President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

Wachina bwana, baada ya maua kariakoo, chemuli, magauini, suti za minadani, sasa wameleta na hii sijui ni ya promotion..!. Jamaa wanafiki sana. Wanampa mtu sample ya kitu anapenda ili wapate wanachikitaka. Sijui watachukua nini kwetu kwa exchange ya hii product yao mpya!.
Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!Je una lipi la kusema?
 
jamani mmesahau BMK chini ya MR. 6 wamependekeza ujue kusoma na kuandika inatosha kuwa PROFESA na simnaona wachina:bump::llama:
 
China products zao ni feki ,hata uprofessor wake pia feki
 
Eti cheti cha uprofesa; ina maana wachina wanawaona waafrika ni wajinga sana. Waliwahi ---- Bingu wa Mutharika na sasa wamamempa Kikwete; huwa wanawajua malimbukeni wa kuambiwa ujinga huo. Hakuna cheti cha uprofesa duniani hapa ila hivyo vinavyotoka China kwenda kwa viongozi wa Afrika akina Mangungo.
 
Wewe ...kutoka GPA YA 2.6 hadi kuwa Pr daaahhh ..umetshaaaa jk wa pili.
 
Dah! bongo kwa usanii tuko juu, baada ya profesa Jay wa Mitulinga leo tumepata profesa Jay wa Kikwete.
 
Alipopewa honorary doctorate basi ikawa initial rasmi Dr. Kikwete mpaka ikawa inaboa......, sasa kapewa honoray professorship huko china. Anzeni kumwita Prof. Kikwete tuone....

Hata maji marefu nae ni Professor, kuna prof. Jay wa mitulinga, kuna Dr. Cheni...., sio mbaya kuwa na Prof. Kikwete.




Chanzo:Michuzi

Hii imekaaje wakati wakulima mahindi yao ni Tsh.15000 kwa gunia? This is another tragedy!
 
Kama asingewapa hao Wachina gesi ya Mtwara wangempa huo Uprofesa wakichina?
 
wakuu wenye niuz watujuze kuna mtu kanipa tetesi kuwa wachina wamemtunukuu uprofesa mkuu wa "NNJI"?
 
Ni tanzania tu...unapewa upro unawapa gesi...
 
JAmani wachina.........jamani gesi yaooo kwenye ardhi yetu, nchi imeuzwaaaaaaaaaaaaaaa
 
Yaani kutoka kanali wa jeshi hadi PROF.??

Nadhani amekuwa mtanzania wa kwanza kupewa U-PRO. wa kichina.

Watanzania tungekuwa wajanja kama JK, nafikiri tungekuwa mbali ...................... mpaka kaweza kuibuka kuwa Prof.!!?
 
Mh. Prof. Dr. Presidaa JMHK! Siyo mchezo.
Rais, Mtukufu,Mhesshimiwa, Dr.,Profesar .LT .Colnel Alhaji,Chief wa Misenyi,Chief wa Bariadi,Mtwa wa Kalenga Mukulu wa Msoga,Zawadi ya wa TZ toka kwa MUNGU, J Kikwete , kiongozi wa nchi maskini kuliko zote duniani
 
Hii nayo ipo, ohoo God! made in china, everything is possible
 
Rais, Mtukufu,Mhesshimiwa, Dr.,Profesar .LT .Colnel Alhaji,Chief wa Misenyi,Chief wa Bariadi,Mtwa wa Kalenga Mukulu wa Msoga,Zawadi ya wa TZ toka kwa MUNGU, J Kikwete , kiongozi wa nchi maskini kuliko zote duniani

Interesting
 
Kwa kawaida unapokuwa mkarimu kiuchumi moja ya zawadi ni kuutunukia hizo tuzo ili uendelee kuwakarimu, pure neo colonialism
 
Hii inafanana na ya Rais wa Zaire ya zamani Mobutu sseseko kuku wa zambanga, sasa tuitafutie kiswahili chake au kirugha chake, tujue kwa kikwele katika vyeo vya usomi alivyopewa tunamuitaje?
majina yake yatakuwa kama hivi: Sinika Mrisho Kikwete Nechoch wa Mzelezi...
 
Back
Top Bottom