Press conference ya Yanga 18. 10. 2022

Press conference ya Yanga 18. 10. 2022

Yanga kesho wameitisha press conference ikiwa ni siku ya pili tu baada ya kuvurumishwa kwa mwaka wa 24 mfululizo katika hatua ya mtoano.

Tutarajie kusikia yafuatayo:

1. Makubaliano ya pande mbili yamefikiwa

2. Malalamiko ya kutosha kwa muamuzi wa jana kwani wanaamini Arajiga ndio angefaa kuchezesha mechi yao.

3. Malalamiko ya kufanyiwa fitina na kucheza kwenye mazingira magumu na tuliona wazi wakishukuru uongozi wa Al Hilal kwa ukarimu wa hali ya juu.

4. Kuna mchezaji mmoja machachari asiyejielewa atapumzishwa mpaka mwisho wa msimu akashughulikie matatizo ya kifamilia.

4. Timu itakuwa chini ya Cedric Kaze

5. Kuwashukuru wana yanga na kuwaahidi kufanya vizuri kwenye mashindano ya looser huko Shirikisho (kosa lingine la kuwapa matumaini hewa mashabiki)

Mengine ni kama kawaida. Malalamiko kwa TFF na kujifariji kuwa tulicheza mpira mzuri ila bahati haikuwa kwetu.

View attachment 2390476
Unajisiakiaje kwa sasa? Mkutano ndiyo uko mubashara Azam tv. Je, uliyotabiri yana/yamemetimia?
 
Putin huwa acheki anatabasamu kwa mbaali sana.Nato na US wanamjua.Kanoute a.k.a Putin mgumu,ajawai kucheka tangia Dunia iumbwe,anapokua uwanjani ukimpita akuachi salama ana faulo za kikatili,kiungo hodari n,k
Jamaa hacheki wala hashangilii kwa kwa kuruka ruka sijui kuwarukia wenzie wala hatoi meno hata wakifunga. Mhhh aiseee
 
Jamaa hacheki wala hashangilii kwa kwa kuruka ruka sijui kuwarukia wenzie wala hatoi meno hata wakifunga. Mhhh aiseee
Wapo wachezaji wengi sana duniani walikuwa hivyo. Saana unaweza ukaona tabasamu tu kwa mbaali. Mfano ni kama

Nicholas Anelka
Pirlo
Nk.
 
Wapo wachezaji wengi sana duniani walikuwa hivyo. Saana unaweza ukaona tabasamu tu kwa mbaali. Mfano ni kama

Nicholas Anelka
Pirlo
Nk.
Anelka alikuwa mtu mbad sana. Alikuwa hana mpango na mtu, yeye ni magoli tu.
 
Back
Top Bottom