Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana bossMkuu ishatoka aisee..Unaweza kuipakua sasa
Ata netnaija naona wameiwekaIngia hapa site ya Nkiri...Mb 500
![]()
DOWNLOAD Black Panther 2: Wakanda Forever (2022) | Download Hollywood Movie
Download Black Panther 2: Wakanda Forever (2022) | Download Hollywood Movie for free at nkiri.com. Download blockbuster Hollywood Movies. Black Panther 2: Wakanda Forever (2022) | Download Hollywood Movienkiri.com
Hapo sijakupata mkuu yoruba na xhosa ni lugha wanayoongea watu kutoka Rwanda????...................Rwanda ilipo wakazi wa nchi hii ya kufikirika wanaongea lugha ya Xhosa, Yoruba na English
Finally nimeitazama sasa kwakweli ni nzuri sana.. I wish I could experience it in Cinema.
Ryan Cole anajua sana aisee, Walionikonga nyoyo ni Talokan. Ni noma aisee, nimetamani kujifunza lugha ya Maya!
Pa1 mkuuNimesema hivi.
Nchi ya Rwanda ilipo ndio Wakanda ilipo na wakazi wa nchi ya wakanda wanaongea Xhosa na Yoruba!
Kabisa moja kati ya negative review ni juu ya kupooza kwa muvi. Muvi iliegemea zaidi kwenye Emotion kuliko actions hata hivyo Namora,Attuma na Namor wamejitahidi kuichangamsha muvi. Mimi Natumaini ni sababu ya kifo cha ghafla kilimfanya abadirishe script ya kwanza aliyoaandaa kwa muda wa miaka 2 kaibadirisha kwa miezi tu. Hata hivyo kajitahidi Ryan Coogler.Sema movie haina mishike mishike tuliyotegemea bwana[emoji16](kwa tuliopania imekula kwetu) yan action zake woooiii yan zipo slow sana Namor hakua wakupigwa na shuri[emoji38] sema tumekubali kwamba ndo black panther na staring hauwawi ila ipo kawaida sanaa tho ina plot kali yan ila tumezungushwa mnoo[emoji119][emoji119]
Kabisa moja kati ya negative review ni juu ya kupooza kwa muvi. Muvi iliegemea zaidi kwenye Emotion kuliko actions hata hivyo Namora,Attuma na Namor wamejitahidi kuichangamsha muvi. Mimi Natumaini ni sababu ya kifo cha ghafla kilimfanya abadirishe script ya kwanza aliyoaandaa kwa muda wa miaka 2 kaibadirisha kwa miezi tu. Hata hivyo kajitahidi Ryan Coogler.
Ila kazingua sana Namor uwezo wake ni sawa na Hulk au Thor ila kazidiwa kirahisi na Shuri. Wamezingua, kwenye Comics namor ni badass hasa.
Sema Marvel wana akili sana aisee...walijua tu watu hatupo tayari kumuona Shuri anakua black Panther pia hawakutaka kumbadiri mwigizaji wa black Panther. So wametumia akilo ya kumrudisha Tchala kupitia mtoto wake. Ngoja tuone kama kutakua na time jump au wataacha yuleyule dogo acheze
Kwenye GOT unazungumzia Daario Naharis bila shaka ndio walimbadiri Ed skrein akacheza Michel Huissman. Right??wakiweza kukimbiza muda hapo sawa ila walikua na uwezo wa kubadili character akapewa mtu ( tumeona hiyo kitu kwenye GOT watu wawil wanacheza character moja)
Ungejua Namor ni character wa zamani zaidi kuliko hata Aquaman. Sema Aquaman wamemtendea kazi vyema. Ila Namor naona technology yao bado iko nyuma sababu sijui kwakua wamebadiri Kutoka Atlantis kwenda Mayans. Ila ngoja tuone huko mbelesema sio mbayaa plot yake ipo vizurii na nimependa pia MCU wametuletea aquaman wetu Namor[emoji28] tuone maajabu yake kwenye avengers zinazokuja hizo za kang sijui
Imepooza right???
It was based on emotions. Fortunately Namor saved a day
Mimi nimemuinjoi Attuma na kile kilugha chake cha kimaya! Halafu unajua Attuma ni villain. Hapatani kabisa na Namor kwenye comics...Ni kama vile kaka yake na Arthur Curry (Aquaman) wasivyopatana.yeah kaokoa jahazi na zile pangaboi mguuni[emoji23][emoji23][emoji23] afu ukitaka kuona uzuri wa movie irudie rudie kama umeicheki leo kaa hata siku mbili angalia tenaa afuu kaa kidog angalia tena[emoji16] wanaoangalia cinema sijui wanawezaje jamani
Wewe ndio unasema story imeshaisha ila ndio kwanza mambo yanaanza. Unajua kwenye Comics T'chala alichukua ufalme akiwa Teenager sasa na huyu dogo T'chala Jr ndio itakua vizuri zaidi Kutengeneza stori zake. Kuna mastori meeengi Marvel wanayo usitegemee kuisha sasa.Nimeiona. Ilianza kwa kuchosha ila second half ilikuwa nzuri sana. Sema sijaona ukuu wa Wakanda kama taifa lenye nguvu zaidi duniani. Sema waache kutuchosha na sequel nyingine, story imeishaisha.
Watu wazima tunaita Conspiracy theories...Halafu hilo pozi ni ile chata maarufu ya "skull and bones" aisee
Wengi wamekuwa ni kama hawajui nini kinaendelea kwenye hiyo movie,ni sehemu pia ya ajenda potential kwenye ibada za upande huo wa pili
Zimetosha bana. Tumeona wakigombania madaraka. Tumeona teknolojia yao, tumeona Black panther na nguvu zake. Wasituchoshe tena. Hata hii critics wameionea tu huruma sababu ya Chadwick na kutoka studio kubwa. ni movie ya 4/10Wewe ndio unasema story imeshaisha ila ndio kwanza mambo yanaanza. Unajua kwenye Comics T'chala alichukua ufalme akiwa Teenager sasa na huyu dogo T'chala Jr ndio itakua vizuri zaidi Kutengeneza stori zake. Kuna mastori meeengi Marvel wanayo usitegemee kuisha sasa.
Ndio maana mwisho wa muvi wameandika Black Panther will Return