tu kila mwaka unafanya sherehe je unapiga hatua za kimafanikio? sio lazima pesa hata kimaisha tu. Mimi ni kati watu siamini huu upuuzi wa BD sijui naona kama ya watoto na watoto ni kule kufurahia vijizawadi na kuvaa nguo mpya lakini jitu kubwa zima sijui leo BD yangu.. haya maoni yangu tu
Ni mtazamo mzuri pia.Watu bwana badala ya kusheherekea nimefanya nini miaka yote hiyo mtu anafurahia number tu kila mwaka unafanya sherehe je unapiga hatua za kimafanikio? sio lazima pesa hata kimaisha tu. Mimi ni kati watu siamini huu upuuzi wa BD sijui naona kama ya watoto na watoto ni kule kufurahia vijizawadi na kuvaa nguo mpya lakini jitu kubwa zima sijui leo BD yangu.. haya maoni yangu tu