Prezzo amdhalilisha mtangazaji wa KTN katika Mahojiano ya Live

But the guy will never shoot up like before
 
basi huko insta kila mda anatumia clip ya hiyo interview na bonge la caption...kwa kiasi flani hv ktn wanatakiwa wamshukuru prezzo coz video yao ya youtube views wanazidi ongezeka tu
 
Kwisha bahari yake asubr kubaki fuvu nayeye kama wenzake
 
Kwani kumpima oil ni udhalilishaji? Mm nilifikiri prezzo anakula mzingo live
Dada Alivyokuw anamchekea chekea huwezi jua nini kiliendelea baada ya kutoka hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…