Tena huyo jamaa namfananisha na mfurukutwa wa ccmPole sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena huyo jamaa namfananisha na mfurukutwa wa ccmPole sana
puNYETO imedhalilishwa imeuma 😆Acha kudhalilisha punyeto,narudia Tena acha kudhalilisha punyeto
Umeshasema "wange"!!Wagna wangesema waendelee na msafara wao kuelekea moscow jua la kesho asubui wasingeliona walahi maana waliwekewa trap moja mbaya sana yaan wangekufa kwa tabu sana.
Ikiwa ni hivyo basi serikali ya Urusi inaongozwa kama kundi la mafia.Don't trust RUSSIA ni wahuni wote Putin na Mwenzake Wa Wagner wamekula mchongo lengo lilikuwa ni Kuwasaka wasaliti ni wakina nani na nani, hii ni fikra na minong'ono!!!!!
KATIKA vita usiamini stori yoyote ya adui yako anatafuta mbinu ya kukuchapa zaidi...IMAGINE sasa kiongozi wa Wagner anasema wao wana rudi kwenye kambi zao baada tu ya kuambiwa watahakikishiwa Ulinzi na Urusi HUU NI UTANI NEXT TIME hamna kuwaamini hawa WAHUNI WOTE wanajuana na hawa wote ni kitu kimoja wahuni sana
Atatiwa sumu tu ya kummaliza kimya kimya🤣Kwa alichokifanya,lazima kina mkono na USA/NATO. Leo mjini Moscow raia walianza kupigiwa simu na unknown caller zikiwataka wananchi kuunga mkono uasi na wajitokeze kuandamana. Prigozhin hana nguvu hiyo peke yake, kumbuka hata UKRAINE kwenye vita anasaidiwa na Moscow.
Atapata ajali ya kuanguka ghorofaniAtatiwa sumu tu ya kummaliza kimya kimya🤣
Hahah prigo ni mnyabumbu, naona Pro Nato visimi viliwasimama🤣 wakidhani ataasi urusi na kumuondoa Putin! Huyu Prigo ni muhuni analeta Comedy vitani msimchukulie serious🤣🤣🤣Don't trust RUSSIA ni wahuni wote Putin na Mwenzake Wa Wagner wamekula mchongo lengo lilikuwa ni Kuwasaka wasaliti ni wakina nani na nani, hii ni fikra na minong'ono!!!!!
KATIKA vita usiamini stori yoyote ya adui yako anatafuta mbinu ya kukuchapa zaidi...IMAGINE sasa kiongozi wa Wagner anasema wao wana rudi kwenye kambi zao baada tu ya kuambiwa watahakikishiwa Ulinzi na Urusi HUU NI UTANI NEXT TIME hamna kuwaamini hawa WAHUNI WOTE wanajuana na hawa wote ni kitu kimoja wahuni sana
Tumieni akili wagner hawana uwezo wowote wa kupigana na jeshi la urussi hata kwa asilimia 2% tumieni akili ....ndiyo maana nikauliza wagner wameua askari wa urusi wangapi tena kwenye mapigano gani .... kitu ambacho serikali ya urusi kimemfanya kuwa mvumilivu kwa hicho kikosi ni kikosi cha warusi pia na watoto wa urusi ndiyo wanakitumikia tena chini ya mwongozo wa serilali kuu ....kwa serikali ya urussi ilichora mstari mwekundu kama watavuka basi ilikuwa ni amri moja tu ya kuwa vunja nguvu kijeshi ni kazi ya siku 3 tu kikosi kinasambaratika na kusalitiana kwa kujiunga na jeshiNa kwann Putin hakumtaja Prigozhin kwenye hotuba yake yote?? Badala yake akawa anasema tu "Muhaini hasamehewi?".
Ni kweli Prigozhin alitaka kabisa kumsaliti rafiki yake wa muda mrefu???.
Ni nani Muhaini? Kwann Putin hakumtaja Moja Kwa Moja ?.
Acha ukyuma unatumalizia MB zetu fala weweVita bado ipo katikati mwa urusi
Mkuu ebu fafanua hapo kwenye nchi 30?????? Au unaongea kishabiki tuIlo lilikuwa ni swala la muda. Tu. Nchi 30 zimemshindwa super power Moja Sasa wanaomba ata kutokee uasi. Kasi ya kuchukua maeneo Ukraine itaongezeka
Kwa alichokifanya,lazima kina mkono na USA/NATO. Leo mjini Moscow raia walianza kupigiwa simu na unknown caller zikiwataka wananchi kuunga mkono uasi na wajitokeze kuandamana. Prigozhin hana nguvu hiyo peke yake, kumbuka hata UKRAINE kwenye vita anasaidiwa na Moscow.
Mkuu una bachelor ya usalama nn🤣🤣🤣Povu zitoTumieni akili wagner hawana uwezo wowote wa kuoigana na jeshi la urussi hata kwa asilimia 2% tumieni akili ....ndiyo maana nikauliza wagner wameua askari wa urusi wangapi tena kwenye mapigano gani .... kitu ambacho serikali ya urusi kimemfanya kuwa mvumilivu kwa hicho kikosi ni kikosi cha warusi pia na watoto wa urusi ndiyo wanakitumikia tena chini ya mwongozo wa serilali kuu ....kwa serikali ya urussi ilichora mstari mwekundu kama watavuka basi ilikuwa ni amri moja tu ya kuwa vunja nguvu kijeshi ni kazi ya siku 3 tu kikosi kinasambaratika na kusalitiana kwa kujiunga na jeshi
Mnadanganyana , hapo unawapataje sasa ?Walikua wanasakwa mamluki waliojimix kwenye kikosi Cha Wagner [emoji38]
Hahaaa trap uijuwe ww upo mbagala hlf wagner wapo Urusi wasiijue , nyiny ndo mnapotosha watu vijiwenWagna wangesema waendelee na msafara wao kuelekea moscow jua la kesho asubui wasingeliona walahi maana waliwekewa trap moja mbaya sana yaan wangekufa kwa tabu sana.
Muwe mnatumia akili , jeshi uongozwa kwa order kutoka kwa mkuu wao , sasa unawajuaje wasaliti kama wao wanafuata order tu ya Prigo , hv hz akili mmeacha wap ? Ndio maana mnasaini mikataba isiyo na muda , akili bure kbsHuo ulikuwa ni mchezo wa Russia, baada ya hapa wasaliti halisi waliojipendekeza nadhani wataliwa vichwa.
Elewa dogo ( maana yake ni mtu wake wa karibu )Dogo yupi huyo ?
Msaliti utamjuaje hapo ? kuna vitu mnaambiana akili mkiwa mmezima , jeshi la serikali unafuata order ya mkuu wa majeshi , pia wagner unafuata order kwa Prigo , msaliti unamjuaje ?Don't trust RUSSIA ni wahuni wote Putin na Mwenzake Wa Wagner wamekula mchongo lengo lilikuwa ni Kuwasaka wasaliti ni wakina nani na nani, hii ni fikra na minong'ono!!!!!
KATIKA vita usiamini stori yoyote ya adui yako anatafuta mbinu ya kukuchapa zaidi...IMAGINE sasa kiongozi wa Wagner anasema wao wana rudi kwenye kambi zao baada tu ya kuambiwa watahakikishiwa Ulinzi na Urusi HUU NI UTANI NEXT TIME hamna kuwaamini hawa WAHUNI WOTE wanajuana na hawa wote ni kitu kimoja wahuni sana