MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,391
H
Uprofu feki nje nje.
Hivi rais wao anayo hata doctrate.[/QUOTE
Wao hawana hizo ni huku kwetu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
H
Uprofu feki nje nje.
Hivi rais wao anayo hata doctrate.[/QUOTE
Wao hawana hizo ni huku kwetu tu.
Ukitaka kumuua kumbikumbi mpe mabawa. Akishapata mabawa ataruka juu na kujiona mjanja. Hatima yake ni kuliwa na kunguru hukohuko hewani. Mwisho wa hadithi. Hadith hii inatufundisha nini?
sitaki ..............
Yaani kutoka kanali wa jeshi hadi PROF.??
Nadhani amekuwa mtanzania wa kwanza kupewa U-PRO. wa kichina.
Ukitaka kumuua kumbikumbi mpe mabawa. Akishapata mabawa ataruka juu na kujiona mjanja. Hatima yake ni kuliwa na kunguru hukohuko hewani. Mwisho wa hadithi. Hadith hii inatufundisha nini?
Acha wivu wa kike, slaa lazima ampe shkamoo.
Alhaji Dr Prof Rais Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.
Alhaji Dr Prof Rais Ndugu Jakaya Mrisho Kikwete.
Utasikia kesho kutwa anatukiwa kuwa genius wa africa
Wewe kwanini hutaki una kiburi sio?
Hahahahaha wamemkomeshaje!!! Wachina ni balaaa.
Uprofu feki nje nje.
Hivi rais wao anayo hata doctrate.
Maana unaweza kukuta wamempa upro-pesa JK wakati rais wao hawajampa, ndio hapo utagundua kwamba huo uprofesa 'is not for human consumption, is poisonous/toxic or simply a bait'Hahahahaha wamemkomeshaje!!! Wachina ni balaaa.
Uprofu feki nje nje.
Hivi rais wao anayo hata doctrate.