Prigozhin na Wagner yake asitisha uasi

Prigozhin na Wagner yake asitisha uasi

Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.

All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
Don't trust RUSSIA ni wahuni wote Putin na Mwenzake Wa Wagner wamekula mchongo lengo lilikuwa ni Kuwasaka wasaliti ni wakina nani na nani, hii ni fikra na minong'ono!!!!!
KATIKA vita usiamini stori yoyote ya adui yako anatafuta mbinu ya kukuchapa zaidi...IMAGINE sasa kiongozi wa Wagner anasema wao wana rudi kwenye kambi zao baada tu ya kuambiwa watahakikishiwa Ulinzi na Urusi HUU NI UTANI NEXT TIME hamna kuwaamini hawa WAHUNI WOTE wanajuana na hawa wote ni kitu kimoja wahuni sana
 
Asubuhi ya kuamkia leo dunia nzima imekubwa na taharuki baada ya jeshi binafsi la WAGNER lililo chini ya ndigu Prigozhin liliasi na kuvamia mji wa Rostov nchini urusi na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mkoa huo.

Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.

Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.

Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.

Tusubirie taarifa rasmi!!
View attachment 2667659
View attachment 2667660
Kwa wale wanaojua mchezo wa drafti watakuwa wameshajua nini kinaendelea!
Kulalamika Kwa uongo, kutoa kafara Baadhi ya kete huku mlaji akilazimishwa Kula na kuchekelea!
Mwisho unaliwa mbele na nyuma na kingi inakaa katikati!
 
Wagna wangesema waendelee na msafara wao kuelekea moscow jua la kesho asubui wasingeliona walahi maana waliwekewa trap moja mbaya sana yaan wangekufa kwa tabu sana.
Njia nzima waliachwa wapite bila kubughuziwa na mamlaka za kijeshi za Russia, nilitegemea kuona raia wengi wa Russia wakisimama pamoja na waasi ila haikuwa hivyo.

Hiyo inakupa picha gani?
 
Kitendo alichofanya ni hatari sana na hata kama NATO/USA wakisema wanamuunga mkono,just imagine Russia kama angeamua kutumia nguvu zake zote,ikiwemo silaha za nyuklia ama kutumia washirika wake kutoka Belarus, Chechen, Dagestan etc.

All in all,mwisho wa Prigozhin umefika,amevuka mipaka, suluhu pekee kwake ni kukimbia USA apewe hifadhi ya kisiasa na ukibaraka!!
Nadhani sijakuelewa.

Yaani atumie nyuklia kupambana na wagner ndani ya ardhi yake? Hizo si zitakuwa akili za punyeto kabisa?
 
Wanadai ni njama za Putin na prigoView attachment 2667683
Na kwann Putin hakumtaja Prigozhin kwenye hotuba yake yote?? Badala yake akawa anasema tu "Muhaini hasamehewi?".


Ni kweli Prigozhin alitaka kabisa kumsaliti rafiki yake wa muda mrefu???.




Ni nani Muhaini? Kwann Putin hakumtaja Moja Kwa Moja ?.
 
Hapa ndio kina cemical Ally wanapotakiwa. Kama kweli walipanga uasi, hawastahili msamaha kabisa. Wasubiriwe wafike kambine kisha wamwagiwe bomu la sumu tumalize hii biashara na wagner ife mazima.

Putin unaniangusha.
 
Asubuhi ya kuamkia leo dunia nzima imekubwa na taharuki baada ya jeshi binafsi la WAGNER lililo chini ya ndigu Prigozhin liliasi na kuvamia mji wa Rostov nchini urusi na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mkoa huo.

Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.

Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.

Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.

Miongoni mwa makubaliano ya Prigozhin na serikali ya Moscow ambayo yameratibiwa na raisi wa Belarus (Lukashenko)

1. Waziri wa ulinzi na maafisa kadhaa kujiuzulu( Prigozhin amekua akiwashutumu mara kadhaa kua wanazuia ufanisi wa vita huko Ukraine)

2. Wqpiganaji wote wa WAGNER- PMC kupewa ulinzi dhidi ya hatua za kinidhamu.

3. Prigozhin asilimia kubwa jeshi lake litahuska na masuala ya Afrika hapo baadae,ikumbukwe WAGNER wapo Senegal, Jamhuri ya Afrika ya kati pia!!
View attachment 2667659

Tusubirie taarifa rasmi!!
View attachment 2667659
View attachment 2667660

Source: trust me Bro
 
Back
Top Bottom