Pre GE2025 Predection: CCM itashinda zaidi ya 90%- 2025

Pre GE2025 Predection: CCM itashinda zaidi ya 90%- 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwani kwenu mgombea ni mmoja hakuna Democracy?
Hivi hujuwi kuwa Tanzania ni Republic na siyo democracy?

Hiyo democracy umeiona wapi? Au unaisikia tu?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia."
Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data)
Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.
Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine.
Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu.
Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine.
Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema

UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Unamaanisha 90% ya watiz ni wajinga na wapumbavu??

Mnajamini
 
Ni republic anapokuwa raisi ni dini yetu
Udini tunumekujaa
Hoja imekuwa nzito kwako.

Unaongelea dini kama vile kitu kibaya mtu kuwa na dini. Unanchekesha.

Mimi nna dini yangu Uislam, tena najivunia sana Uislam wangu.

Hujishangai wewe kafiri mkubwa usiye na dini? Una kipi cha kujivunia?

Peoples Republic of Tanzania. Ndiyo jina la nchi yako kama ulikuwa huelewi.

Aliyekwambia hii nchi ni democracy alikudanganya kijinga kabisa.

Katiba inayotumika sasa hivi iliandikwa na nani?
 
Hoja imekuwa nzito kwako.

Unaongelea dini kama vile kitu kibaya mtu kuwa na dini. Unanchekesha.

Mimi nna dini yangu Uislam, tena najivunia sana Uislam wangu.

Hujishangai wewe kafiri mkubwa usiye na dini? Una kipi cha kujivunia?

Peoples Republic of Tanzania. Ndiyo jina la nchi yako kama ulikuwa huelewi.

Aliyekwambia hii nchi ni democracy alikudanganya kijinga kabisa.

Katiba inayotumika sasa hivi iliandikwa na nani?
Hujui kitu unaendedhwa na ushabiki wa kidini
 
Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia." Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data) Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.

Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine. Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu. Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine. Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema

UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Kwanza sahihisha hiyo “predection”.
Mtatuambia tusistuke mkiiba kura kwa 90%.
Tanzania ya sasa ikibigia kura CCM kwa 90% nitaamini maneno ya waKenya Rais wa Tanzania anatawala maiti
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Refa, linesman, kamisaa wote unalazimsha wewe ndio uwachague, unapotezaje pambano hapo? Hakuna watu wanaojitambua wataendelea kujitokeza kupoteza muda wako kwenye hilo igizo liitwalo uchaguzi. Inshort mazombie ndio watajitokeza kupiga kura. Na kwa mazombie hao, hata hiyo 90% ni kama umekadiria chini.
Na kama uchaguzi ungekuwepo tz baada ya Nape kusema vile tume ya uchaguzi ingejitokeza kujitetea lkn wote tuliona kimyaa.
 
Hoja imekuwa nzito kwako.

Unaongelea dini kama vile kitu kibaya mtu kuwa na dini. Unanchekesha.

Mimi nna dini yangu Uislam, tena najivunia sana Uislam wangu.

Hujishangai wewe kafiri mkubwa usiye na dini? Una kipi cha kujivunia?

Peoples Republic of Tanzania. Ndiyo jina la nchi yako kama ulikuwa huelewi.

Aliyekwambia hii nchi ni democracy alikudanganya kijinga kabisa.

Katiba inayotumika sasa hivi iliandikwa na nani?
Hakuna nchi inaitwa People’s Republic of Tanzania; kuna United Repubic of Tanzania, nyie wahamiaji mko wengi
 
Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia." Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data) Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.

Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine. Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu. Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine. Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema

UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Kwa wizi kama kawaida au akili bandia matako
 
Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia." Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data) Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.

Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine. Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu. Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine. Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema

UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Kiongozi wenu mpya wa Hamas anatunguliwa kesho mchana.
 
Hata Bangladesh sheikh hasina alishinda kwa kishindo na amekimbia nchi, mauchafuzi ya wizi tu
 
Katika dunia ya leo kuna technolojia ya "Akili Bandia" au "Inteligensia ya Bandia." Hii inafanya utabiri baada ya Researcher kukusanya Data. (secondary data au Primary data) Researcher anaweza kutumia aina ya Machine learning moja, 2 au 3 ili kuweza kutabiri (Predection) kwa jambo litatokea.

Unaweza kutumia Deep learning, Random Forest, Regression na nyengine. Mimi nimetumia Machine learning (Random forest ) katika utabiri wangu. Result ni kwmba CCm Chini ya Dr Samia itapa ushindi 90% dhidi ya vyama vyengine. Mikoani CCM inapendwa sana kuliko Chadema

UTAFITI HUPINGWA KWA UTAFITI
Itapata chini ya 19%.
 
Back
Top Bottom