- Nampenda rais Uhuru Kenyatta
- Kawaida kabla niweke news huwa natafuta kama kuna taarifa zozote kuna mtu kaziweka zinazofanana
- Sasa hivi ndio nimengundua tayari hii imewekwa kwenye Kenya politics
- Hivyo basi namuomba mod aipeleke huko kwa siasa.
Ngoja kwanza nimpe sapoti Law78, rais ni kila kitu na wahusika huona furaha anqpowaunga mkono na kuvaa kama wao.
Hata nami mkuu nampenda Uhuru Kenyata. Nam follow sehemu nyingi tu. Ila kwa viongozi wa Africa si vizuri kuji sifu na nguo za kijeshi. Nguo za kijeshi kwa rais zina potlay kwamba wewe ni mtawala na si kiongozi!?
President Uhuru Kenyatta has, for the first time, been pictured wearing military uniform
These pictures (below) from State House, Nairobi, posted on Friday on social media by the Presidential Strategic Communications Unit show him wearing the military jungle green uniform.
The President later presided over a military function at Archer's Post in Samburu.
President Kenyatta is the Commander in Chief of the Kenya Defence Forces (KDF)
President Uhuru Kenyatta in military uniform - PHOTOS - News - nation.co.ke
halafu jamaa anavyo penda kuuza sura facebook,hizi picha lazima atakuwa ka-share kwenye wall yake.nina sikia JK ni mwanajeshi kamili (ulumn of monduli military academy) ,mbona hajawahi kuvaa haya mavazi.?.
wow! Is it allowed by the way?
anaonekana legelege kuliko hata mtu wa mtaani. bahati mbaya ndiye rais pekee laini asiyekuwa mwanajeshi katika east africa.anatia huruma aisee.
anaonekana legelege kuliko hata mtu wa mtaani. bahati mbaya ndiye rais pekee laini asiyekuwa mwanajeshi katika east africa.anatia huruma aisee.
Duh, lakini hapo al shabaab wakimshtukizia jamaa atavua hayo magwanda na kukimbia. Hizo simu alizozishika atazitupa na hata huo mkongojo atausahau. Mbwembwe tupu!
Kenya Drinking Force (KDF)