President Museveni akemea Oral Sex, asema, the mouth is for eating, not sex

President Museveni akemea Oral Sex, asema, the mouth is for eating, not sex

Ile muvi ya mkenya ilikuwa ni hujuma ya wakenya kwa tasisi za uganda baada ya kuwanyima mradi wa bomba la gesi. ndiyo maana Museven anaamua kuua hiyo kitu kwenye media kwa style hii. Wakenya wanavisasi si wakuchekea. Wewe ujiulizi, mwanafunzi kapata first class...halafu anaamua kuianika kuwa kaipata kwa "'u'nunu' bare style", si jambo la kawaida. She was 'honeytrap' !
 
Kuna Siku atatuambia doggy atupe haifai Kwa kuwa Yeye umri umesogea hawezi kupeleka Moto Kwa style hiyo


Wazee wanaong'ang'ania madaraka Afrika wana maajabu kila kukicha. Usishangae kesho akaja na kusema kuwa mwanamke inabidi abakwe tu kwani wanaume wengine hawajuwi kutongoza na wana hamu ya kudu.
 
Back
Top Bottom