luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
aya msheku u msima? nukeri ku?Asante awaee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aya msheku u msima? nukeri ku?Asante awaee
Kibelgiji ndio lugha gani???Akiwa anajiandaa kwa mtihani wa darasa la 12, alitoroka shule kwenda kumuona girlfriend wake. Sina uhakika kama ni Maria Anoitte. Shule ilikuwa ni seminary ya Wakatoliki. Wakati anarudi mapadre walimkamata na adhabu yake iliamuriwa asiende form V kwakua ni mkaidi aende jeshini. Aliumia sana kutokwenda form V wakati Kibeligiji alikijua mno.
Alioa akiwa ofisi wa ngazi ya chini jeshini na mshahara wake wote alimudu kununua sanduku moja la bia ndiyo receptionist na alikuwa bado na usongo na ma padre alipata juoa kanisani
Hakua mtu aliyependa kuuaAjabu ni kuwa mpinzani wake mkubwa Tshisekedi hakumuua japo akiishi hapo Kinshasa
Mobutu Sesseseko Kuku Ngbendu Wa ZabangaKaribu mkuu
Kwa kupenda huko anasa,akaandaa pambano la Ngumi uzito wa juu,ubingwa wa dunia mwaka 1974 Mohammed Alli vs George Foreman, ngumi hizi zilikua maarufu km 'Rumble in the Jungle' ilikua ni hasara kwa nchiMobutu alipenda anasa mno alikuwa akikodi li ndege kubwa LA air France kwa mwez mzma kula bata,alipendelea kufanya shopping mjini Marseille
Tshishekedi alikua master nae ktk ulozi ( wanavyosema wenyewe )Ajabu ni kuwa mpinzani wake mkubwa Tshisekedi hakumuua japo akiishi hapo Kinshasa
Kweli aisee, bora jiwe ana sura ya kikatili!!Lakini ukimwangalia sura hafananii na ukatili kabisa.
Utawafuatilia vipi ambavyo no tofauti na ulivyo hapa?watoto wake wAtatu wapo Belgium mwez ujao nitakuwa huko nifAfwatilia
Wa mwisho kàtika ndoa ya kwanzaHivi yule Saddam Hussein aliyekuwa mfadhili wa Wenge Musica alikuwa mtoto wake wa ngapi?
Naye ameshafariki?Wa mwisho kàtika ndoa ya kwanza
Aliitwa kongolu mobutu
Yah.na alipenda sana iwe hivo. Kuna barua alimtumia mwanae akasema anafany kazi kuacha historiaAmeacha historia au kumbukumbu
Sawa sawa naona ndo mfano wako ktk maisha !!Yah.na alipenda sana iwe hivo. Kuna barua alimtumia mwanae akasema anafany kazi kuacha historia
Alikataa na ukiangalia vizuri hakuhusika
Ndio amefariki 1998 huko monàccoNaye ameshafariki?