President Barack Obama's message to Kenyans on the March 2013 elections.

President Barack Obama's message to Kenyans on the March 2013 elections.

Ngoja nimpigie simu anidadafulia zaidi, nitawajuza naona namba yake not reachable kwa sasa. Nadhani amelala
 
basi kwa mujibu wa mtoa mada.kiswahili ni cha Wamarekani mana rais wao aliongea kisswahili alipokuja bongo

nilichogundua wa mtoa mada bwana mabwepand ni kwamba ana ubongo/mtazamo mwepesi sana.
Dats all i can comment
 
Last edited by a moderator:
Kinachoshangaza ni jinsi alivyozungumza kiswahili kwa lafudhi ya kijaluo (siyo kiswahili kwa lafudhi ya kimarekani)
 
Sasa hivi anaweza kufanya hivyo kwa sababu ni term yake ya pili. Kabla hajaingia term ya pili alikuwa anajitenganisha na mambo ya Kenya kwa nguvu zake zote. Nadhani term hii mpaka Kenya ataitembelea...
 
Wakenya wako zaidi ya Milioni kadhaa lakini Obama kasema habari yako (Salam ilikuwa kwa bibi yake)
Na hata alipoaaga hakuaga Mamilioni ya wa KENYA ,kwaherin (Pia alimuaga bibi yake)Ndie kipenzi chake
Na mleta mada lilikuwa jambo zito kwake
 
Tatizo wanasiasa wa kizazi hiki Kenya hawathamini lugha ya kiswahili kama wanasiasa waliopigania uhuru wa Kenya kina Mzee kenyatta na wenzie. Huyu binamu wenu Rais Obama, Ikulu ya Marekani na vyombo vya habari ngambo vinawaonesha wanasiasa wa sasa Kenya na wale tabaka la 'elite' nchini Kenya kutumia kiswahili wanapotaka kuongea na wananchi wa kawaida wa Kenya ambao ndiyo wengi kwa lugha yetu Kiswahili wakati wote.

President Obama's Message to the People of Kenya (Swahili Captions)


source: fwfworldnews
 
Last edited by a moderator:
Nimepapenda hapo. Wanajivunia kiswahili kama lugha yetu sote japo kwetu hatukithamini sana.
 
Wakenya wapo juu kutokana na maneno mawili ya Obama,HABARI ZENU na KWAHERINI?
My hairz!

asante kwa kuuliza haya maswali.......

Maana nimeshangaa ujuu wa wakenya ni kwa sababu ya maneno mawili tu?
 
Mazee Saaaasa niajeeee
Fiit
Nilikuwa nakucheki tu unajua naelekea westiiii na hii sheng yangu iko poa sana, ati mademu wa ki-tz hupendezewa sana na sheng yangu.
Tuonane
 
Wewe nawe ndio walewale akina magume gume sasa hiyo habari zenyu na kwa Heri ndio unaona kamaliza
 
Umekurupuka mtoa mada Obama kuongea kiswahili ajabu iko wapi? Huko ni kwao na anampenda sana Grandii wake chalii yangu
 
kweli watu wengine mpo duniani kushangaa tuu! Mbona vijana hapo posta wanaongea kifaransa na kiitaliano hao nao utawashangaa?!
 
Back
Top Bottom