Asubuhi ya kuamkia leo dunia nzima imekubwa na taharuki baada ya jeshi binafsi la WAGNER lililo chini ya ndigu Prigozhin liliasi na kuvamia mji wa Rostov nchini urusi na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mkoa huo.
Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.
Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.
Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.
Miongoni mwa makubaliano ya Prigozhin na serikali ya Moscow ambayo yameratibiwa na raisi wa Belarus (Lukashenko)
1. Waziri wa ulinzi na maafisa kadhaa kujiuzulu( Prigozhin amekua akiwashutumu mara kadhaa kua wanazuia ufanisi wa vita huko Ukraine)
2. Wqpiganaji wote wa WAGNER- PMC kupewa ulinzi dhidi ya hatua za kinidhamu.
3. Prigozhin asilimia kubwa jeshi lake litahuska na masuala ya Afrika hapo baadae,ikumbukwe WAGNER wapo Senegal, Jamhuri ya Afrika ya kati pia!!
Clips za wanajeshi wa WAGNER wakijiandaa kuondoka Rostov.
Update-
Prigozhin kuhamia nchini Belarus.
Rasmi Kremlin imesema kua wanajeshi walioshiriki kwenye "uasi" hawatoshitakiwa kwa makosa ya uharifu.
Wanajeshi wa WAGNER ambao hawakushiriki kuajiriwa kwa mikataba na wizara ya ulinzi.
NB- vikosi vya usalama vya Urusi huko mjini St Petersburg vilifanya upekuzi makao makuu ya Wagner,baadhi ya vitu walivyokuta vikiwa mali binafsi za Prigozhin.
Update 2.
Prigozhin akiondoka makao makuu ya jeshi mkoani Saratov pamoja na wqpiganaji wake,amepewa guarantee ya ahadi ya usalama wake kusafiri mpaka nchini Belarus.
Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.
Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.
Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.
Miongoni mwa makubaliano ya Prigozhin na serikali ya Moscow ambayo yameratibiwa na raisi wa Belarus (Lukashenko)
1. Waziri wa ulinzi na maafisa kadhaa kujiuzulu( Prigozhin amekua akiwashutumu mara kadhaa kua wanazuia ufanisi wa vita huko Ukraine)
2. Wqpiganaji wote wa WAGNER- PMC kupewa ulinzi dhidi ya hatua za kinidhamu.
3. Prigozhin asilimia kubwa jeshi lake litahuska na masuala ya Afrika hapo baadae,ikumbukwe WAGNER wapo Senegal, Jamhuri ya Afrika ya kati pia!!
Clips za wanajeshi wa WAGNER wakijiandaa kuondoka Rostov.
Update-
Prigozhin kuhamia nchini Belarus.
Rasmi Kremlin imesema kua wanajeshi walioshiriki kwenye "uasi" hawatoshitakiwa kwa makosa ya uharifu.
Wanajeshi wa WAGNER ambao hawakushiriki kuajiriwa kwa mikataba na wizara ya ulinzi.
NB- vikosi vya usalama vya Urusi huko mjini St Petersburg vilifanya upekuzi makao makuu ya Wagner,baadhi ya vitu walivyokuta vikiwa mali binafsi za Prigozhin.
Update 2.
Prigozhin akiondoka makao makuu ya jeshi mkoani Saratov pamoja na wqpiganaji wake,amepewa guarantee ya ahadi ya usalama wake kusafiri mpaka nchini Belarus.