President Mobutu Sese Seko of Zaire

President Mobutu Sese Seko of Zaire

Akiwa anajiandaa kwa mtihani wa darasa la 12, alitoroka shule kwenda kumuona girlfriend wake. Sina uhakika kama ni Maria Anoitte. Shule ilikuwa ni seminary ya Wakatoliki. Wakati anarudi mapadre walimkamata na adhabu yake iliamuriwa asiende form V kwakua ni mkaidi aende jeshini. Aliumia sana kutokwenda form V wakati Kibeligiji alikijua mno.

Alioa akiwa ofisi wa ngazi ya chini jeshini na mshahara wake wote alimudu kununua sanduku moja la bia ndiyo receptionist na alikuwa bado na usongo na ma padre alipata juoa kanisani
Kibelgiji ndio lugha gani???


Chai
 
Mobutu alipenda anasa mno alikuwa akikodi li ndege kubwa LA air France kwa mwez mzma kula bata,alipendelea kufanya shopping mjini Marseille
Kwa kupenda huko anasa,akaandaa pambano la Ngumi uzito wa juu,ubingwa wa dunia mwaka 1974 Mohammed Alli vs George Foreman, ngumi hizi zilikua maarufu km 'Rumble in the Jungle' ilikua ni hasara kwa nchi
 
Hivi yule Saddam Hussein aliyekuwa mfadhili wa Wenge Musica alikuwa mtoto wake wa ngapi?
 
Back
Top Bottom