Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mada ya ushindi wa Mama Samia kwa 90% imekuwa ngumi nzito kwako.Israel inamuwinda Kiongozi mpya wa Hamas 🐼
Seriously 😂Kenya ipo bara gani?
😂😂😂Mada ya ushindi wa Mama Samia kwa 90% imekuwa ngumi nzito kwako.
Chalii, upo chini unarusha rusha miguu, wakuletee maji?
Mkapa umeumizwa, Malaria sugu na yeye kaja hapa kakubamiza, sasa unaanza kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.😂😂😂
Nimemjibu Muislamu wa ukweli malaria 2 siyo wewe mkaanga Nyama ya nguruwe 😀😀
Ulale Unono Ustaadh
Malaria sugu😂Malaria Sugu safi sana kwa hii post
Ooh, nimekosea, Malaria 2.Malaria sugu😂
Ndiye yeye kweli?
Jiandae kupokea matusi mengi. CCM ina ukaribu na mwananchi wa kawaida.Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia."
Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data)
Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.
Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine.
Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu.
Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine.
Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema
UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Alishasema Nape jinsi itakavyokuwa 😳🙌👍Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia."
Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data)
Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.
Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine.
Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu.
Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine.
Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema
UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Mimi nitaishi hata zaidi ya kesho maaana kuishi kwangu ni kristo na kufa kwangu ni faida maana namwamini Mungu aliye Hai.Wewe unaweza kunipa guarantee utaishi 💯 mpaa kesho asubuhi hebu sema ili tuamini kufa sio amri ya Mungu.
Kwa nn umeitaja Chadema hakuna vyama vingine?Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia."
Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data)
Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.
Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine.
Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu.
Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine.
Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema
UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Aisay shetani asifiwe anawapeni nguvu mpaa unamini roho yako haiondoki kabisa mpaa kesho kutwa bado utapumua tu. Sa ukifa tutajuaje hapa.Mimi nitaishi hata zaidi ya kesho maaana kuishi kwangu ni kristo na kufa kwangu ni faida maana namwamini Mungu aliye Hai.
Kuna wanaogawa rushwa kama wagombea wa CCM Tanzania hii? Hivi tutaendelea kupokea vipipipipi kila kukicha wanajipitisha mpaka eti anayetaka kugombea ujumbe wa mtaa naye anatoa rushwa. Wananchi wa kawaida CCM wanapata khanga, t-shirt, miche ya matunda. Viongozi wao wanalamba majiko ya gas, baiskeli, Pikipiki wao wanaishia kupanga foleni kuwapa ulaji!Na rushwa ndani ya chama
Huoni wanajadili eti uchaguzi wa 2030. Bado kidogo watajadili wa 2035. Wanatia huruma sana!!!!!!!!!!Akili zenu zinawaza uchaguzi tu.
Kwani kwenu mgombea ni mmoja hakuna Democracy?Mada ya ushindi wa Mama Samia kwa 90% imekuwa ngumi nzito kwako.
Chalii, upo chini unarusha rusha miguu, wakuletee maji?