passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Anataka afanye anachofanya yeye ndio anajua kua magufuri anasikiliza ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiukweli napenda sana utashi alionao Magufuli, msukumo na nguvu zake yaani ni mtu ambaye angekua wa kuskliza ushauri na kuufanyia kazi anaweza akaaipeleka Tanzania mbali sana, tatizo lake (kwa maoni yangu) ni aina ya wale wazee ambao hawaambiwi kitu, nakumbuka enzi zetu tukiwa wadogo, tulikua na aina fulani ya wazazi ambaye angekuwasha kibao kisa umejaribu kumshauri au kujibizana naye kwa lolote.
Hawa wazazi walikua wakali kwamba akiamrisha kitu, unaanza kukifanyia kazi hata kama haujakielewa alichokiamrisha, na ukithubutu hata kuhoji au kuomba maelezo zaidi ili uelewe namna gani anataka uifanye anakuwasha kibao kisa haupo makini kwenye kuskliza maagizo.
Ndivyo huwa naiona kwa Magufuli, ni aina hiyo ya kiongozi, yaani akisema kitu, mnapaswa muendane naye kukifanyia kazi, maaelezo na maagizo zaidi mtayapata huko mbele maana kadiri utakavyomhoji ndio utakua unaharibu, na mbaya zaidi jaribu kumbishia ndio utaona balaa yake.
Angekua kiongozi wa kuskliza ushauri na kukubali kukosolewa panapostahiki, kwa kweli angefaulu pakubwa sana katika kuitoa Tanzania, ila kwa sasa ndio kama hivyo, anajikuta akibishia hata mambo ya kitaalam ya Corona.
Yaani pona na nafuu ya Tanzania ni kwamba wako na upinzani dhaifu sana, na pia Watanzania ni watu wenye asili ya unyonge, sio wabishi na wagomvi, kwa kweli rais Magufuli angewaongoza Wakenya nchi ingeishia kwenye umwagikaji mkubwa wa damu, maana desturi yetu na sisi pia wabishi, tutakuhoji hata kwa ukali wako, tutabanana na wewe kwa hali yoyote ile, tutapumuliana, ukienda chini tunakwenda, ukipandisha tunapanda.....najaribu kuwaza hapa ingekuaje kwa kiongozi wa upinzani Tanzania kujiapisha urais kama alivyofanya Raila Odinga hapa kwetu, halaafu tena mbele ya nyomi, maelfu ya watu.....kwa chini ya uongozi wa Magufuli nahisi jamaa wangevurugana mpaka sisimizi hawangekua salama.
Hitler alikua kiongozi mzuri sana kwenye utendaji, yaani alikua mtu wa matokeo tu, hakutaka uzembe wa aina yoyote na Ujerumani ilikua inapiga hatua sana enzi zake, ila tatizo lake kubwa alikua mbishi sana, hakupenda kukosolewa au kushauriwa, aling'ang'ania hadi dakika za mwisho, wakuu jeshini walijaribu kumshauri asishambulie Urusi, wakajaribu kumshauri asitishe vita, yaani mpaka mabomu yanatua Berlin lakini jamaa king'ang'anizi, aking'ata ameng'ata ng'ata ng'ata, hakutaka kuskliza wala nini, na mpaka dakika za mwisho kwa alivyokua mbishi kajipiga risasi kichwani, hakutaka hata dakika moja asikike kwamba amekubali yaishe, kaamua bora ajifie mbali. Ujerumani ikasambaratishwa na kuwa kama shamba....
Ndio hili naliona kwa Tanzania kwenye haya ya Corona, yaani pale Magufuli alisema hatofunga chochote, walahi msitegemee aje kubadilisha hiyo kauli hata mkifa 50%, hehehehe!!! Hivyo haya makelele sijui mara USA, mara WHO, mara CDC hakuna atakayembadilisha kwa hilo, na msitegemee hata huyo Mbowe hana usemi wowote utakaomfanya Magufuli abadilishe msimamo, tafuteni mbinu zingine za kuishi na kirusi lakini msitegemee rais alegeze msimamo wowote.
Hayo ni maoni yako but Watanzania wengi wanamuamini Magufuli na wanajivunia Magufuli kuwa rais wao by the way anafanya vizuri miradi mikubwa inatekelezwa kuinua uchumi.Kuna wakati Tanzania tulikuwa na kiongozi ambae Dunia ilimtambua na Afrika walimtamani. Ukisema tu unatoka Tanzania kwa kumaanisha zaidi kuielewa Tanzania Mnigeria, Mghana, Myahudi, Mhindi ataongezea Julius Nyerere, ooh he was a Great Leader.
Now we have reverse vers of that statement statement.
Hiyo miradi mikubwa anajengea mashetani wakati raia wanakufa kwa corona?Hayo ni maoni yako but watanzania wengi wanamuamini Magufuli na wanajivunia magufuli kuwa rais wao by the way anafanya vizuri miradi mikubwa inatekelezwa kuinua uchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hapa hujaandika lolote Na nakikishia kwamba magufuli Ataipeleka tz mbali.hivi unauhakika gani magufuli hasikilizi ushauri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hebu fuata huu uzi hapa ukajibizane na Watanzania wenzako ambao ndio wako Bongo na wanaona na kuonja hali ilivyo, humu wanasema miradi yote aliyoanzisha imeangukia pua, hamna hata kimoja mnachoweza kutumia kwenye kampeni za kutafuta kura ya urais, ni ile tu Tanzania lazima rais ashinde kwa tikiti ya CCM, ingekua mnahoji kwa matokeo ingekua ndio basi, soma huu uzi hapa
Majanga: Miradi ya Magufuli yote imekwama - JamiiForums
Mbona hata malaria inaua watu wengi kuliko korona husemi ,alafu korona hajaleta yeye.Hiyo miradi mikubwa anajengea mashetani wakati raia wanakufa kwa corona?
Soma hiyo topic mpaka mwisho miradi ya tz haiwezi kwama hata kidogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabishie hao maana ndio wapo maeneo husika na wana uwezo wa kusema kama kweli, mimi nilie nje labda nitegemee media, kwa mfano SGR ilikua ianze kazi mwaka jana, leo mnaelekea kwenye uchaguzi bado imebaki kuwa stori, yaani hamna mradi hata mmoja hivi mumekamilisha ukaonekna.
Wewe ni injinia? Hakuna mradi wa tz utakaofeli kila mradi unaendelea vizuri wewe subiri muda kidogo uje upige picha na treni ya kisasa na umeme ya tz kwani inakaribia kukamilika.mradi wa tz unamambo mengi kama umeme kuwekwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
You have that type of weakest president in your mind!Kuna wakati Tanzania tulikuwa na kiongozi ambae Dunia ilimtambua na Afrika walimtamani. Ukisema tu unatoka Tanzania kwa kumaanisha zaidi kuielewa Tanzania Mnigeria, Mghana, Myahudi, Mhindi ataongezea Julius Nyerere, ooh he was a Great Leader.
Now we have reverse vers of that statement statement.
Kwa hiyo rais ndiyo kaleta Corona?Hiyo miradi mikubwa anajengea mashetani wakati raia wanakufa kwa corona?
His target is to postpone election schedule until when COVID19 is endedMuseveni hands down
You got that right brother, He surely gonna come on top.It is too senseless seeing some irrelevant hogs are trying to spin on the quality of the Tanzanian president, they devote some moments discussing how Magufuli is leading Tanzania rather than discussing their jubilee corrupted government.
I tell you, at the end of the race, Magufuli is going to win a gold medal, you tried lockdown but you failed, you are now imposing a regional isolation technique to discriminate Tanzania.
Cc: Haters, Nyang'aus , and mabeberu.
Sent using Jamii Forums mobile app
You mean to imply from the same government that questioned the authenticity of the results, terming the kits as faulty after testing goats and pawpaws? (same kits have been used else where with no unquestioned results) The same government that has halted the exercise of issuing infection statistics for weeks?I don't see a point here because he is not only president who demanded that medicine from madagascar. And also right data about covid patients must come from government not otherwise.and let me assure you that he will not fail.
Hayo ni maoni yako but watanzania wengi wanamuamini magufuli na wanajivunia magufuli kuwa rais wao by the way anafanya vizuri miradi mikubwa inatekelezwa kuinua uchumi .
Sent using Jamii Forums mobile app