Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usipende kila kitu kukebehi,kikubwa zaidi usipende kila kitu utafuniwe halafu ulishwe.Source: trust me Bro
S-400. Mifumo ya makombora ya kulinda anga na kutungua makombora ama ndege za adui.Naitwa Maziku Masanja nipomkoa washinyaga.
mnaomba kuulisa iyo video hao magari ya jesi yamebeba magogo wayapeleka kuchomea mkaa au kuchanambao?
wabheja sana.
Hii ilikua asubuhi na kwenye rada zilionekana ndege za ofisi ya raisi moja ikielekea St Petersburg na nyingine kuelekea nchi jirani,baadae Putin alihutubia Taifa aliwa ndani ya Moscow so habari ya kua kaondoka ikaonekana sio kweli.
nashukulu kaka yagu nkoja nitajifunsa saidi ili nijuue.S-400. Mifumo ya makombora ya kulinda anga na kutungua makombora ama ndege za adui.
Wewe Jamaa leo uiitawala sana JF. 🤣🤣🤣 Sas naona kinyonge unatafuta usingiziNan kakubal yaishe mnajizima data ?
Pole sanaUnless iwe propaganda.
Wewe kweli corona mzee!!Ilo lilikuwa ni swala la muda. Tu. Nchi 30 zimemshindwa super power Moja Sasa wanaomba ata kutokee uasi. Kasi ya kuchukua maeneo Ukraine itaongezeka
Hii ya Belarus kuwa msuruhishi mmeitoa wapi? Yaani Prigozin ahitaji msuruhishi wa nje kukubaliana kitu na Putin?Asubuhi ya kuamkia leo dunia nzima imekubwa na taharuki baada ya jeshi binafsi la WAGNER lililo chini ya ndigu Prigozhin liliasi na kuvamia mji wa Rostov nchini urusi na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mkoa huo.
Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.
Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.
Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.
Miongoni mwa makubaliano ya Prigozhin na serikali ya Moscow ambayo yameratibiwa na raisi wa Belarus (Lukashenko)
1. Waziri wa ulinzi na maafisa kadhaa kujiuzulu( Prigozhin amekua akiwashutumu mara kadhaa kua wanazuia ufanisi wa vita huko Ukraine)
2. Wqpiganaji wote wa WAGNER- PMC kupewa ulinzi dhidi ya hatua za kinidhamu.
3. Prigozhin asilimia kubwa jeshi lake litahuska na masuala ya Afrika hapo baadae,ikumbukwe WAGNER wapo Senegal, Jamhuri ya Afrika ya kati pia!!
Clips za wanajeshi wa WAGNER wakijiandaa kuondoka Rostov.
View attachment 2667713
View attachment 2667714
Ali Kamwe wa Vladmir Putin kutokea Pugu kajiungeniWagna wangesema waendelee na msafara wao kuelekea moscow jua la kesho asubui wasingeliona walahi maana waliwekewa trap moja mbaya sana yaan wangekufa kwa tabu sana.
Source ya nini? 🤣🤣Source??
Hii ya Belarus kuwa msuruhishi mmeitoa wapi? Yaani Prigozin ahitaji msuruhishi wa nje kukubaliana kitu na Putin?
[emoji28]Naitwa Maziku Masanja nipomkoa washinyaga.
mnaomba kuulisa iyo video hao magari ya jesi yamebeba magogo wayapeleka kuchomea mkaa au kuchanambao?
wabheja sana.
Tupo kundi la Wasafiri mbona rahisi tuu kama huna connection ndogo tuu hizi usiwe mkali mazee mimi humu nimekutana na watu wengine Nje ya Nchi na wapo humu humu sio ujuaji nilianza mambo ya safari zamani sana na bado naendelea kusafiri...ishu ya Russia tuu unaona ajabu aiseeDogo gani? Unajifanyaga kila jambo unalijua vyema, acha ujuaji
Pana dogo mmoja anaishi Hungary leo kwenye kundi letu la wasafiri alidai toka jana watu kutoka Moscow ilikua shida alizungumzia jana kabla hata hao Wagner hawajatangaza na akasema VPN ndio inayotumika huko siwezi kumtangaza humu ndio maana nimeandika dogo....Dogo yupi huyo ?
Acha kudhalilisha punyeto,narudia Tena acha kudhalilisha punyetoNadhani sijakuelewa.
Yaani atumie nyuklia kupambana na wagner ndani ya ardhi yake? Hizo si zitakuwa akili za punyeto kabisa?
Kwanza MTU mjinga pekee ndio anaweza kuamini ule ulikuwa uasi,kundi hilo la wegner amelianzisha Putin mwenyewe kampa huyo jamaa amabye alikuwa mpishi wake.Don't trust RUSSIA ni wahuni wote Putin na Mwenzake Wa Wagner wamekula mchongo lengo lilikuwa ni Kuwasaka wasaliti ni wakina nani na nani, hii ni fikra na minong'ono!!!!!
KATIKA vita usiamini stori yoyote ya adui yako anatafuta mbinu ya kukuchapa zaidi...IMAGINE sasa kiongozi wa Wagner anasema wao wana rudi kwenye kambi zao baada tu ya kuambiwa watahakikishiwa Ulinzi na Urusi HUU NI UTANI NEXT TIME hamna kuwaamini hawa WAHUNI WOTE wanajuana na hawa wote ni kitu kimoja wahuni sana
Mie nimeshangaa!,kumbe wapo weengi kama mchanga[emoji13]Wewe Jamaa leo uiitawala sana JF. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sas naona kinyonge unatafuta usingizi
LEO NIMEFAHAMU PRO USHAGA WAPO WENGI SANA. YAANI NDANI YA LISAA LIMOJA UNAKUTA UZI UNA WACHANGIAJI 800.kweli Putin babalao kwa kukata ngebe tu, namsifu