bhageshi
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 264
- 101
Katika hali ya kuonesha ushindani katika biashara ya usafiri wa anga unaongezeka siku hadi siku, kampuni ya ndege ya Precision nayo imeshusha gharama za usafiri kwa mteja wa Precision Air, sasa waweza kutoka mwanza kwenda DAR kwa sh 98000 tu na kwenda na kurudi kwa sh 149000 tu. Awali return ticket ilikuwa Sh 275,000/- and above. Nadhani kwa style hii fast Jet waboreshe huduma zao maana they are very rude in caring customer, mizigo hawataki, samaki hawataki lakini mbaya zaidi hata hawatangazi vitu visivyoruhusiwa kuchukuliwa unajiaandaa na samaki wako unafika airpot wakati wa checking wanakuambia huu mzigo hatuchukui pata picha inayotokea baada ya kupewa taarifa hiyo juu ya mzigo wako tena kitoweo....