Prigozhin na Wagner yake asitisha uasi

Prigozhin na Wagner yake asitisha uasi

Matokeo ya uasi wa Prigozhin:
Magharibi (NATO na nchi washirika) wameona namna Wananci wa Russia wanavyomuunga mkono Putin.

-Kwa sasa, ni mapema mno kuzungumza juu ya mwisho wa uasi wa kijeshi au hatua ya kiintelligensia ya Urusi, lakini matokeo ya kwanza yanaweza kufupishwa:
(1) Nchi nzima ilijitokeza kumuunga mkono Vladimir Putin
(2) Umoja kama huu wa wananchi haujakuwepo tangu 2014.
(3) Kwa njia isiyo ya moja kwa moja, wapinzani wa Russia nao walijipanga kumuunga mkono Putin, ambao kwa kweli wameshtushwa na kinachoendelea
(4) Vita vya wenyewe kwa wenyewe vinavyotarajiwa huko Magharibi havijaanza nchini Urusi: Warusi kwa ukaidi hawataki kurushiana risasi
(5) Urusi imeonyesha kuwa, pamoja na vikosi vinavyoshiriki katika SMO, pia ina uwezo mkubwa kwa njia ya PMC "Wagner
-(6) Jeshi linamwamini Putin
Haya ni maoni yako,....
Wengine wanaona kinyume!..
 
Hiyo michezo ina faida gan ? Ina maana intelligence ya Urusi ni dhaifu kiasi cha kuigiza civil wars ? Ebu tumien akil bas
Kama hujui hata drafti linashughulisha vipi ubongo basi nawasiwasi hata mipango unayopangaga ni inaenda kwa kudra za Muumba!
 
Kwani wakoloni walipigania africa na kugombea kwa sababu africa ilikuwa bora kuliko nchi zao kwa wakati ule ?
Bora kimaisha ndilo nalouliza mkuu???? Maana vijana wengi wanapenda kuishi marekani coz kuna unyama mwingi,kuliko urusi hakuna unyama kule
 
Bora kimaisha ndilo nalouliza mkuu???? Maana vijana wengi wanapenda kuishi marekani coz kuna unyama mwingi,kuliko urusi hakuna unyama kule
Unyamq gani tena huo au mambo yenu ya bendera za marangirangi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kama ni huo ni kweli huo ni unyama haswa siyo ubinadamu hata kidogo mambo gani ya wanaume kwa wanaume kulipuana matako
 
Kwahiyo mkuu marekani ni bora kuliko urusi au??
Swali lako ni sawa sawa na kusema kati ya choo na chumba cha kulala kipi ni bora kwenye nyumba kwa maana ya umuhimu .....au nikikuuliza kati ya kula na kunya kipi ni bora wewe utajibu nini ?
Kwa kuwa chumba cha kulala ndiyo binadamu utumia muda wake mwingi kuliko chooni uwezikusema ni bora kuliko choo ...tanq chooni ndiyo sehemu yenye kuheshimika kuliko sehemu yoyote kwenye nyumba baba au mama yako wakiwa chumbani wewe unaweza kuingia mkawa nao wote ila chooni aiwezekani ...chumbani mtu anaweza asifunge mlango ila chooni anafunga
 
Ndio ubaya wa kuchukua ndondo zikiamua kuchoma zinachoma tu.
Pia kama yamekwisha kwa nn apewe makazi nchini Beralusi.
Sijui kama atafika December.
 
Unyamq gani tena huo au mambo yenu ya bendera za marangirangi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kama ni huo ni kweli huo ni unyama haswa siyo ubinadamu hata kidogo mambo gani ya wanaume kwa wanaume kulipuana matako
Mkuu unakaa mkoa gani tanganyika???? Hata neno unyama mwingi hujui maana yake?????
 
Unyamq gani tena huo au mambo yenu ya bendera za marangirangi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kama ni huo ni kweli huo ni unyama haswa siyo ubinadamu hata kidogo mambo gani ya wanaume kwa wanaume kulipuana matako
Mkuu kwani bendera za rangi rangi hazipo urusi????? Tukiacha ushabiki ipo wazi marekani kuna maisha mazuri kuliko urusi everybody know
 
Swali lako ni sawa sawa na kusema kati ya choo na chumba cha kulala kipi ni bora kwenye nyumba kwa maana ya umuhimu .....au nikikuuliza kati ya kula na kunya kipi ni bora wewe utajibu nini ?
Kwa kuwa chumba cha kulala ndiyo binadamu utumia muda wake mwingi kuliko chooni uwezikusema ni bora kuliko choo ...tanq chooni ndiyo sehemu yenye kuheshimika kuliko sehemu yoyote kwenye nyumba baba au mama yako wakiwa chumbani wewe unaweza kuingia mkawa nao wote ila chooni aiwezekani ...chumbani mtu anaweza asifunge mlango ila chooni anafunga
Kwahiyo mkuu urusi ni choo afu marekani ni chumba cha kulala????? Maana hata miji ya marekani ipo vizuri zaidi kuliko miji ya urusi....Chukulia mfano Atlanta ni pazuri kuliko Moscow....
 
Unyamq gani tena huo au mambo yenu ya bendera za marangirangi [emoji849][emoji849][emoji849][emoji849] kama ni huo ni kweli huo ni unyama haswa siyo ubinadamu hata kidogo mambo gani ya wanaume kwa wanaume kulipuana matako
Mkuu bila kuandika""Makalio""hupati raha??????Do you thnk nitakwazika ukiandika hivyo badala ya kujibu swali?????? Nop mkuu
 
Ndio ubaya wa kuchukua ndondo zikiamua kuchoma zinachoma tu.
Pia kama yamekwisha kwa nn apewe makazi nchini Beralusi.
Sijui kama atafika December.
Je kiama cha PUTIN bado hakijafika?
 
Back
Top Bottom