Mambo ya wanamuziki zaidi yapo kwa lubonji wa lubonji ndo mchambuzi Zaid fb sijui km yupo jfmtu chake lucas mobutu Sky Eclat mkimaliza hili na kuku wa zabanga tuleteeni habari za wanamuziki tuanze na Werasson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya wanamuziki zaidi yapo kwa lubonji wa lubonji ndo mchambuzi Zaid fb sijui km yupo jfmtu chake lucas mobutu Sky Eclat mkimaliza hili na kuku wa zabanga tuleteeni habari za wanamuziki tuanze na Werasson
sio Brussels, mkewe alifia hospital moja jijini Geneva Switzerland mwaka 77Mke wa kwanza wa Mobutu Maria Anttoinette alikufa baada ya kupigwa na mumewe akiwa mja mzito. Mobutu aliumia sana kwani alimpenda sana mkewe. alimuahisha Brussels kwa ndege lakini haikusaidia.
Bhokasa alikuwa mjinga sana alitumia hela mpaka alimaliza kabisa hela ya kuendeshea serikali. Aliona Masada wa dharura kwa Gadaffi alipewa kwa masharti ya kuwa atabadili dini.Na bokasa pia wa central Africa,
yaap ndio maana miaka ya 80's alipiga marufuku MTU kujiita jina LA kizungu kila MTU ilitakiwa abadili jinA na kuwa LA asiliKifo kinaogopesha lakini kwa muda mrefu hakutaka kabisa kutumiza jina lake la Joseph
Wewe mtoto Wa ngapi Wa Mobutu? Kwa mchepuko upi?
Aliigeuza Congo kama Mali yakeMobutu bana! Wakongo ni wa kuhurumiwa mpk leo
pia kwenye harusi ya bintie alinunua gauni LA dola laki tatuTrue
Ilitengenezwa ufaransa kwa oda maalumu
mtoto bado yupo,,?Hata hivo jamaa alkuja kufa miaka ya 90 akamuacha mwanae ambaye alilelewa na mobutu
nomaAlikuwa akifika Fulani haulizi bei anabeba na kulipia
watoto wake wAtatu wapo Belgium mwez ujao nitakuwa huko nifAfwatiliaNaomba kujua watoto wa huyu mzee ambao bado wako hai....ikiwezekana tujuzane wanafanya nini.
watoto wake wAtatu wapo Belgium mwez ujao nitakuwa huko nifAfwatiliaNaomba kujua watoto wa huyu mzee ambao bado wako hai....ikiwezekana tujuzane wanafanya nini.
aya msheku u msima? nukeri ku?Asante awaee