President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.

Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.

Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!

Je una lipi la kusema?

Halafu ninyi watanzania wenzangu kama uprofesa ni rahisi kiasi hiki jamani mbona mimi hamnituniku wajameni!!!
 
mhh mi napita tu jamani eti profesa jk😕😕😕
 
Nchi hii bana
Hivi uyu kiwewe anajua kilimo vizuri au umuhimu wa kuuza ardhi yetu kwa mafisadi wa ng'ambo kudadekii mimi ni mkulima ni tunukiwe basi
Hapa si bure kuna lao jambo
Wizi haooooooo
Professor Jk Pumbavu mtu
Nyerere amekufa na ualim wake
 
Proffesor wa kupaa angani kama popo. Kusafiri kwa siku za zaidi ya mwaka moja katika miaka kumi. Wachina wakachekecha wakaona aahh aiwezekani. Wakaona aiwezekani tumpe uproffesor, tumzuge na kilimo.
 
Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.

Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.

Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!

Je una lipi la kusema?
Wachina wanachekesha sana, wana vyeti vya uprofesa!? Nchi zingine uprofesa unapatikana baada ya kufanya utafiti na kufundisha college na kwa vigezo vya kitaaluma.
 
Bora huyu kuliko JK. Nakubali angalau anastahili akawa professor wa kiukweli ktk profession yake (utafiti ktk utabiri, urogaji, etc.). Kasoro tu ni kwamba kwenye field yake hawaandiki papers.

Field gan kumcheza ngoma MWALI?
 
Wiki hii mh: rais Jakaya mrisho kikwete.

Ametunukiwa cheti cha uprofesa wa kilimo nchini china kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini.

Sasa rais kikwete atakuwa akitambulika kama profesa jakaya kikwete!

Je una lipi la kusema?

Ukiangalia historia ya viongozi dhalimu wengi waliopita duniani hii tabia wanaipenda fuatilia idd amin alijipa u fieldmarshal,jean bedel bokassa alijipa ufalme, samwel doe akajiita master sergeant huyu alianza na udoctor ameona hasikiki ndio kaamua kuwa profesa linganisha makubaliano yake na tcd kuhusu bunge la katiba na alichokisema wakati anapokea katiba inayopendekezwa kuhusu kura ya maoni na alichokizungumza china kuhusu hiyo kura utagundua huyu nae analengo la kubaki madarakani hata muda wake ukiisha kwa kigezo cha katiba ama kingine chochote atakachozua
 
Editorial--0ctober25-2015.jpg
 
Kuna usemi Mkwele ukimpamba atakupa chochote utakacho.Najua apa China kuna kitu wana AIM na TZ lazima tupigwe
 
Ukiangalia historia ya viongozi dhalimu wengi waliopita duniani hii tabia wanaipenda fuatilia idd amin alijipa u fieldmarshal,jean bedel bokassa alijipa ufalme, samwel doe akajiita master sergeant huyu alianza na udoctor ameona hasikiki ndio kaamua kuwa profesa linganisha makubaliano yake na tcd kuhusu bunge la katiba na alichokisema wakati anapokea katiba inayopendekezwa kuhusu kura ya maoni na alichokizungumza china kuhusu hiyo kura utagundua huyu nae analengo la kubaki madarakani hata muda wake ukiisha kwa kigezo cha katiba ama kingine chochote atakachozua

Huyu siku hizi anaitwa ''mfalme Juha''. Uprofesa wa kilimo wapi na wapi wakati watu wanakufa njaa. Wachina wameshajua yeye ni aina ya mfalme Juha mpenda titles ndio maana wakaona wamzuge ili awaachie mali asili!
 
Back
Top Bottom