Samia hataki majungu na Kenya. Majungu ameyawacha nyuma. Samia hatafuata itikadi kali za mtangulizi wake kuhusu Kenya. Naona hata mama kavaa mask katika hafla ya Uganda. Fahamu kuwa Samia ana akili yake na wala habebewi akili na mtu. Ni mama mwerevuwashikaji hawana aibu yaani wamefungia mahindi yetu kipindi cha msiba halafu saahii wanajipendekeza! Kuna uwezekano mkubwa Samia asiende Kenya kwa jinsi wanavyo-accuse Tanzania under JPM already as if they r not the source of bad realations!
CC: Tony254
Muache upumbavu!
Baada ya kuwachamba dole juzi sio? Mkaja kuomba msamaha huku mnatembea kwa magoti? Sasa unawezaje kwenda nchi jirani usivae mask kama sheria zinavyotaka? Wewe ni mpumbavu wa aina gani huko kichwani kumejaa funza au?Samia hataki majungu na Kenya. Majungu ameyawacha nyuma. Samia hatafuata itikadi kali za mtangulizi wake kuhusu Kenya. Naona hata mama kavaa mask katika hafla ya Uganda. Fahamu kuwa Samia ana akili yake na wala habebewi akili na mtu. Ni mama mwerevu
Kwakuwa madeni yako pale pale basi pesa zilipwe tuanza afresh even at the cost of selling them planes. Pia wanasiasa hawapaswi kuwepo kwenye boards za wakurugenzi na wajumbe. HII NCHI BADO TUPO KWENYE FEUDAL STAGE HATA VIONGOZI WANAMAWAZO KAMA YA JUZI MAANA UONGOZI NI SOMETIMES CIRCUMSTANCIAL, ACCIDENTAL, PLANNED FOR GROUP FOR OWN BENEFITS SASA MZIKI VIONGO HAWA HULKA YA KUWA CONSISTENT marekebisho ya fanyike ila misimamo ya kidhibiti uzembe na rushwa iwe kwa vitendo hakuna huruma tunataka MATOKEO SIO STORY ila ndo ivo sasa eliewaloga sisiem kafa na tutapata tabu sana na vile raia wenyewe geugeu kila mtu na mambo yake Lissu kapigwa watu kimya badala hata ya haohao Wazalendo kujitokeza wengi na kuzingua ila uzalendo ni polisi kuingia na kutembeza kichapo, sidhani kama watu hujua nn maana ya uzalendo, uzalendo sio kupenda serikali au kuichukia, uzalendo sio kupenda raisi au kumchukia, uzalendo ni kusimamia misingi ya katiba na mwongozo wa sheria na haki za binadamu, usawa na uhuru wakuzungumza lolote na kwanza juu mpaka chini kuna uwajibikaji kwa nafasi yako ukizingua unazinguliwaCAG mustahafu anasema hizo ndege zipigwe bei shirika lote lifutwe. Tanzania ya sasa hadi raha. Hakuna jema ata moja kwa kipindi cha miaka 6 iliyopita.
Sasa si nyinyi mnaamini corona haipo sasa nilitegemea msivae mask mahali popote muendapo. Lakini ni vizuri kuona mabidiliko yakifanyika polepole Tanzania. Hivi karibuni usishangae mkiambiwa nyote mvae mask.Baada ya kuwachamba dole juzi sio? Mkaja kuomba msamaha huku mnatembea kwa magoti? Sasa unawezaje kwenda nchi jirani usivae mask kama sheria zinavyotaka? Wewe ni mpumbavu wa aina gani huko kichwani kumejaa funza au?
Endelea na ufala wenu ndo maana majirani wanawapotezea hebu niambie when was the last time Uhuru amepewa invitation Uganda? Mna tabia ya kufarakanisha majirani! Nakumbuka mmejitahidi sana kumualika Mseveni mara aje kuangalia sgr mara aje kuangalia Mombasa port lakini wapi Pipeline imebaki Tanzania na wala hajamkaribisha Uhuru! JPM ameenda sana Uganda na Museveni kaja sana Tanzania!Sasa si nyinyi mnaamini corona haipo sasa nilitegemea msivae mask mahali popote muendapo. Lakini ni vizuri kuona mabidiliko yakifanyika polepole Tanzania. Hivi karibuni usishangae mkiambiwa nyote mvae mask.
Hamna shida. Kuleni tu mnofu mliotuibia.Endelea na ufala wenu ndo maana majirani wanawapotezea hebu niambie when was the last time Uhuru amepewa invitation Uganda? Mna tabia ya kufarakanisha majirani! Nakumbuka mmejitahidi sana kumualika Mseveni mara aje kuangalia sgr mara aje kuangalia Mombasa port lakini wapi Pipeline imebaki Tanzania na wala hajamkaribisha Uhuru! JPM ameenda sana Uganda na Museveni kaja sana Tanzania!
Sasa mfunge bakuli hilo! Muangalie mradi ukiendelea! Nyie angaikeni na Somalia!Hamna shida. Kuleni tu mnofu mliotuibia.
Somaliland wagundue mafuta yao then bomba lipite kenya halafu waliite SLKCOP! [emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mfunge bakuli hilo! Muangalie mradi ukiendelea! Nyie hangaikeni na Somalia!
Pata picha hamna mafuta wanaibiana tayari!Somaliland wagundue mafuta yao then bomba lipite kenya halafu waliite SLKCOP! [emoji23][emoji23][emoji23]
We unaona jema gani zaidi ya mauchafu yanayolitia taifa hasara isiyomithilika.CAG mustahafu anasema hizo ndege zipigwe bei shirika lote lifutwe. Tanzania ya sasa hadi raha. Hakuna jema ata moja kwa kipindi cha miaka 6 iliyopita.
We unaona jema gani zaidi ya mauchafu yanayolitia taifa hasara isiyomithilika.
We kichaa Korona haipo Tanzania ndo maana haziviwi ila nje ya Tanzania si salama so lazma tujilindeSasa si nyinyi mnaamini corona haipo sasa nilitegemea msivae mask mahali popote muendapo. Lakini ni vizuri kuona mabidiliko yakifanyika polepole Tanzania. Hivi karibuni usishangae mkiambiwa nyote mvae mask.
Mnajikomba sio??Samia hataki majungu na Kenya. Majungu ameyawacha nyuma. Samia hatafuata itikadi kali za mtangulizi wake kuhusu Kenya. Naona hata mama kavaa mask katika hafla ya Uganda. Fahamu kuwa Samia ana akili yake na wala habebewi akili na mtu. Ni mama mwerevu
Mzee unakichwa kigumu mno, mstaafu kasema kabla hujafufua shirika jipya ilibidi uue lililopo ili kuua madeni ndio ufufue jipya, amemaanisha kabla hizi ndege mpya hazijanunuliwa ilibidi tuue shirika lililokuwepoCAG mustahafu anasema hizo ndege zipigwe bei shirika lote lifutwe. Tanzania ya sasa hadi raha. Hakuna jema ata moja kwa kipindi cha miaka 6 iliyopita.
Ni sawa naitazama live. Kumbe mama ana kizungu kitamu hivi? Nnajua amesomea UK. Sio kama mtangulizi wake ambaye alikuwa analemewa na kizungu.Tony254 Unaangalia signatures zikimwagika? BTW the chairman n CEO of TOTAL kasema total investment itakuwa $10 bln!
Mbona Kenya hamjatuma hata Balozi? Ni kususa ama?