#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

#COVID19 President Samia hires Tony Blair to help in the fight against COVID-19, and rebuild the country's reputation

Kwani si ndo mnaoongoza kutetea YOOOOTE aliyoyaacha JPM hata kama ni ya kijinga!!

Ndivyo mnavyodanganyana kwa sababu Mungu Mtu wenu aliwadanganya hawezi kuwa mtumwa wa mabeberu wakati from Day 1 anaingia madarakani, hadi siku zake za kuishi hapa duniani zinaisha, HAKUWAHI HATA MARA MOJA KUKATAA CHOCHOTE TOKA KWA MABEBERU!!

Nchi iliendelea kupokea misaada toka kwa mabeberu ikiwa hadi misaada ya kijinga kabisa kama vile kujengewa vyoo!!

Nchi iliendelea kunufaika na shughuli za NGO's za mabeberu! Kwahiyo kauli kama hizo, danganyaneni wenyewe, au tafuta watu wa kuwaambia lakini sio mimi!

Sina haja ya kuwajadili hao wengine, labda uniambie wewe what's so special alichofanya JPM?! Ametuwekea mwelekeo upi?

Mwelekeo wa kuua na kufunga watu waliokuwa wanampinga?

Mwelekeo ya kutuletea watu kama akina Sabaya ambao walitumika kunyanyasa wapinzani huku wakifanya ujambazi?!

Ametuwekea mwelekeo upi hasa?!

Hivi una habari hata ile mipago aliyoifanya ni vision ya waliomtangulia, huku vision yake yeye ikiwa ni ununuzi wa ndege ambayo ni mradi wa hovyo!! Maybe Mradi wa Bwawa la Nyerere lakini wenzake pia walitaka kuwekeza huko lakini walipoona kuna gas ya kutosha, wakaona haina haja!!

Ni mwelekeo upi hasa unaosema wewe?

SGR fine lakini nao ni mwelekeo ambao uliandaliwa na waliomtangulia na yeye akaja kufanikisha tu!! Tofauti pekee, waliomtangulia walitaka kuifanya unelectrified SGR with Chinese Company being ndie mjenzi mwenyewe, yeye akaamua iwe electrified na kumpa tenda Mturuki lakini maandalizi yalianza long ago kabla hajawa waziri!!

Sasa huo mwelekeo ambao ni very special ni upi hasa?!

Btw, hivi unafahamu kwamba rushwa kubwa kubwa zote zilizowahi kutikisa taifa hili zimetokea wakati wa Mkapa unayedai eti ndo miongoni mwa walioweka mwelekeo!! Si ndo Mkapa huyo huyo ndie aliuza karibu mashirika yote ya umma, hadi TANESCO kabla haijarudi serikalini?

Lakini pamoja na madudu hayo ya Mkapa katu usimlinganishe The Late Magufuli kwa sababu Mkapa was far more visionary than Magufuli!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una kibarua kizito sana!

Yani wewe Magufuli alikuchapa akiwa hai na bado anakuchapa akiwa mfu
 
Former British Prime Minister Tony Blair has made two official visits to Tanzania since Samia Suluhu Hassan assumed the presidency in March this year after the sudden death of her predecessor, John Magufuli.

Government officials say that the Tony Blair Institute for Global Change has been hired by President Samia to handle two of her administration’s key projects: the fight against Covid-19 and rebuilding Tanzania’s international reputation.

In July, Blair paid his first courtesy call to Tanzania where he and President Samia discussed how to combat the Covid-19 pandemic.

Blair said his institute is responsible for facilitating the testing and distribution of vaccines, and may help Tanzania to access top vaccine producers.

Credits: The Africa Report
2960219_IMG-20211010-WA0032.jpg
 
Mkuu

Huyo jamaa tangu nimjue mlengo wake nimetokea
kumwona mutu wa hovyo sana......

Huyo ni msoga pure, linakujaga na hoja zake za
kutetea upuuzi, Upuuzi yaani upuuzi.....

Quote zake huwa hata sihangaiki nazo, Hili Taifa ni
Taifa la Watanzania na siyo Taifa la familia zao na
marafiki zao mabeberu.

Atakupotezea muda kwa maandishi yake marefu
na quotation za kwenye Encarta.......

Shukrani!
Chige ni mbumbumbu anaeishi na hasira kwa hayati Magufuli!

Kwake huwa anaumia sana akiona Magufuli anapewa credit kwa jambo lolote lile
 
Hongera sana kwa Rais Samia
Ukweli hao jamaa wametuzidi sana maarifa yao yatatusaidia
Aise hivi ni kweli tunakubali kuwa sisi tunamaarifa madogo. Yaani uko tayari mtu wa nje aje akulelee watoto wako uliozaa kwa raha zako. Basi sawa Mungu anihurumie mimi.
 
Tunaojua Blair kazi iliyomleta hapa tuliandika eatu wnaqeza kujua identity zetu. Ngoja tumyamaze.
Kwa kweli ngoja tunyamaze tu. Tukisema sana Tutatumia bure wao waendelee kuishi. Lakini ipo siku
 
Kwamba nchi nzima ilimuelewa sana JPM kwenye chanjo?
Unamaanisha nini unaposema nchi mzima?!

Waliomwelewa ni Wafuasi wake, and of course wafuasi wake wapo nchi nzima bila kujali distribution yake kwa kila eneo. So, ana wafuasi nchi nzima lakini sio watu wote nchini ni wafuasi wake!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una kibarua kizito sana!

Yani wewe Magufuli alikuchapa akiwa hai na bado anakuchapa akiwa mfu
Kibarua kizito zaidi ya hicho ulichojipa cha kutetea kila alichofanya hata kama ni cha kijinga!! Halafu siku hizi umejiongezea kingine... ukiona naongea jambo positive kuhusu Samia, unaumia huku ukishindwa tu kuweka wazi kinachosukuma maumivu yako!

Halafu ajabu yako wewe... Hivi unataka mkishatoa nyuzi na posts za kumsifia, ndo unataka soooote tuungane na nyinyi kumsifia hata kama anasifiwa kwa jambo la kijinga, au?

Oneni sasa... serikali hatimae inalazimika kuleta the so-called Mabeberu kuweka sawa maforofyongo ya Mungu Mtu wenu mnayetaka asikoselewe!!! Au unataka kusema wewe unafahamu zaidi uhalisia kuliko Samia na serikali yake?

Narudia kama nilivyowahi kukuambia mara kadhaa... POLE SANA!!!

Nyerere kafanya mambo mengi sana nchi hii, na amefariki zaidi ya miaka 20 iliyopita lakini hadi leo watu wanamkosoa!! Sasa utaendelea kuumia sana ikiwa kila anapopigwa vitofa JPM, basi unaingia kwa sababu tu unataka awe anasifiwa tu!!!
 
Acheni ujinga,kila siku imekuwa mwendazake,mwendazake.Kamfufueni mumwadhibu! Stupid propaganda
 
Inategemea...

Tuchukulie muktadha wa habari yenyewe... "to help fight against COVID-19 and rebuild the country's reputation"

Tukisimama hapo, that's more than needing professionals but exposure matters!!

To rebuild country's reputation kama habari inavyosema, inahitaji zaidi ya professionals bali people with exposure!! Mtu anayeweza hata kubisha hodi na kufunguliwa mlango Bretton Woods na kufikisha ujumbe kwamba "Tanzania is reborn"!

How many professionals do we have wenye hizo sifa?

Tunaposema kusaidia kupambana na COVID-19 wala sio jinsi ya kuwahamasisha watu jinsi ya kunawa mikono bali jinsi tunavyoweza kuna na access medical stuff for COVID-19! Professional TUJITEGEMEE anaweza kutoa ushauri mzuri kabisa wa jinsi ya kupambana na ugonjwa, lakini anaweza kuwa na limited access to donors wanaosaidia kupambana na COVID-19 duniani!!

Kwa mfano nimekupa mfano wa Belinda and Gates Foundation kutoa zaidi ya USD 3 Million kwa Tony Blair Institute kwa issue ya Burkina Fasso... je, ni Tanzanian Professionals wangapi wenye uwezo wa kupiga hodi na kufunguliwa kwa mikono miwili pale Belinda & Gates Foundation!

Tanzania is reborn! Unachekesha sana mkuu…kwani ilikuwa imekufa?!

Kwetu sisi ilikuwa imefufuliwa…tulifunguliwa macho..tuliambiwa mchana kweupe na mzee wetu JPM kwamba sisi tumefanywa shamba la bibi huu ni ukweli usiopingika…we knew way back lakini habari zilikuwa zinasemwa chinichini..watu wanajichotea madini na wanyama wanavyotaka…..kwa hio kukatazwa kutufanya shamba la bibi Tanzania ndio imepoteza reputation…sasa hv wana hire institution kwamba we are back on business….uuuwiiiiiiiii #inJPMvoice..

Kwahio inakuwa reborn tena mkuu ili warudi…WAPI?!

Kuhusu pandemic JPM aliomba taasisi za nje kuondolea madeni nchi maskini na sio kuwapa pesa kuzidi kuwadidimiza kwenye madeni…sasa sisi ndio tuna hire ilitupate pesa…wakati survival rate ya huu ugonjwa ni 99%…huu ugonjwa upo tutaishi nao…tuchape kazi, tulime tuuze mazao yetu, tufungue viwanda vyetu, Tony Blair tumuajiri atutafutie masoko ya bidhaa zetu
 
Ina maana hata wewe hufahamu kwamba Tony Blair Institute for Global Change is a non-profit NGO, au?! Au unajitoa ufahamu kwa sababu ujaji wake ni wa kujaribu kurekebisha maforofyongo ya mtu uliyekuwa unamtetea?! Ni lini Tanzania imeacha kubebwa na NGOs za duniani?
British Standards !
 
Tanzania is reborn! Unachekesha sana mkuu…kwani ilikuwa imekufa?!

Kwetu sisi ilikuwa imefufuliwa…tulifunguliwa macho..tuliambiwa mchana kweupe na mzee wetu JPM kwamba sisi tumefanywa shamba la bibi huu ni ukweli usiopingika…we knew way back lakini habari zilikuwa zinasemwa chinichini..watu wanajichotea madini na wanyama wanavyotaka…..kwa hio kukatazwa kutufanya shamba la bibi Tanzania ndio imepoteza reputation…sasa hv wana hire institution kwamba we are back on business….uuuwiiiiiiiii #inJPMvoice..

Kwahio inakuwa reborn tena mkuu ili warudi…WAPI?!

Kuhusu pandemic JPM aliomba taasisi za nje kuondolea madeni nchi maskini na sio kuwapa pesa kuzidi kuwadidimiza kwenye madeni…sasa sisi ndio tuna hire ilitupate pesa…wakati survival rate ya huu ugonjwa ni 99%…huu ugonjwa upo tutaishi nao…tuchape kazi, tulime tuuze mazao yetu, tufungue viwanda vyetu, Tony Blair tumuajiri atutafutie masoko ya bidhaa zetu
Yani nimesoma hiyo comment yake nikatamano angekuwa karibu nianze na kofi upuuzi mkubwa sijui viumbe wengine wanamaruani gani?

Yaani ndio maana mikoa yao hadi sebule zimeuzwa kwa kweli kama pangekuwa na namna wachaga tungetengwa na hizi nyang'au za pwani.
Nchi yetu tuna bariki na kutakasa uwizi eti kisa aliyekuwepo alikuwa msimamizi sahihi wa rasilimali. Nimegundua jambo jamii za pwani zina inferiority kubwa sana to the so called whites shenzi type.
 
Nahizunika sana kwa baadhi ya replies. To me Magufuli ataendelea kuwa bora daima
Magufuli alikuwa ni mtu mwenye independent mind na results-oriented. Hii tabia ya ombaomba, na bembeleza bembeleza (kutafuta kibaba) hakuwa nayo, jambo ambalo ndilo lililonivutia kwenye utendaji wake! Hakuwa mtu perfect kwa watu wote, lakini tutamkumbuka kwa mema aliyoifanyia nchi.
 
Kibarua kizito zaidi ya hicho ulichojipa cha kutetea kila alichofanya hata kama ni cha kijinga!! Halafu siku hizi umejiongezea kingine... ukiona naongea jambo positive kuhusu Samia, unaumia huku ukishindwa tu kuweka wazi kinachosukuma maumivu yako!

Halafu ajabu yako wewe... Hivi unataka mkishatoa nyuzi na posts za kumsifia, ndo unataka soooote tuungane na nyinyi kumsifia hata kama anasifiwa kwa jambo la kijinga, au?

Oneni sasa... serikali hatimae inalazimika kuleta the so-called Mabeberu kuweka sawa maforofyongo ya Mungu Mtu wenu mnayetaka asikoselewe!!! Au unataka kusema wewe unafahamu zaidi uhalisia kuliko Samia na serikali yake?

Narudia kama nilivyowahi kukuambia mara kadhaa... POLE SANA!!!

Nyerere kafanya mambo mengi sana nchi hii, na amefariki zaidi ya miaka 20 iliyopita lakini hadi leo watu wanamkosoa!! Sasa utaendelea kuumia sana ikiwa kila anapopigwa vitofa JPM, basi unaingia kwa sababu tu unataka awe anasifiwa tu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaumia sana mkuu!

Yani unatumia nguvu nyingi sana hapa Jf kwa ajili ya kumshusha thamani Jpm!

Nakushauri uongeze juhudi maana kazi unayo!

Wewe uko tayari kutetea ovu lolote la awamu hii ya Samia na yote unafikiri watu wakiongelea uovu wa awamu hii unahisi wanampa credit Magu!

Hahahha una kazi nzito sana
 
Unamaanisha nini unaposema nchi mzima?!

Waliomwelewa ni Wafuasi wake, and of course wafuasi wake wapo nchi nzima bila kujali distribution yake kwa kila eneo. So, ana wafuasi nchi nzima lakini sio watu wote nchini ni wafuasi wake!
Basi Magu anawafuasi wengi sana nchi hii. Imagine kati ya dozi milioni 1 zilizoletwa ni dozi hata nusu hazijaisha takriban miezi 3 sasa!

Hivi shida ni nini hebu twambie!

Yani haters wa Magu mmeshindwa kuwapiku wafuasi wake walau kwa kushambulia zile chanjo milioni tu zilizododa kule maabara?
 
Tanzania is reborn! Unachekesha sana mkuu…kwani ilikuwa imekufa?!

Kwetu sisi ilikuwa imefufuliwa…tulifunguliwa macho..tuliambiwa mchana kweupe na mzee wetu JPM kwamba sisi tumefanywa shamba la bibi huu ni ukweli usiopingika…we knew way back lakini habari zilikuwa zinasemwa chinichini..watu wanajichotea madini na wanyama wanavyotaka…..kwa hio kukatazwa kutufanya shamba la bibi Tanzania ndio imepoteza reputation…sasa hv wana hire institution kwamba we are back on business….uuuwiiiiiiiii #inJPMvoice..

Kwahio inakuwa reborn tena mkuu ili warudi…WAPI?!
Same old story...

Nimeuliza hapa mara kadhaa lakini sijajibiwa, labda unisaidie wewe!!

Sote tumeona alivyo-deal na Accacia, tena cha ajabu ali-deal na makinikia ambayo yana-account only 30% ya mapato ya Acacia. Je, unataka kusema ni Acacia peke yake ndio waliokuwa wanaiibia Tanzania?
Kuhusu pandemic JPM aliomba taasisi za nje kuondolea madeni nchi maskini na sio kuwapa pesa kuzidi kuwadidimiza kwenye madeni…sasa sisi ndio tuna hire ilitupate pesa…wakati survival rate ya huu ugonjwa ni 99%…huu ugonjwa upo tutaishi nao…tuchape kazi, tulime tuuze mazao yetu, tufungue viwanda vyetu, Tony Blair tumuajiri atutafutie masoko ya bidhaa zetu
Maajabu haya...

Umekopa pesa kwa sababu nyingine, halafu unataka usamehewe madeni kwa sababu nyingine?

Na kama kweli aliamini madeni yanazidi kudidimiza, kwanini aliendelea kukopa huku akiaminisha watu kwamba ni pesa za ndani?! Magu alikopa Standard Chartered Bank na Credit Suisse!

Hivi mnaelewa maana ya kukopa kwenye private financial institutions?!

Magu alijaa janja janja tu! Kama vile kujifanya kuwaponda mabeberu huku akiaminisha wafuasi wake kwamba hatuwahitaji, lakini anapita mlango wa nyuma anapokea misaada ya hao hao mabeberu, huku akienda kukopa kwa hao hao mabeberu!!
 
Tanzania is reborn! Unachekesha sana mkuu…kwani ilikuwa imekufa?!

Kwetu sisi ilikuwa imefufuliwa…tulifunguliwa macho..tuliambiwa mchana kweupe na mzee wetu JPM kwamba sisi tumefanywa shamba la bibi huu ni ukweli usiopingika…we knew way back lakini habari zilikuwa zinasemwa chinichini..watu wanajichotea madini na wanyama wanavyotaka…..kwa hio kukatazwa kutufanya shamba la bibi Tanzania ndio imepoteza reputation…sasa hv wana hire institution kwamba we are back on business….uuuwiiiiiiiii #inJPMvoice..

Kwahio inakuwa reborn tena mkuu ili warudi…WAPI?!

Kuhusu pandemic JPM aliomba taasisi za nje kuondolea madeni nchi maskini na sio kuwapa pesa kuzidi kuwadidimiza kwenye madeni…sasa sisi ndio tuna hire ilitupate pesa…wakati survival rate ya huu ugonjwa ni 99%…huu ugonjwa upo tutaishi nao…tuchape kazi, tulime tuuze mazao yetu, tufungue viwanda vyetu, Tony Blair tumuajiri atutafutie masoko ya bidhaa zetu
Chige hawezi kukuelewa yeye akili zake ni kama za mabavicha wengine wanaohisi maendeleo yao yataletwa na mzungu
 
Ni majitu majinga aina ya hawa kina Chige!

Fikiria Magu bado anawachapa hata baada ya kufa
Tumekuwa taifa la vijana wajinga waliojaa propaganda bila kuwa na uwezo wa kufikiri kwa kina.Ukitazama nyuzi nyingi tunajadili mtu badala ya issues.Vyuo siku hz vinazalisha hopeless imbeciles wengi .
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaumia sana mkuu!

Yani unatumia nguvu nyingi sana hapa Jf kwa ajili ya kumshusha thamani Jpm!

Nakushauri uongeze juhudi maana kazi unayo!

Wewe uko tayari kutetea ovu lolote la awamu hii ya Samia na yote unafikiri watu wakiongelea uovu wa awamu hii unahisi wanampa credit Magu!

Hahahha una kazi nzito sana
Unaona sasa! Kwani aliyesema Blair kaletwa ku-rebuild reputation ni mimi?

Una-rebuild vipi kitu ambacho kilikuwa intact?

Na kama hakikuwa intact nani kasababisha kutokuwa intact?

Na kama reoutation iliondoka, lazima irejeshwe!!

Btw, huo uovu ninaotetea ni upi?!

Narudia, mwambieni mleta mada aweke ripoti kamili! Tony Blair Institute hawawezi kuchukua pesa kwa Tanzania!! Narudia, ikiwa taasisi iliwekwa kitimoto kwa kuchukua pesa kwa Saudi Arabia nchi ambayo haina shida, kwa akili yako unatarajia watakuwa stupid wachukue pesa kwa nchi maskini?

And FYI, Tanzania ni moja tu kati ya nchi zaidi ya 10 za Afrika ambako TBI wanafanya kazi! Najia hii habari kwanu chungu kwa sababu kwa mara nyingine inathibitisha Magu aliivuruga nchi!!

Kuhusu Samia, YEEEEEES, endelea KUUMIA lakini akifanya jambo zuri tutamuunga mkono, especially anapofanya jambo la kurekebisha mafyorofyongo ya Magu!!
 
Back
Top Bottom