President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

President Kikwete awarded Honorary Professorship by China Agricultural University

Wizara ya Afya imethibitisha kwamba Tanzania hatuna maabara ya kupima EBOLA. Basi tahadhari hii imenikumbusha hoja ambayo Profesa Jakaya Mrisho aliitoa wakati akishiriki panel ya marais waafrika walipokuwa wamealikwa na Rais Obama mjini Washington DC Agosti 2014. Huku akitabasamu na kuchekacheka kidogo alisema huo ni ugonjwa wa Afrika Magharibi!!!

Hayo ya kuhusu uwezo wa Tanzania kutokuwa na maabara ya kupima virusi vya Ebola ni sawa? Souce please!

Kwa wale wenye majina yanayoanza na prof inabidi watuelimishe hizo doctor, prof zinatolewa kwa vigezo gani?

Inaonekana kupata udoctor na uprof siyo issue.

Kuanzia sasa name najiita Eng. Josam bodi ya wahandisi isilete usanii kuzuia watu kujiita title hiyo ilihali taaluma nyingine hawana gere..... over?
 
Alhaji Dr Prof Rais Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.

Hizi sifa za kijinga Mwl nyerere alikuwa hazitaki kabisa na ndio akabaki kuitwa Mwalimu mpaka anatutoka na heshima yake inabaki palepale na sifa kemkem japo binadamu sio mkamilifu.
 
hana tofauti na idd amini sasa wachina walivyokua na matusi hawakumtambua kama dr. kwa hata kuandika jina lake na dr.kikwete xaxa wamempa u prof wa kusafiri.
 
hahahahahaha hutaki nini tena miss? habari ndo hiyo JK ni Prof kuanzia sasa! Hatimae Wachina wameona ueledi mpana wa Rais wetu kwenye masuala ya kilimo ingawaje bongo hakuna maendeleo makubwa ya kilimo...
sitaki ..............
 
Mwenye inaugural speech ya kiwete kuwa professor aiweke hapa.

.........dah!!
 
hahahahahaha hutaki nini tena miss? habari ndo hiyo JK ni Prof kuanzia sasa! Hatimae Wachina wameona ueledi mpana wa Rais wetu kwenye masuala ya kilimo ingawaje bongo hakuna maendeleo makubwa ya kilimo...

Wanabeba mazao kama yalivyo ndiyo maana wamempa uprofesa wa kuumiza wananchi
 
Hadithi yako nzuri sana,nani alikufundisha?
Mabawa mabawa mabawa Hadithi yako inatufundisha tusipende mabawa yakupewa.
Ukitaka kumuua kumbikumbi mpe mabawa. Akishapata mabawa ataruka juu na kujiona mjanja. Hatima yake ni kuliwa na kunguru hukohuko hewani. Mwisho wa hadithi. Hadith hii inatufundisha nini?
 
Dah!!! huu wivu wa watu humu JF dhidi ya prof.Kikwete ni balaa.Lakini hatutoshangaa.Lazima muone wivu,hiyo ni silka ya mwanadamu.Mwenzake anapotunukiwa lazima roho imuume.Huu uprofesa angepewa Mbowe wangefurika uwanja wa ndege kumpokea kwa sababu ni mtu ambaye hata ile sifa ya kuwa ana kadigrii ka kwanza hana.Ila Kikwete anayo ya kwanza ndio maana anapandishwa hadhi kwa kutunukiwa.Laiti Kikwete angekuwa kama Mbowe mwenye elimu ya form six ya kuishia.Wasomi wa vyuo wanaozitunuku hizo Dr na Prof wasingemtunuku.Kwa sababu hajafikia hadhi ya kutunukiwa kwa sababu hajakidhi vigezo na masharti ya kitunukiwa.Kama kuna mtu anamjua mtu aliyetunukiwa Dr na uprof akiwa ameishia darasa la 7,form 4,au form 6 atupie humu wasifu wa huyo mtu ili kujenga ufaafu katika kuona kuwa watu wanapewa kama njumu hizo heshima za kutunuku kama alivyotunukiwa raisi wetu.Acheni wivu,mpewa hapokonyeki.Nyie kama mna nyota za punda kubeba mizigo,waacheni wenye nyota zao watunukiwe uprofesa wao bwana.
 
Dah!!! huu wivu wa watu humu JF dhidi ya prof.Kikwete ni balaa.Lakini hatutoshangaa.Lazima muone wivu,hiyo ni silka ya mwanadamu.Mwenzake anapotunukiwa lazima roho imuume.Huu uprofesa angepewa Mbowe wangefurika uwanja wa ndege kumpokea kwa sababu ni mtu ambaye hata ile sifa ya kuwa ana kadigrii ka kwanza hana.Ila Kikwete anayo ya kwanza ndio maana anapandishwa hadhi kwa kutunukiwa.Laiti Kikwete angekuwa kama Mbowe mwenye elimu ya form six ya kuishia.Wasomi wa vyuo wanaozitunuku hizo Dr na Prof wasingemtunuku.Kwa sababu hajafikia hadhi ya kutunukiwa kwa sababu hajakidhi vigezo na masharti ya kitunukiwa.Kama kuna mtu anamjua mtu aliyetunukiwa Dr na uprof akiwa ameishia darasa la 7,form 4,au form 6 atupie humu wasifu wa huyo mtu ili kujenga ufaafu katika kuona kuwa watu wanapewa kama njumu hizo heshima za kutunuku kama alivyotunukiwa raisi wetu.Acheni wivu,mpewa hapokonyeki.Nyie kama mna nyota za punda kubeba mizigo,waacheni wenye nyota zao watunukiwe uprofesa wao bwana.

Maji marefu
 
Sitakuja kuita kumuita prof hata siku moja,mbona yeye hajawahi kumwita JK Nyerere baba wa taifa,fuatilia hotuba zake utaniambia,hajawahi hata siku moja

nazidi kupata point kumbe huyu mweshimiwa ndio anaeongoza kupoteza jina la baba wa taifa
ninahamini ya kwamba kitendo cha kuuwa siku ya kumbu kumbu baba wa taifa huyu JK amehusika 100%
 
Huyu mshikaji jana kaniboa na kizungu chake!! Licha ya kuwa waziri wa mambo ya nje kwa miaka 10 na presidaa kwa miaka 8, kizungu bado ni issue.
 
Wakuu,

Huu uzi kituko cha mwaka! Nikitaka kuongeza siku za kuishi kupitia kicheko nitautembelea mara kwa mara.
 
Back
Top Bottom