President Museveni akemea Oral Sex, asema, the mouth is for eating, not sex

President Museveni akemea Oral Sex, asema, the mouth is for eating, not sex

HAHAHAHA sisi wa VIBA100, Huwa vinapotelea kinywani tu kama PIPI KIFUA
 
Namuunga mkono museveni nashangaa magufuli anavyolifumbia macho hili
 
Kwa niaba ya Magufuli nawaonya kununua madada poa popote walipo.
 
Tatizo la kutawala milele na kibabe.
Kila jambo anataka aliseme yeye tu.
Mwisho unakosa hata maneno ya busara ya kuwaambia raia wako.
 
Halafu wazee km hawa ndo wanaongoza kwa michepuko na kupenda kunyonywa wanawaonea aibu wake zao
ana pretend tu...mxiiiiiiuuuw"" mwenzie Bichwa kubwa kamzalisha mke wamtu huku'' si ajabu ipo siku nae atakemea kuhusu zinaa
 
Back
Top Bottom