Prigozhin na Wagner yake asitisha uasi

Prigozhin na Wagner yake asitisha uasi

Screenshot_20230624_145122_Instagram.jpg
 
Asubuhi ya kuamkia leo dunia nzima imekubwa na taharuki baada ya jeshi binafsi la WAGNER lililo chini ya ndigu Prigozhin liliasi na kuvamia mji wa Rostov nchini urusi na kutwaa makao makuu ya jeshi katika mkoa huo.

Licha ya kutwaa mkoa bado vikosi vyake vilianza kufanya misafara ya kutaka kuelekea Moscow.

Hatimae jioni hii bwana Evgene Prigozhin amekubali kusitisha zoezi hilo(uasi) na Kuna mazungumzo yamefanyika kwa wqpiganaji wake wote kupewa ulinzi na kutochukuliwa hatua yoyote.

Habari hii inaweza kua mbaya kwa mahasimu wa Putin na Russia kwani walishaanza kushehrekea na kujua rasmi Putin ameanguka.

Miongoni mwa makubaliano ya Prigozhin na serikali ya Moscow ambayo yameratibiwa na raisi wa Belarus (Lukashenko)

1. Waziri wa ulinzi na maafisa kadhaa kujiuzulu( Prigozhin amekua akiwashutumu mara kadhaa kua wanazuia ufanisi wa vita huko Ukraine)

2. Wqpiganaji wote wa WAGNER- PMC kupewa ulinzi dhidi ya hatua za kinidhamu.

3. Prigozhin asilimia kubwa jeshi lake litahuska na masuala ya Afrika hapo baadae,ikumbukwe WAGNER wapo Senegal, Jamhuri ya Afrika ya kati pia!!


Clips za wanajeshi wa WAGNER wakijiandaa kuondoka Rostov.
View attachment 2667713
View attachment 2667714
Hii ya Belarus kuwa msuruhishi mmeitoa wapi? Yaani Prigozin ahitaji msuruhishi wa nje kukubaliana kitu na Putin?
 
Hii ya Belarus kuwa msuruhishi mmeitoa wapi? Yaani Prigozin ahitaji msuruhishi wa nje kukubaliana kitu na Putin?

Mkuu maybe haujawahi kumsoma Alexander Lukashenko,rais wa Belarus uhusiano wake na Putin/Russia.

NB- hivi karibuni baada ya NATO kuwapokea Finland kwenye NATO- Putin alihamishia baadhi ya silaha za nyuklia nchini Belarus,kimkakati zaidi.
20230624_221841.jpg
 
Dogo gani? Unajifanyaga kila jambo unalijua vyema, acha ujuaji
Tupo kundi la Wasafiri mbona rahisi tuu kama huna connection ndogo tuu hizi usiwe mkali mazee mimi humu nimekutana na watu wengine Nje ya Nchi na wapo humu humu sio ujuaji nilianza mambo ya safari zamani sana na bado naendelea kusafiri...ishu ya Russia tuu unaona ajabu aisee
 
Don't trust RUSSIA ni wahuni wote Putin na Mwenzake Wa Wagner wamekula mchongo lengo lilikuwa ni Kuwasaka wasaliti ni wakina nani na nani, hii ni fikra na minong'ono!!!!!
KATIKA vita usiamini stori yoyote ya adui yako anatafuta mbinu ya kukuchapa zaidi...IMAGINE sasa kiongozi wa Wagner anasema wao wana rudi kwenye kambi zao baada tu ya kuambiwa watahakikishiwa Ulinzi na Urusi HUU NI UTANI NEXT TIME hamna kuwaamini hawa WAHUNI WOTE wanajuana na hawa wote ni kitu kimoja wahuni sana
Kwanza MTU mjinga pekee ndio anaweza kuamini ule ulikuwa uasi,kundi hilo la wegner amelianzisha Putin mwenyewe kampa huyo jamaa amabye alikuwa mpishi wake.
 
Wewe Jamaa leo uiitawala sana JF. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sas naona kinyonge unatafuta usingizi

LEO NIMEFAHAMU PRO USHAGA WAPO WENGI SANA. YAANI NDANI YA LISAA LIMOJA UNAKUTA UZI UNA WACHANGIAJI 800.kweli Putin babalao kwa kukata ngebe tu, namsifu
Mie nimeshangaa!,kumbe wapo weengi kama mchanga[emoji13]
 
Back
Top Bottom