President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

Inabidi na yeye akae mkao wa kuliwa sasa! maana ukitaka kula lazima na wewe uliwe, u.prof huo si wa bure!
 
du, shemejiii, kawa prof! bado mwalimu wa mwandko na imra, cjui yeye atakua nani? dr. prof. alhaj. baba riz. jk shikamoo
 
Uprofesa unadharauliwa sana Mh Hawa Ghasia, je atamdharau boss wake?
 
Kwa kuuza nchi!!!! kwa wachina wanauza hadi mkaa na yeboyebo. Wawekezaji hao.
 
Kumuita profesa au jina lingine lolote sio muhimu sana. Jambo la muhimu ambalo Watanzania tunalihitaji ni yeye kujua wajibu wake kama rais wa nchi na kutekeleza majukumu yake ipasavyo.

Lakini kwa maoni yangu tu, Kikwete ndiyo rais kilaza kuliko wote walio tangulia, akifuatiwa na Mwinyi. Binafsi naomba muda ukimbie haraka ili atutokee tu pale Ikulu.
 
40 Tanzanian Engineering Professors were told to sit in an Air Tanzania. when they were all seated and the plane was about to take off, they were told the plane was made by their own students.They quickly run out of the plane leaving only one professor, Eng. Rweyemamu who was sitting confidently. When he was asked why he is still sitting, he said..." if the plane was made by our own students, trust me it won't even start !!!"

kwi kwi kwikwikwikwi
 
Alipopewa honorary doctorate basi ikawa initial rasmi Dr. Kikwete

Prezida!

Achana nae, tumpe heshima yake, kafanya ya kufanya, kama kaborongo usalama wa taifa wa au kwenye madili sio sisi wengine watamkata tu, ndio dunia ilivyo...
 
Dah!huwezi amini huu uzi ni watz wakimjadili rais wao!
Watu wanaua mbaya ha ha haa!
Inasikitisha sana.
 
Hahahahaha wamemkomeshaje!!! Wachina ni balaaa.

Uprofu feki nje nje.

Hivi rais wao anayo hata doctrate.

hahahah, rais wao hawajampa hata doctarate, sisi wetu apewe uprof? Kuna jambo si bure???
 
Anauza nchi kwa kupewa u professor fake! Ama kweli kikwete janga la taifa
 
iv tz si tunayo chuo cha kilimo ,msiniambie jamaa atarudi na mbegu za mahindi ,vipi mbona amehama kwa Obama ?
 
Basi awatetee waliokamatwa na poda ambao kama hawajanyongwa basi wanasubiri kunyongwa huko china !
 
Back
Top Bottom