President Uhuru Kenyatta in military uniform - PHOTOS

President Uhuru Kenyatta in military uniform - PHOTOS

- Nampenda rais Uhuru Kenyatta
- Kawaida kabla niweke news huwa natafuta kama kuna taarifa zozote kuna mtu kaziweka zinazofanana
- Sasa hivi ndio nimengundua tayari hii imewekwa kwenye Kenya politics
- Hivyo basi namuomba mod aipeleke huko kwa siasa.

Hata nami mkuu nampenda Uhuru Kenyata. Nam follow sehemu nyingi tu. Ila kwa viongozi wa Africa si vizuri kuji sifu na nguo za kijeshi. Nguo za kijeshi kwa rais zina potlay kwamba wewe ni mtawala na si kiongozi!?
 
10355009_10152440641941997_2558498476651968962_n.png

THE COMMANDER IN CHIEF: President Uhuru Kenyatta seen in Military Jungle Green uniform.
 
Hata nami mkuu nampenda Uhuru Kenyata. Nam follow sehemu nyingi tu. Ila kwa viongozi wa Africa si vizuri kuji sifu na nguo za kijeshi. Nguo za kijeshi kwa rais zina potlay kwamba wewe ni mtawala na si kiongozi!?

Kama angelivaa hivyo kwa hafla nyingine tofauti ya mambo ya kijeshi, hiyo ingekua ishara mbaya, lakini hapa amewatembelea jamaa kwenye shughuli zao na kutengamana nao.
 
uhuru+new.jpg


uhuru+2.jpg


President Uhuru Kenyatta has, for the first time, been pictured wearing military uniform

These pictures (below) from State House, Nairobi, posted on Friday on social media by the Presidential Strategic Communications Unit show him wearing the military jungle green uniform.

The President later presided over a military function at Archer's Post in Samburu.

President Kenyatta is the Commander in Chief of the Kenya Defence Forces (KDF)

President Uhuru Kenyatta in military uniform - PHOTOS - News - nation.co.ke


Haki ya Mungu zimemtoa chicha
 
halafu jamaa anavyo penda kuuza sura facebook,hizi picha lazima atakuwa ka-share kwenye wall yake.nina sikia JK ni mwanajeshi kamili (ulumn of monduli military academy) ,mbona hajawahi kuvaa haya mavazi.?.

Very predictable, you guys needs to be very careful otherwise this is not good for your health, especially sugar level and blood pressure. Mnaumiza mioyo zenu bure.
 
anaonekana legelege kuliko hata mtu wa mtaani. bahati mbaya ndiye rais pekee laini asiyekuwa mwanajeshi katika east africa.anatia huruma aisee.
 
anaonekana legelege kuliko hata mtu wa mtaani. bahati mbaya ndiye rais pekee laini asiyekuwa mwanajeshi katika east africa.anatia huruma aisee.

Lakini ndio rais intelligent kuliko wanajeshi marais wa east africa
 
Duh, lakini hapo al shabaab wakimshtukizia jamaa atavua hayo magwanda na kukimbia. Hizo simu alizozishika atazitupa na hata huo mkongojo atausahau. Mbwembwe tupu!
 
Duh, lakini hapo al shabaab wakimshtukizia jamaa atavua hayo magwanda na kukimbia. Hizo simu alizozishika atazitupa na hata huo mkongojo atausahau. Mbwembwe tupu!

kama kawaida sulking tz.
 
Back
Top Bottom